Je katika historia za Dunia kuna falme yoyote iliyoongozwa na mwanamke iliwahi kusimama imara bila kuanguka?

Je katika historia za Dunia kuna falme yoyote iliyoongozwa na mwanamke iliwahi kusimama imara bila kuanguka?

Tafadhari sana naomba tushirikiane kwenye mjadala kwa kuangalia nafasi ya mwanamke katika kupewa uongozi wa juu katika jamii zenye ufalme.

Je mwanamke amewahi kuweza kuongoza falme yoyote hapa Duniani na ikasimama bila kuanguka?. Na ilikuwa ni falme ipi?

Karibu kwenye comments natarajia mjadala mkali na wenye moto mkubwa.

Referee ntakuwa katikati ya dimba.

Mimi referee jibu langu ni hapana mwanamke hajawahi kuweza hilo na hatoweza kamwe hadi milele.

Wadiz
Game haitakuwa fair kama refa ushachagua upande
 
Queen Elizabeth - Great Britain

Queen of Sheba - Ethiopia

Cleopatra - Egypt

Elen Johnson Sirleaf - Liberia

President Samia - URT

President Patil - India

To mention a fiew
 
Back
Top Bottom