MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Udom Udom whaaaaaaaaat god dammmmnAcha kupotosha watu huwez fananisha UDOM na hizo college
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udom Udom whaaaaaaaaat god dammmmnAcha kupotosha watu huwez fananisha UDOM na hizo college
Computer science haipo paleBro ict ipo wakati namaliza Electrical engineer
Pale ndo ilikua inaaanza may be waiue kuna demu alomaliza ICT pale cozi nzima walikua wawili tum
Ila CIVE sio widely knownCIVE ndo mpango mzima
Una undugu na Lucas Mwashambwa?Nina mdogo wangu alipita Arusha Tech, baadae MUST , mwingine alipiga Arusha Tech diploma baadae akapiga DIT hawa hawakukaa mtaani ajira ziliwafuata tena mmoja akaenda algeria huko kwenye refinaries za mafuta Kwa kugombaniwa kama dhahabu, to me hivyo vyuo naona wako deep sana
Mwashambwa ni ndugu w ephenUna undugu na Lucas Mwashambwa?
Unakataa sasaMmmh mkuu sawa yawezekana madogo walipata kazi lakini sio kwa kugombaniwa aseeee acha kuzidisha chumvi
Mkuu! MUST wapo vizuri lakini kama hiyo course na DIT ipo basi ni vyema sana tena sanaaaa akapige DIT.Hapo kipi ni kizuri kuliko kingine mdau?
Ndio nimekataa.Unakataa sasa
DIT ina IT na computer engineering tu mkuuMkuu! MUST wapo vizuri lakini kama hiyo course na DIT ipo basi ni vyema sana tena sanaaaa akapige DIT.
Anajiongelea tu huyo wala hana right info.Seriously! Unaijua college of informatics!
Dogo unachekeshaa wee, MUST iko Arushaa? Au hujui hata unazungumza nn? LolBora akasome MUST Arusha mkuu
Cs,CE na ICT zote zipo MUSTMUST wapo vizuri na pia wanazo kozi za computer science, engineering, ICT na IT kama sikosei nayo inapatikana na wapo vizuri sana
Wewe f.la kweli mtu mmoja mmja unamfananisha na college??Bana pale hamna chuo tunao huku mtaani wakowako tu