Je, Katiba yetu inamruhusu Rais Samia kukaa miaka 15 Ikulu?

Je, Katiba yetu inamruhusu Rais Samia kukaa miaka 15 Ikulu?

Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.

1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.

P
Ni kweli kabisa, hii Jf imejaa viazi vingi sana. Hasa viazi ufipa, aaaaaah vile viazi havifai kabisa.

Watu hawajui chochote zaidi ya matusi, wabishi wenye kujiona wako sawa kwa kila kitu.
Wao wanadhani hii inchi ni kama club tu😅.
 
Kumbe katiba yetu ni nzuri sana. Hao wanaotaka tuifumue yote na kuweka ile ya Waryoba lazima kutakuwa na kitu kimepungua kwenye medulla oblongata zao.
No katiba yetu sio mbaya kivile ila pia sio nzuri kivile. Kuna maeneo katiba yetu ni nzuri ikiwemo eneo la ibara ya 18 mambo ya haki za binadamu, na kuna maeneo ni mbaya kwa haki hizo kutolewa na kifungu kimoja kama haki ya kushiriki kwenye uongozi ni haki ya kila Mtanzania, imetolewa na Katiba kwenye kifungu kimoja, halafu ikaja kuporwa na katiba hiyo hiyo kwenye kifungu kingine kuwa ili mtu ushiriki kwenye uongozi ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Hivyo wanao taka katiba mpya wana hoja za msingi, very valid ila wasilazimishe.
P
 
No katiba yetu sio mbaya kivile ila pia sio nzuri kivile. Kuna maeneo katiba yetu ni nzuri ikiwemo eneo la ibara ya 18 mambo ya haki za binadamu, na kuna maeneo ni mbaya kwa haki hizo kutolewa na kifungu kimoja kama haki ya kushiriki kwenye uongozi ni haki ya kila Mtanzania, imetolewa na Katiba kwenye kifungu kimoja, halafu ikaja kuporwa na katiba hiyo hiyo kwenye kifungu kingine kuwa ili mtu ushiriki kwenye uongozi ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Hivyo wanao taka katiba mpya wana hoja za msingi, very valid ila wasilazimishe.
P
Sheria ya kukamata mtu na kimuweka ndani tukisubiri uchunguzi ni ya kidikteta,iondolewe
 
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.

1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.

P
Vyuo vikuu vinazalisha viazi wengi kuliko hata primary schools za miaka ya 90.
 
So technically samia ni kaimu raisi. Sijui why mnapenda kupotosha uma wa watanzania kwa hoja dhaifu.

Mara oooh hii ni awamu ya sita. Hii inakuwaje awamu ya sita kwa uchanguzi upi ?!
Mkuu Samcezar , ndio maana mwanzo nimesema tuna viazi vingi sana kuliko tunavyojidhania na huu ni uthibitisho wa kiazi kingine!.

Samia alikaimu urais baada tuu ya kifo cha JPM, lakini baada ya kuapishwa sasa Samia ni rais kamili na sio kaimu. Awamu ya pili ya JPM ilidumu kwa miezi 6 tuu na kuishia pale JPM alipoitwa na Mungu. Awamu ya 6 ya Samia imeanza siku alipoapishwa kuwa rais wa JMT.
Pítia post hii uekimike zaidi kikatiba na kisheria

P
 
Naona taabu kupekua katiba ili kujua ni ibara ipi hasa, isipokuwa ibara husika inasema (nukuu isiyo rasmi)--

Ikiwa rais aliye madarakani atashindwa kuendelea na nafasi yake kama rais, kutokana ama na kuumwa, kufariki, kujihudhuru, au kuondolewa madarakani (impeachment) basi makamu wa rais ataapishwa kushika kiti urais kwa kipindi kilichobaki.

Ikiwa kipindi kilichobaki ni pungufu ya mwaka mmoja (
sina uhakika sana hap), basi rais aliyeapishwa ataruhusiwa kugombea vipindi vingine viwili.

Lakini kama kipindi kilichobaki kinafika miaka 4, rais aliyeapishwa ataruhusiwa kugombea kwa awamu moja tu
!

Sasa basi, kwavile SSH aliapishwa na atakuwa rais kwa kipindi kisichopungua miaka 4, kwa mujibu wa katiba, ataruhusikwa kugombea tena awamu 1 tu, yaani 2025 na akishinda, ataweza kuwa rais hadi 2030.
Yaani kuna watu wameharibiwa mahesabu mengi sana kwenye hili.ukisia Adui usimwombee njaa ndio hilo lililotokea

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.

1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.

P
Unadhani mama atapiga term mbili?
 
Paskali...lugha uliyotumia haijawa ya staha...wewe ni Mutu mnene Sana!!
Mkuu mkulima gwakikolo , kwanza samahani kutumia lugha mbaya, vitu vingine kiukweli vinatia hasira sana!. Mtu mzima na akili zake timamu, ameshuhudia kwa macho yake mwenyewe Samia alipoapishwa kuwa rais wa 6 wa JMT, halafu leo unaleta bandiko na kumuita kaimu!. Huu kama sio ukiazi ni nini?.
Nisamehe bure na mimi ni binadamu nina madhaifu yangu na moja ya madhaifu hayo ni kushindwa kuwavumilia baadhi ya viazi!.
P
 
Unadhani mama atapiga term mbili?
Hili nimeisha wahi kulizungumzia hapa
P
 
Mkuu mkulima gwakikolo , kwanza samahani kutumia lugha mbaya, vitu vingine kiukweli vinatia hasira sana!. Mtu mzima na akili zake timamu, ameshuhudia kwa macho yake mwenyewe Samia alipoapishwa kuwa rais wa 6 wa JMT, halafu leo unaleta bandiko na kumuita kaimu!. Huu kama sio ukiazi ni nini?.
Nisamehe bure na mimi ni binadamu nina madhaifu yangu na moja ya madhaifu hayo ni kushindwa kuwavumilia baadhi ya viazi!.
P
Haaahaa..ngosha umechukia viazi vitamu ukapende viazi mviringo...??
 
Maadamu ameamuwa kuwa dictator zaidi ya mwenda zake tutasaidiwa kufupisha muda wake kama Mungu alivyosikia kilio chetu 2025 itakuwa vigumu kutoboa labda abadilike akishupaza shingo aanze kuaga tu Mungu hataniwi
 
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.

1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.

P
Mkuu umeamua kuwapa makavu live
 
Hakuna sehemu katika katiba ambapo unaweza kutoa "reference" ili kuonyesha usahihi wa hoja yako ambayo ni nzuri au ni mawazo yako mazuri tu.
REJEA Ipo

Mosi
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977, kifungu cha 37(5) inasema
"...(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote...."
Kifungu cha 40(4) kinaeleza bayana na huyo unayemtetea hatoweza kuchaguliwa mara mbili maana tayari atakuwa ameshika madaraka ya rais zaidi ya miaka mitatu tangu achukue kutoka kwa rais aliyechaguliwa. Kwa mantiki hiyo kutoka Machi 17, 2021-Novemba 2025 ni miaka minne na miezi tisa
"...(4) Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu...."

Labda sema jingine
 
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana kiukweli kabisa, elimu ya katiba bado inahitajika sana kwa Watanzania walio wengi, maana Kiukweli wengi humu ni viazi mpaka basi!.

1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, ndivyo viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.

P

hiyo elimu tutaipata wapi kama hata tukitamka neno KATIBA tu maCCM yanacharuka!!!

anyway, kwahiyo Raisi Samia hatogombea vipindi viwili?
 
Kila mtu na bahati yake. CCM ndio ilioandikiwa kutawala Tanzania milele. Watanzania wanaipenda, wanaikubali, wanaichagua.

Hili la CCM kutawala Tanzania milele ni ukweli kabisa, wanaobisha bisheni tuu maana kujifurahisha rukhsa!.
P

ndio propaganda zetu cheap hizo, hii nchi ni yetu sote chief….mtatoka tu.
 
Back
Top Bottom