Nani kasema hatapitishwa?Nani kasema kuwa atapitishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema hatapitishwa?Nani kasema kuwa atapitishwa
Nashukuru sana mkuu kwa kunirekebisha na pia kunielekeza kuhusu ufasaha wa utumiaji wa neno "kukaimu" basi ngoja kwa pamoja neno gani litafaa kutumika sawa pia ulivyoelezea kuhusu upande wa katiba ingawa mimi sina uzoefu sana na katiba nadhani kuna namna ambavyo wajuzi wa haya mambo wanapotumia maneno yaliyo katika katiba huyafanya nukuu kwa namna yao kama "kivifungu" vile unaweza ukanisaidia nukuu ili nipitie na mimi hiyo katiba au umeeleza vyema kwa namna unavyojua?Mleta mada umetumia neno “kukaimu” vibaya na neno hilo linaweza kupotosha mada nzima. Kukaimu ni kushikilia madaraka kwa muda. Rais SSH alikaimu siku toka JPM alipokufa mpaka siku anaapishwa! Baada ya kuapa alishika madaraka ya uRais.
Katiba ya Tanzania inatambua muhula kuwa miaka mitano na hairuhusu kuongoza kwa zaidi ya mihula miwili, bila kujali mhula mmoja kati ya hiyo miwili ni miaka mitano kamili au pungufu. Ndio maana inaeleza kitakachotokea kama Rais aliye madarakani atakufa na atarithiwa na makamu wake. SSH angekuwa na nafasi ya kuongoza zaidi ya miaka 10 kama Rais JPM angekuwa amekuwa madarakani kwa zaid ya robo tatu ya muhula (JPM alitufa takribani miezi 6 baada ya kuapishwa) na hivo kipindi kilichobaki kitahesabiwa kwa Rais SSH (ndio maana inaitwa Serikali ya awamu ya sita)!! Na awamu ya Rais haizidi mihula miwili.
Namna pekee ya SSH kuwa mgombea wa 2030-35 ni kufanya kama wengine walivofanya - kutumia Bunge kubadilisha matakwa ya Katiba.
Hii ni awamu ya sita na kama anataka kuwa mgombea 2030 aanze kusema hii bado ni awamu ya tano na kwamba bado anakaimu madaraka ya Rais (jambo gumu kusema kwa sababu hawezi kuwa anakaimu wakati yeye sio Makamu wa Rais kama Katiba inavyotaka).
Mbona Biden alichaguliwa kuwa Rais wa USA akiwa na miaka 78.62( umri wake kwa sasa) + 15 = 77 ikifanya nini Ikulu?
𝑴𝒌𝒖𝒖, 𝒖𝒏𝒂𝒊𝒌𝒆𝒋𝒆𝒍𝒊 𝑪.𝑪.𝑴, 𝒂𝒖 𝒏𝒂 𝒘𝒆𝒘𝒆 𝑼𝑵𝑨𝑨𝑴𝑰𝑵𝑰 𝒉𝒊𝒗𝒚𝒐?Kila mtu na bahati yake. CCM ndio ilioandikiwa kutawala Tanzania milele. Watanzania wanaipenda, wanaikubali, wanaichagua.
P
Ok,Nashukuru sana kwa kutumia neno kukaimu inavyoonekana sijatumia neno tajika lakini wote hueleza sijatumia neno tajika lakini hawatoi neno mbadala linalofaa kutumika ngoja tuzidi kufikiria neno mbadala kwa pamoja.Heshima kwako Pascal
Ni kweli mleta mada amekosea kwa kutumia neno kukaimu Uraisi
Pamoja na hilo, ameleta hoja nzuri na fikirishi ( atleast kwa tusio na uelewa wa kutosha wa Katiba, japo najua kuna wengine ni wasomi wa sheria na hawana jibu la uhakika kwenye hili swali)
Mleta mada katoa mifano iliyoibua hoja yake ( maraisi wa Zambia, Burundi nk) hivyo ni swali lenye mashiko na lenye reasoning nyuma yake.
Ni kweli watanzania wengi ni viazi (na huo ndiyo mtaji wa CCM) Na watu ‘viazi’ wanazidi kuongezeka humu jukwaani, lakini swali lililoulizwa hapa lina mashiko maana sio kila mtu ana fursa ya kuijua katiba kama uijuavyo wewe.
Nikuombe sasa atleast utuambie katiba inasemaje kwenye hili au specifically kwanini Mh Rais Samia hawezi kugombea 2030.
Huo ndio ukweli
Sawa mkuu hapo niiweke vipi sentensi nitoe neno kukaimu niweke neno gani? Na pia katiba imekaaje maana sikuona karatasi la kupiga kura iliyoonyesha SSH akigombea nafasi ya uraisi au niweke neno mteule?SSH amemkaimu nani?
Na huyo aliyekaimiwa yupo wapi, na anatarajia kurudi lini kwenye kiti chake?!
Anyway, SSH hajakaimu bali ni Rais Kamili kwa mujibu wa katiba yetu!!
𝑴𝒌𝒖𝒖, 𝒖𝒏𝒂𝒊𝒌𝒆𝒋𝒆𝒍𝒊 𝑪.𝑪.𝑴, 𝒂𝒖 𝒏𝒂 𝒘𝒆𝒘𝒆 𝑼𝑵𝑨𝑨𝑴𝑰𝑵𝑰 𝒉𝒊𝒗𝒚𝒐?
Umemjibu vizuri sana ,Watanzania wengi bado hatujui katiba yetuMkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P
𝑴𝒌𝒖𝒖,𝒏𝒊𝒎𝒆𝒌𝒖𝒆𝒍𝒆𝒘𝒂! 𝑵𝒊𝒎𝒆𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒎𝒑𝒂𝒌𝒂 𝒉𝒊𝒚𝒐 𝒚𝒂 𝑲𝒂𝒚𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑷𝒊𝒏𝒅𝒂! 𝑵𝒊𝒎𝒆𝒛𝒊𝒔𝒐𝒎𝒂 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒂𝒅 𝒛𝒐𝒕𝒆 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒕𝒖𝒍𝒊𝒗𝒖!PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Mkuu P unatumia nguvu sana kuwaelimisha hiliMkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P
Naona taabu kupekua katiba ili kujua ni ibara ipi hasa, isipokuwa ibara husika inasema (nukuu isiyo rasmi)--Sawa mkuu hapo niiweke vipi sentensi nitoe neno kukaimu niweke neno gani? Na pia katiba imekaaje maana sikuona karatasi la kupiga kura iliyoonyesha SSH akigombea nafasi ya uraisi au niweke neno mteule?
Kwa mujibu wa katiba, anaruhusiwa kugombea ONLY 2025 kwa sababu, alipishwa na kuwa rais, ikiwa imebaki miaka 4 na ushee!!!Mkuu P unatumia nguvu sana kuwaelimisha hili
Kama muhula mmoja kwa mujibu wa katiba ni miaka mitano basi ujue kuwe mama hawajaanza muhula hata mmoja
Tukae kwa kutulia mama anaweza ushangaza ulimwengu
Hata kingai akiwa igp ni ngumu kupenyaKwa Katiba yetu na mfumo wa CCM /Dolla lolote linawezekana apendavyo H.E Samia.
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P
Sasa kwani hawezi kupitishwa nn kinazuia hasa asipitishweNani kasema kuwa atapitishwa
MaendeleoNa mbona Warusi wanamkubali? Anafanya madudu yepi???
Sawa mkuu hapo niiweke vipi sentensi nitoe neno kukaimu niweke neno gani? Na pia katiba imekaaje maana sikuona karatasi la kupiga kura iliyoonyesha SSH akigombea nafasi ya uraisi au niweke neno mteule?SSH amemkaimu nani?
Na huyo aliyekaimiwa yupo wapi, na anatarajia kurudi lini kwenye kiti chake?!
Anyway, SSH hajakaimu bali ni Rais Kamili kwa mujibu wa katiba yetu!!
Mbona unauliza swali ambalo nimeshakujibu hapo juu?!Sawa mkuu hapo niiweke vipi sentensi nitoe neno kukaimu niweke neno gani? Na pia katiba imekaaje maana sikuona karatasi la kupiga kura iliyoonyesha SSH akigombea nafasi ya uraisi au niweke neno mteule?