Je, katiba pekee ndio inaweza kubadili mienendo na siasa za Tanzania? Kama sio basi nini kifanyike kubadili siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla?

Je, katiba pekee ndio inaweza kubadili mienendo na siasa za Tanzania? Kama sio basi nini kifanyike kubadili siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla?

Joined
Apr 7, 2018
Posts
10
Reaction score
14
Habari gani mabibi na manabwa, karibuni tulijadiri hili.

Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa? Je katiba ndio chanzo cha mikopo isiyokuwa na ulazima?

All in all ebu tupeane madini hapo wanajamvi.

Nawasilisha
 
Habari gani mabibi na manabwa. Karibuni tulijadiri hili
Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa? Je katiba ndio chanzo cha mikopo isiyokuwa na ulazima?
All in all ebu tupeane madini hapo wanajamvi.
Nawakilisha
Lengo la katiba ya nchi ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaishi kwa haki ya kila jambo walitendalo na si kwa uchaguzi au siasa tu. Nchi ni kama chama ambacho wananchi waliomo ndani ya mipaka yake lazima wajiwekee mfumo wa kuendesha mambo yao yote kwa haki, haki hii ni ile ya kuishi, kabla na baada ya kuzaliwa.

Watu wote wawe na haki sawa ya kujumuika tofauti na ilivyo sasa ambapo watu wa chama cha CCM wamejipa haki ya kujumuika na kuwazuia wasio wanachama, ni hali potofu kudhani kuwa katiba ni kwa ajili ya mikutano ya siasa na uchaguzi huru!

Watanzania wanataka haki ya elimu, afya, kuabudu, kufanya biashara, kupata chakula nguo na mengine mengi, hivyo wanaoona hakuna haja ya kuwa na katiba ni wale wajinga ambao wakielimishwa ujinga utawatoka, jukumu la kuelimisha ni letu wananchi kwani watawala hawapendi kuelimisha ili uje upate haki zako.
 
Habari gani mabibi na manabwa. Karibuni tulijadiri hili
Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa? Je katiba ndio chanzo cha mikopo isiyokuwa na ulazima?
All in all ebu tupeane madini hapo wanajamvi.
Nawakilisha
Hapana siyo Latiba..

Ni wananchi wenyewe kukataa upuuzi Kwa maandamano
 
Wananchi wanataka katiba mpya ila wengi hawajui mapungufu ya katiba ya iliyopo yenye kufanya wahitaji mpya.
 
Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa?
Yes. Katiba ni jibu. Kuna mifano wa nchi za kiafrika ambako mwangaza wa utawala bora umeonekana;-Botswana, Ghana, Kenya na Malawi.
 
Habari gani mabibi na manabwa, karibuni tulijadiri hili.

Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa? Je katiba ndio chanzo cha mikopo isiyokuwa na ulazima?

All in all ebu tupeane madini hapo wanajamvi.

Nawasilisha
Katiba mpya ni muhimu sana, ila kwa upande wang baada ya katiba mpya bas kuwe na vyama at least viwili tu vya siasa. Nadhan kutakua na ushindan san, kuliko hili sokomoko la utitir wa vyama vya siasa!!
 
Back
Top Bottom