Game haitakuwa fair kama refa ushachagua upandeTafadhari sana naomba tushirikiane kwenye mjadala kwa kuangalia nafasi ya mwanamke katika kupewa uongozi wa juu katika jamii zenye ufalme.
Je mwanamke amewahi kuweza kuongoza falme yoyote hapa Duniani na ikasimama bila kuanguka?. Na ilikuwa ni falme ipi?
Karibu kwenye comments natarajia mjadala mkali na wenye moto mkubwa.
Referee ntakuwa katikati ya dimba.
Mimi referee jibu langu ni hapana mwanamke hajawahi kuweza hilo na hatoweza kamwe hadi milele.
Wadiz