Je, katiba ina semaje kuapisha viongozi Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar?

Je, katiba ina semaje kuapisha viongozi Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Ikulu ya Tanzania kwa sasa ni dodoma ambapo ndio makao makuu ya shughuli zote za Jamuhuri ya muungano. Lakini pia tunayo ikulu kongwe ya dsm magogoni. Kiufupi ikulu zote ndio makaz ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿. Ikulu zote duniani ni commanding centre same zipo enhanced na security za hali ya juu kuzuwia Rais kidhuriwa au kutumia ikulu vibaya kwa masilah binafsi. Ikulu inalindwa kwa nguvu zote na kwa damu.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
 
Na mimi naomba kuongeza swali;
  • Walioapishwa wote wanaenda kukalia wizara za kimuungano?
  • Waliokuwa wanakataa tusiseme kuwa Raisi ni mzanzibari, wana lolote la kueleza hapa? Kwanini sio Mtwara au Kigoma, iwe Zanzibar kila mara?
  • Kwanini hatuna utamaduni wa kuheshimu ikulu maalum ya nchi/jamhuri?

Kwanini isiwe kuwa Raisi analazimika kukaa kwenye vi-ikulu vidogo kwa sababu maalum na iwe pengine ni mara zisizozidi 12 kwa mwaka?
  • Kama tumeamua ni Dsm na Dom, basi iwe huko tu.
  • Anazo means zote za kuwa ofisi maalum kila siku isipokuwa kwa dharula maalum.

Kuwepo Zanzibar kila wakati ni sawa na kusema anajipa likizo kila wakati na kurudi kwao!
  • Watangulizi wake tumewahi kusikia wakitembelea makwao wakiwa likizo.
  • Najua atatajwa Jiwe na Chato, ingawa hakuna asiyejua pengine kwa udaku uliopo mitandaoni kuwa sababu za kuwepo Chuto ndo zili-prolongu eksistensi labda.

Raisi wa JMT akiwa nchi jirani ya Zenji, anatii Katiba na sheria za wapi?
 
Embu kwanza unijibu maswali haya.hiyo katiba unayoizungumzia kuwa tuilinde ni ya mwaka gani? Kama ni ya Mwaka 1977 je inasemaje kuhusu Zanzibar?

Je Zanzibar ni Nchi au siyo Nchi? Kama ni Nchi je inatambulika umoja wa Mataifa? Ina kiti katika umoja wa Mataifa? Ina Rais ambaye huenda kule kushiriki mijadala na kutoa hotuba na pengine hata kupiga kura? Nauliza maswali haya maana umesema Zanzibar ni nchi nyingine na kufananisha kwamba ni sawa na Rais wa Kenya aje awaapishe mawaziri wake hapa Tanzania.

Swali lingine je RAIS Wa Zanzibar anaingia kwenye vikao vya Baraza la mawaziri la jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama Nani?

Je kuna nchi ambayo haina jeshi lake? Kama Zanzibar ni Nchi je jeshi lake ni lipi? Mkuu wa Majeshi wake ni Nani?

Je Zanzibar hakuna ikulu ndogo? Je Zanzibar siyo Sehemu ya Tanzania?je Zanzibar hawampigia kura Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

Unaposema uapisho mwingi wa mawaziri unafanyika Zanzibar unamaanisha nini? Hiyo mara nyingi ni ngapi? Unaweze ukaweka hizo takwimu zako? Je katiba imetoa mgawanyo wa kwamba mahali fulani inatakiwa pasizidi idadi ya matukio kadhaa ya kuwaapisha mawaziri? Vipi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba aliyeapishiwa kule Chato kuwa waziri wa katiba na sheria? Je ile maana yake nini?

Kila siku nakwambia wewe kuwa uache chuki zako kwa Rais wetu.kinachokusumbua na kukutesa wewe ni chuki binafsi kwa Rais wetu tangia Siku ya kwanza kabisa. Roho mbaya yako haitakufikisha popote pale. Rais wetu acha afanye kazi
.najua wewe ni Miongoni kwa wale watu waliokuwa wanatamani sana Rais wetu ashindwe kuongoza Taifa hilo na kukataliwa na watanzania.sasa moyo unakuuma sana unapoona mafanikio makubwa yaliyofikiwa ndani ya muda mfupi wa uongozi wake huku uungwaji mkono kwake ukiendelea kuongezeka kila uchao. Acha roho za kichawi hizo. Una roho mbaya sana wewe na chuki kubwa sana kwa Rais wetu.
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
 
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
Hata Magufuli alipingwa vibaya mno!
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Kwa sasa rahis anaweza kuwaapisha wateule wake hata chooni nyumbani kwake hata jikoni na hakuna wa kuuliza kwa sababu she is a good god wajameni.
 
Weka kifungu hicho cha katiba kinachotaja jina la Tanzania bara badala ya Tanganyika.
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
 
Lete ushaidi kuonyesha alipingwa,na hata yeye pia kwa ilo hakukosea,labda kama katiba inakataza mkuu
Lazima kuwe na sehemu maalumu ya kuapishia viongozi, haiwezekani kuapishia viongozi mahali popote.
 
Haiamini Tena ikulu yake kama ni salama!

Anayakimbia madaraka bila kujua au!!?

Mi nadhani anapata hofu baada ya kuona viongozi wa chama wanakufa vifo dhalili yaani maiti inakutwa barabarani,lazima apate hofu!!kiongozi wae chama chako anakufa TU kwa kuuawa inatuma ujumbe mbaya kwa kiongozi mkuu wa chama!Hata kama ni Mimi ningekimbilia nyumbani Ili hata yakinikuta yanikutie nyumbani wanisitiri!!!

Nafikiria TU kama mwana ccm mwenye akili timamu!!
 
Back
Top Bottom