Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Mwenge umelaaniwa na vitabu mbali mbali vya maandiko tofauti, mathalani kwenye Biblia kitabu cha Isaya 50:11 kinaeleza kwamba kwa kukimbiza mwenge tutalala kwa huzuni, kulala kwa huzuni ni kutofanikiwa kwenye mambo yako.
Magufuli alitambua kuwa ili rasilimali zetu ziweze kutufaidisha ni lazima mwenge tuuweke kabatini, yale mamia ya bilioni ya kukimbiza mwenge yakafanye shughuli nyingine za maendeleo.
Leo mama kaupiga mwingi kwa mara nyingine, kaamuru lile li mwenge la pale daraja jipya la Tanzanite ling'olewe .
Sasa sijui jamaa wakisha ling'oa watalitupa baharini au watalipeleka kulipima kwenye vyuma chakavu?
Viva mama ❤
Magufuli alitambua kuwa ili rasilimali zetu ziweze kutufaidisha ni lazima mwenge tuuweke kabatini, yale mamia ya bilioni ya kukimbiza mwenge yakafanye shughuli nyingine za maendeleo.
Leo mama kaupiga mwingi kwa mara nyingine, kaamuru lile li mwenge la pale daraja jipya la Tanzanite ling'olewe .
Sasa sijui jamaa wakisha ling'oa watalitupa baharini au watalipeleka kulipima kwenye vyuma chakavu?
Viva mama ❤