Umenikumbusha hadithi ya sungura- sizitaki mbichi hizi...Kwa katiba ipi?! Katiba iliyopo ni ukomo wa mihula miwili, na yeye mwenyewe alinukuliwa mara kadhaa akisema ataheshimu katiba dhidi ya kujiongezea muda.
Hayupo kwasasa, tujadili yaliyopo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha hadithi ya sungura- sizitaki mbichi hizi...Kwa katiba ipi?! Katiba iliyopo ni ukomo wa mihula miwili, na yeye mwenyewe alinukuliwa mara kadhaa akisema ataheshimu katiba dhidi ya kujiongezea muda.
Hayupo kwasasa, tujadili yaliyopo.
We Taahira tatizo nini hapo kum quote !?Zuzu wewe, mnajidanganya wasukuma, kumbe nyi hamjielewi, eti Agombei 2025,