Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Hivi kiukweli mwenge una faida gani?
Mwenge unafaida kuliko umbo la Tanzanite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kiukweli mwenge una faida gani?
Uwanja wa Mkapa una sanamu la mkapa?Daraja linaitwa Tanzanite hakafu unaweka picha ya Mwenge!
Nchi ngumu sana hii.
Kwahiyo kuna picha ya mwenge?!Uwanja wa Mkapa una sanamu la mkapa?
uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere una sanamu la Mw Nyerere?
Nchi sio ngumu, vichwa vyenu ndio vigumu.Daraja linaitwa Tanzanite hakafu unaweka picha ya Mwenge!
Nchi ngumu sana hii.
Hapo Ufipa mmeweka picha ya Mlima kilimanjaro na mwenge wake juu?Nchi sio ngumu, vichwa vyenu ndio vigumu.
Huku hakuna akili za kilumumba.Hapo Ufipa mmeweka picha ya Mlima kilimanjaro na mwenge wake juu?
Kwahiyo mna picha ya gavana wa BoT?Huku hakuna akili za kilumumba.
hiyo miradi haiwezi kuzinduliwa bila mwenge??Mwenge wa uhuru una mazuri yake na mabaya yake, moja ya zuri miradi ya maendeleo huzimduliwa na mingine kukaguliwa, baya mikesha yake huchochea maambukizi ya ukimwi na kupunguza nguvu kazi ya taifa.
Sasa muamue huo mwenge uendelee kuwepo au uondolewe.
Mwenge ukazungushwe Ukraine😂😂😂Mwenge unaleta amani palipo na chuki.
Kwanini CCM haeaupeleki huko Ukraine 🇺🇦 wakauzungushe zungushe amani ipatikane?
Hivi kiukweli mwenge una faida gani?
Kusema mwenge una faida bila kuzitaja ni porojo tu.Mwenge unafaida kuliko umbo la Tanzanite
Ana mambo mengi mno makubwa ya kushughulikia, na hivyo haiwezekani kuwa ana notice hadi vitu vingine vidogo vidogo kama hivi ambavyo kiuhalisia, hata watu wengi wa kawaida wanaopita njia hiyo hawawezi kuvi-notice.Upotevu wa pesa.. Ina maana kweli hakuliona hilo tangu picha za ujenzi mpaka uzinduziView attachment 2163093
Huyu ganze ni naniMwenge ni zindiko na maagano Kati ya nchi na shetani. Ili kuondoa nchi kwenye umiliki wa shetani ni kuanza kung'oa mikabata na maagano yaliyofanywa na wazee ikiwemo shehe Yahya, forozo ganze, Mwalimu na wenzake.