Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

Bora wewe umemuelezea vzr

Ila tunarudi pale pale , lengo la hizo semina pia na kupata sadaka full stop
naomba kuuliza swali, ni nani alishahudhuria semina akalazimishwa kutoa sadaka? na je hizo spika na umemeo jumlisha viti mnavyokalia mnategemea vinalipiwa kwa pesa kutoka wapi
 
Wana mstari wao pendwa MALAKI 3:8-11

NAWAAMBIA HIZO SEMINA NDIO KICHAKA CHAKE CHA KUPATIA SADAKA NA MICHANGO, wanasema ohoo ni mnyenyekevu , ni mtu wa watu, sasa walitaka awe mkali ,atapataje hela
Ni mnyenyekevu ili awapate vzuri hafu yaye mahubiri yake mengi ni kutoa fungu la kumi, panda mbegu, na hzo sadaka watu wanazitoa si mchezo. Watu wanatumia dini kujitajirisha hafu sijawahi ona hzo sadaka wakisaidia yatima na wenye uhitaji
 
Kiranga tafadhali tuheshimiane. Usianze kunotukana mm. Kama unapinga pinga hoja yangu kw akutumia hoja. Masuala ya kunitukana si mazuri.. tuheshimiane
Hakuna sehemu alisema Haiti walipata maafa sababu ya uchawi wewe ni mke wake unayelalanaye kitandanikila siku?

Hata huyo mke wake hajui maneno yote anayosema mmewe.

Wewe ni mpambe wa ian gani mpaka ujue hilo?

Unajua kufikiri wewe?
 
Kiranga tafadhali tuheshimiane. Usianze kunotukana mm. Kama unapinga pinga hoja yangu kw akutumia hoja. Masuala ya kunitukana si mazuri.. tuheshimiane
Wapi nimekutukana na nimekutukana kivipi?

Mimi kukuambiaukweli ninaouona ni heshima kubwa kwako.

Ningekudharau ningekuambia uongo tofauti na ninavyofikiria,huku nakudharau, hilo lingekuwa tusi kubwa sana kwako, ambalo hata usingelijua kwamba nakutukana.
 
Umenitukana sababu kwanza mm si mwanamke. Ni mtu mwanaume na maisha yangu safi tu. Sina uhusiano wowote ule na mwakasege.

So unapoishi kuniita mke wake wkt hata jinsia yangu huifahamu ..utakuwa unakosea sana. Sijakutukuna ww kwa njia yoyote and yes kwangu mm nimechukulia kama tusi.

narudia tena tuheshimiane. Ungeattack hoja yangu si kunishambulia mm
 
Basi utakuwa umejitukana mwenyewe kwa kumsemeamwanamme mwenzako kama mwanamke wake.

Mimi nimekuonesha tu kwamba umemsemea mwanamme mwenzako kama vile wewe ni mke wake.

Kiumeni tabia hiyo haifai.

Nimekufundisha kamajando.

Sijakutukana.

Ulitakiwa kunishukuru. Nilitakiwa kukuchaji fee.

Ulitakiwa kuomba tupige picha nami ukawaoneshe watu "Huyu Kiranga Mwalimu wangu alinifundisha kuandika kama mwanamme, na si kuandika mambo kama mke wa Mwakasege"
 
Nikiona mhubiri jina linaanza na Mwa nashtuka sijui ni kwa nini !
 
Niliudhuliaga siku moja pale Biafra, ni wapigaji tu ila wanatumia dini kama chimbo.
 
Dah!
 
Khaaa, kuhimiza watu kwenda kuhiji Israel kwako ndo makwazo? Kuitembelea ardhi alikozaliwa Kristo Yesu kwako ni makwazo? Wewe utakuwa Shahidi wa Jehova, wanaokwenda Israel hawalazimishwi, ndo maana hata wewe umeishia tu kukwazika lkn hujafuatwa na mtu kukutaka uende!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…