Je, katiba ina semaje kuapisha viongozi Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar?

Je, katiba ina semaje kuapisha viongozi Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar?

Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Hiki wanacho badilisha ccm kila wakijisikia nayo ni katiba? Ni kijitabu tu cha maelezo ambacho hakina tija
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.

Hukumsikia mshauri wake wa kiroho na kiusalama Paul Makonda Jana ndugu...?

Huku Magogoni na Chamwino arogwa sana...

Huko kwao Zanzibar ni shwari. Mizimu ya baba na babu zake wanamlinda...

Kwa kifupi tu ni kuwa:

Ndio maana tunasema huyu bibi Mzanzibari anaopaswa kuishia hapo alipo. Hafai na hatufai Watanganyika...

To cement this, nasema, ni marufuku kuanzia mwakani na kuendelea kuruhusu Mzanzibari yeyote kuja kuwa Rais wetu Watanganyika...!!

We did a mistake at first place. This has not to be repeated again...!!
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Samahani mkuu, hii ni nje ya topic.

Wewe ni mtanzania au mkenya?

Kiswahili chako huwa kinanipa shida.
 
Haiamini Tena ikulu yake kama ni salama!

Anayakimbia madaraka bila kujua au!!?

Mi nadhani anapata hofu baada ya kuona viongozi wa chama wanakufa vifo dhalili yaani maiti inakutwa barabarani,lazima apate hofu!!kiongozi wae chama chako anakufa TU kwa kuuawa inatuma ujumbe mbaya kwa kiongozi mkuu wa chama!Hata kama ni Mimi ningekimbilia nyumbani Ili hata yakinikuta yanikutie nyumbani wanisitiri!!!

Nafikiria TU kama mwana ccm mwenye akili timamu!!
Ina maana huyu mwana CCM mwenzako Lucas Mwashambwa hana akili timamu? Hawezi kufikiri vizuri?

I am just kidding 😂😂😂🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Embu kwanza unijibu maswali haya.hiyo katiba unayoizungumzia kuwa tuilinde ni ya mwaka gani? Kama ni ya Mwaka 1977 je inasemaje kuhusu Zanzibar?

Je Zanzibar ni Nchi au siyo Nchi? Kama ni Nchi je inatambulika umoja wa Mataifa? Ina kiti katika umoja wa Mataifa? Ina Rais ambaye huenda kule kushiriki mijadala na kutoa hotuba na pengine hata kupiga kura? Nauliza maswali haya maana umesema Zanzibar ni nchi nyingine na kufananisha kwamba ni sawa na Rais wa Kenya aje awaapishe mawaziri wake hapa Tanzania.

Swali lingine je RAIS Wa Zanzibar anaingia kwenye vikao vya Baraza la mawaziri la jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama Nani?

Je kuna nchi ambayo haina jeshi lake? Kama Zanzibar ni Nchi je jeshi lake ni lipi? Mkuu wa Majeshi wake ni Nani?

Je Zanzibar hakuna ikulu ndogo? Je Zanzibar siyo Sehemu ya Tanzania?je Zanzibar hawampigia kura Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

Unaposema uapisho mwingi wa mawaziri unafanyika Zanzibar unamaanisha nini? Hiyo mara nyingi ni ngapi? Unaweze ukaweka hizo takwimu zako? Je katiba imetoa mgawanyo wa kwamba mahali fulani inatakiwa pasizidi idadi ya matukio kadhaa ya kuwaapisha mawaziri? Vipi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba aliyeapishiwa kule Chato kuwa waziri wa katiba na sheria? Je ile maana yake nini?

Kila siku nakwambia wewe kuwa uache chuki zako kwa Rais wetu.kinachokusumbua na kukutesa wewe ni chuki binafsi kwa Rais wetu tangia Siku ya kwanza kabisa. Roho mbaya yako haitakufikisha popote pale. Rais wetu acha afanye kazi
.najua wewe ni Miongoni kwa wale watu waliokuwa wanatamani sana Rais wetu ashindwe kuongoza Taifa hilo na kukataliwa na watanzania.sasa moyo unakuuma sana unapoona mafanikio makubwa yaliyofikiwa ndani ya muda mfupi wa uongozi wake huku uungwaji mkono kwake ukiendelea kuongezeka kila uchao. Acha roho za kichawi hizo. Una roho mbaya sana wewe na chuki kubwa sana kwa Rais wetu.
Kujifanya ujuaji tu, wa kutetea kila ujinga wa upande huo!
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.

Maza anachokifanya ni kazi iendelee tu ..
Anaendeleza yote ya JPM bila kujali kama ni mazuri au Mabaya.
 
Hapa tunapaswa kufikiri Kwa vichwa vyetu hivi Fulani akikosea nani nakosea pia tujifubze kuiga mambo mazuri pia hivi kisheria ikulu ni wapi na makazi ya Rais
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Huyu mama tabia zake za kutofuata utaratibu ni kama Magufuli.
 
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
Jiwe alisemwa sana tu kwa upuuzi wake wa kuapishia mawaziri 'sebuleni' kwake Chato, ila hata kama ingekuwa hakusemwa bado si excuse huu upuuzi ukakaliwa kimya.
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Katiba HAISEMI Waziri ataapishiwa wapi. Hivyo hata akiapishiwa ndani ya daladala ya kwenda Majohe au Igombe (kwa huku Mwanza) ni sawa tu.
 
Sijui kama inasema chochote kuhusu hilo,maana JPM alimwapisha Mwigulu Chato,sina uhakika kama Chato kulikuwa na ikulu ndogo au ilikuwa ni nyumbani kwake
 
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
Tumia basi akili kufikiri!! Mbona watu walisema na kuhoji sana kuhusu hilo! Na kosa moja, halihalalishi lingine.
 
Ndugu zangu nielewesheni inawezekana nina tongo tongo ila naona kama kuna jambo halipo sawa na kama lipo sawa basi naona kuna shida ktk katiba yetu.

Kwa mujibu wakatiba Tanzania ni muunganiko wa Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Na kwa katiba hiyo hiyo inasema patakuwa na Rais wa Tanzania na Rais wa ZANZIBAR.

Katika siku zakaribuni kumekuwa na mazowea kiukweli napata shida nakwakuwa jukumu lakulinda katiba ni la kwetu sote natamani kujuwa haya

Hivi kwanini Rais amekuwa akipenda kutoa madokezo yakiwa na neno ikulu ndogo Tunguu badala ya ikulu Dodoma au Ikulu Magogoni?

Pili kwanini mh Rais amekuwa akipenda kufanya vikao vya baraza la mawaziri ikulu ndogo Tunguu na sio Ikulu ya Dodoma au Dsm?

Tatu kwanini amekuwa akipenda kwenda kuwaampishia mawaziri na viongozi wa jamuhuri ya Tanzania ikulu ndogo Tunguu?

Zanzibar ni nchi je anapoenda kule anaomba kibali kwa Rais wa Zanzibar au anaenda tu kama Rais wa Jamuhuri anahaki yakufanya kikao popote kwenye Jamuhuri ya Tanzania je haitoleta mkwamo wa kisiasa huko mbeleni kwamba yeye ni Rais wa Zanzibar au wa Tanzania mbona hatuoni Rais wa Zanzibar akija bara kuapisha mawaziri au akitoa maelekezo yenye kusema kutoka kurugenzi ya mawasiliano Chamino au Magogoni?

Kenya anaweza kuja kuapisha mawaziri Tanzania kwasababu ni shirikisho la Africa Mashariki ipo sawa kweli?

Je kufanya hivyo hakuwezi leta shida hapo mbeleni kwamba anayatweza madaraka ya Jamuhuri ya Tanzania wakati huwo huwo akimnyima mwenzake pumzi nakuleta msuguano wakikatiba usi na maana?

Hii imekaaje wajuvi wa sheria na wanazuwoni. Naomba msaada.
Wewe mpumbavu kaulize katiba ya CHADEMA inasemaje Mbowe kufanyia kikao cha chama nyumbani kwake Machame
 
Back
Top Bottom