Je, kati ya Chuo cha MUST na Arusha Technical ni kipi chuo bora kwa masomo ya Comouter

MUST wapo vizuri na pia wanazo kozi za computer science, engineering, ICT na IT kama sikosei nayo inapatikana na wapo vizuri sana
 
Bana pale hamna chuo tunao huku mtaani wakowako tu
Wewe f.la kweli mtu mmoja mmja unamfananisha na college??

Basi hata India hakuna chuo kule...India hata ukienda kusoma tuition ukirudi...mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…