Je, katiba inasemaje kuhusu ukomo wa Raisi kuongoza kwa hali ya sasa, je raisi tuliyenae atakuwa madarakani kwa miaka mingapi?

Kwa katiba ipi?! Katiba iliyopo ni ukomo wa mihula miwili, na yeye mwenyewe alinukuliwa mara kadhaa akisema ataheshimu katiba dhidi ya kujiongezea muda.

Hayupo kwasasa, tujadili yaliyopo.
Umenikumbusha hadithi ya sungura- sizitaki mbichi hizi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…