Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ComputerCommerce? Au computer?
ComputerCommerce? Au computer?
Heading imejaa ila I mean Computer?Co ndo manini ebu andika kirefu
Computer Dit wako vzuri sa hv wanamiundombonu mizuri mnoHeading imejaa ila I mean Computer?
Dit kuna IT na Computer Engineering tu ila Computer Science na ICT hawanaComputer Dit wako vzuri sa hv wanamiundombonu mizuri mno
Dit kuna IT na Computer Engineering tu ila Computer Science na ICT hawanaComputer Dit wako vzuri sa hv wanamiundombonu mizuri mno
Bro ict ipo wakati namaliza Electrical engineerDit kuna IT na Computer Engineering tu ila Computer Science na ICT hawana
Udom hamna chuo pale hata graduates wao wako shallow kupita maelezo yaani hawajiwezi kabisaNenda Udom!
Seriously! Unaijua college of informatics!Udom hamna chuo pale hata graduates wao wako shallow kupita maelezo yaani hawajiwezi kabisa
Bana pale hamna chuo tunao huku mtaani wakowako tuSeriously! Unaijua college of informatics!
Acha kupotosha watu huwez fananisha UDOM na hizo collegeBana pale hamna chuo tunao huku mtaani wakowako tu
Je huyo mdogo wako,Ana moyo waJe kati ya MUST(Mbeya University of science and technology) na Arusha Technical ni kipi chuo bora ambacho unamshauri mdogo wako asome kwa masomo ya Computer?
Mmmh mkuu sawa yawezekana madogo walipata kazi lakini sio kwa kugombaniwa aseeee acha kuzidisha chumviNina mdogo wangu alipita Arusha Tech, baadae MUST , mwingine alipiga Arusha Tech diploma baadae akapiga DIT hawa hawakukaa mtaani ajira ziliwafuata tena mmoja akaenda algeria huko kwenye refinaries za mafuta Kwa kugombaniwa kama dhahabu, to me hivyo vyuo naona wako deep sana