Je, katiba ina semaje kuapisha viongozi Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar?

Hiki wanacho badilisha ccm kila wakijisikia nayo ni katiba? Ni kijitabu tu cha maelezo ambacho hakina tija
 

Hukumsikia mshauri wake wa kiroho na kiusalama Paul Makonda Jana ndugu...?

Huku Magogoni na Chamwino arogwa sana...

Huko kwao Zanzibar ni shwari. Mizimu ya baba na babu zake wanamlinda...

Kwa kifupi tu ni kuwa:

Ndio maana tunasema huyu bibi Mzanzibari anaopaswa kuishia hapo alipo. Hafai na hatufai Watanganyika...

To cement this, nasema, ni marufuku kuanzia mwakani na kuendelea kuruhusu Mzanzibari yeyote kuja kuwa Rais wetu Watanganyika...!!

We did a mistake at first place. This has not to be repeated again...!!
 
Samahani mkuu, hii ni nje ya topic.

Wewe ni mtanzania au mkenya?

Kiswahili chako huwa kinanipa shida.
 
Ina maana huyu mwana CCM mwenzako Lucas Mwashambwa hana akili timamu? Hawezi kufikiri vizuri?

I am just kidding 😂😂😂🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Kujifanya ujuaji tu, wa kutetea kila ujinga wa upande huo!
 

Maza anachokifanya ni kazi iendelee tu ..
Anaendeleza yote ya JPM bila kujali kama ni mazuri au Mabaya.
 
Hapa tunapaswa kufikiri Kwa vichwa vyetu hivi Fulani akikosea nani nakosea pia tujifubze kuiga mambo mazuri pia hivi kisheria ikulu ni wapi na makazi ya Rais
 
Huyu mama tabia zake za kutofuata utaratibu ni kama Magufuli.
 
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
Jiwe alisemwa sana tu kwa upuuzi wake wa kuapishia mawaziri 'sebuleni' kwake Chato, ila hata kama ingekuwa hakusemwa bado si excuse huu upuuzi ukakaliwa kimya.
 
Katiba HAISEMI Waziri ataapishiwa wapi. Hivyo hata akiapishiwa ndani ya daladala ya kwenda Majohe au Igombe (kwa huku Mwanza) ni sawa tu.
 
Sijui kama inasema chochote kuhusu hilo,maana JPM alimwapisha Mwigulu Chato,sina uhakika kama Chato kulikuwa na ikulu ndogo au ilikuwa ni nyumbani kwake
 
Toeni ujinga wenu na chuki za kipuuzi,mbona hamkusema magufuli alikuwa anawaapisha mawaziri chato? Au chuki za jinsia na imani zinawasumbua,?
Vitu vingine vya kipuuzi haifai kulaumu,kwani znz haipo Tanzania au
Tumia basi akili kufikiri!! Mbona watu walisema na kuhoji sana kuhusu hilo! Na kosa moja, halihalalishi lingine.
 
Wewe mpumbavu kaulize katiba ya CHADEMA inasemaje Mbowe kufanyia kikao cha chama nyumbani kwake Machame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…