Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Zinaitwa flat chord bwashee 😂😂😂Kinachoudhi zaidi wanaimba tenzi za rohoni kwa mtindo wao wa ajabu usio na upako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaitwa flat chord bwashee 😂😂😂Kinachoudhi zaidi wanaimba tenzi za rohoni kwa mtindo wao wa ajabu usio na upako
hili la wapiga vyombo wengi ni wazinzi, hawajaokoka, wana tamaa na ngono na hawafichi hisia zao. Kuna mmoja alijisifu na kuniambia wao wako romantic sana wanatamaniwaKwani siku hizi kuna ibada..? ma pastor wanawatafuna, walimu wao wanawatafuna, hapo sijataja wapiga vyombo (musicians) na hili naongelea kwa uhakika
kanisa linatakiwa kuongozwa na roho wa Mungu, roho Mtakatifu.Hapo kanisani kwenu kiongozi ni ngedere?
Kipindi nikiwa mdogo ...wanakwaya walikuwa na wamekuwa wakilana tu..( penye mkusanyiko lazma haya yawepo...wanafunzi walimu wafanyakazi viwandani nk)Muache kutafunana sasa,
Tenzi zinaimbwa kihuniKinachoudhi zaidi wanaimba tenzi za rohoni kwa mtindo wao wa ajabu usio na upako
Mimi nasema Ukweli Wanawake hupenda wanaume wenye kuonekana/umaarufu/vipaji sio kila mwanamuziki ni mzinzi kuna wakati unatambua kwamba sio kila anayekuomba ukaribu lazima ulale naye hapana...lakini sio makosa wao pia kuchanganyikiwa...hili la wapiga vyombo wengi ni wazinzi, hawajaokoka, wana tamaa na ngono na hawafichi hisia zao. Kuna mmoja alijisifu na kuniambia wao wako romantic sana wanatamaniwa
mna mambo ya ajabu sana, jiheshimuni, msijifanye ni wa kisasa na kuona wazee wenu wamepitwa na wakatiMimi kama mpiga guitar mahiri na kijana wa kisasa niseme tu Wana Kwaya wa Jadi wakati wenu umepita ...tutawavumilia kama sehemu ya historia ya wapi kanisa limetoka ila kwa sasa Praise and Worship team ni uti wa Mgongo vinginevyo kanisani mtabakia wazee wenyewe...
Mtuache tufanye mambo kwa nyakati zetu.
Zinaitwa flat chord bwashee
Nafkiri namna tunaimba tenzi leo kwa huo mtindo wa zamani pia sio kama halisia walivyotunga kina Martin Luther ufundi wa muziki na mapokeo kila mara tutaongeza ladha mpya kulingana na roho anavyotuongozaTenzi zinaimbwa kihuni
ikigundulika kuna kulana kundi huvunjwa na wahusika hutengwaKipindi nikiwa mdogo ...wanakwaya walikuwa na wamekuwa wakilana tu..( penye mkusanyiko lazma haya yawepo...wanafunzi walimu wafanyakazi viwandani nk)
Lakini kuhusu sisi kulana yanapoharibika mambo tunatangaza ndoa za haraka haraka ama tunabeba mizigo yetu tunakuja kubariki ndoa baadae...ila ninyi watu wazima wa makamo huko katika kwaya zenu mmekua mikiliana wake na wanaume na nafkiri hata mimba mwaziaharibu kwani uzinzi gani usio leta mimba
Mwisho ukimwi utawamaliza wazee
Unajua mkuu...ni kawaida kizazi cha mbele kukikosoa kizazi kinachowafata...sikatai vijana tuna matatizo mengi..lakini pia wazee wanashindwa kuzungumza nasi kwa lugha ya upendo mnatukosoa na kukwazika nasi tunazidi kuwa kwaza hakuna mshindi...itabidi tukubaliane...mna mambo ya ajabu sana, jiheshimuni, msijifanye ni wa kisasa na kuona wazee wenu wamepitwa na wakati
Tukiacha sasa ubishi ...hawa Wasanij wa sasa wa gospel unataka waimbe kama Barabara ya Kumi sjui na ngapi Buliyankhulu?ikigundulika kuna kulana kundi huvunjwa na wahusika hutengwa
Kijana usiwe mjanja sana, nimeanza kuimba kwaya late 90s, mabadiliko mengi ya kiuimbaji na kimaadili yameanza kubadilika kuanzia miaka ya 2010+Mimi nasema Ukweli Wanawake hupenda wanaume wenye kuonekana/umaarufu/vipaji sio kila mwanamuziki ni mzinzi kuna wakati unatambua kwamba sio kila anayekuomba ukaribu lazima ulale naye hapana...lakini sio makosa wao pia kuchanganyikiwa...
Wakati wote ambao nimekuwa nikilicharaza guitaa langu la solo wanawake waliwehuka..hata wakaacha kuwa rohoni...mimi nimebaki nikiheshimu talanta yangu na kujitunza mkuu
tatizo ni uimbaji wao, matendo yao, mavazi yao, unyoaji na ujipambaji unachanganya wauminiTukiacha sasa ubishi ...hawa Wasanij wa sasa wa gospel unataka waimbe kama Barabara ya Kumi sjui na ngapi Buliyankhulu?
Hao wasanii sasa ndo matokeo ya praise and worship team
Wazee wanataka Major Chords tu 1-4-5 ukiweka ka Minor alafu ukatandika ka passing chord wanona unavuruga mambo kumbe ni ladha tu...Zinaitwa flat chord bwashee 😂😂😂
Ubunifu unatakiwa kudeviate kutoka katika dunia na sio kuikaribia dunia.Nafkiri namna tunaimba tenzi leo kwa huo mtindo wa zamani pia sio kama halisia walivyotunga kina Martin Luther ufundi wa muziki na mapokeo kila mara tutaongeza ladha mpya kulingana na roho anavyotuongoza
Tunaishi kwenye dunia hii hii labda tuhamie mwezini kama alivyoimba rama deeUbunifu unatakiwa kudeviate kutoka katika dunia na sio kuikaribia dunia.
tatizo mnaingiza mambo ya kigeni ambayo huko nyuma ilikuwa ni dhambiUnajua mkuu...ni kawaida kizazi cha mbele kukikosoa kizazi kinachowafata...sikatai vijana tuna matatizo mengi..lakini pia wazee wanashindwa kuzungumza nasi kwa lugha ya upendo mnatukosoa na kukwazika nasi tunazidi kuwa kwaza hakuna mshindi...itabidi tukubaliane...
vijana wana vitu vyao ukiwanyima wataacha kuja utawapoteza....
Kwanini tu msitakase mambo tufanye muone namna Mungu atatukuzwa?
Kweli mkuu hata mimi sikupingi Vijana tunachangamoto ya Uzinzi lakini sasa tufanyaje? Binafsi mimi nipo Kawaida nanyoa Afro navaa suruali ya kitambaa nina Mchumba mmoja...najua wananikosoa na kudhani mimi pia ni muhuni lakini si hivyo...kwa hiyo tuseme sio vijana wote ni wahuni. Japo wengi ni wahuni.Kijana usiwe mjanja sana, nimeanza kuimba kwaya late 90s, mabadiliko mengi ya kiuimbaji na kimaadili yameanza kubadilika kuanzia miaka ya 2010+
Sitaki kutaja majina ya kwaya ila kuna vijana nawajua maroho ya uzinzi na kunyanduana yamewavaa baada ya kujifunza kupiga mziki, wengine wapo hapa dar