Google,master foronzo ganze.Huyu ganze ni nani
Invention ya Sheik Yahya na Gunze. Baada ya kutoka kwenye matambiko yao BagamoyoMwenge umelaaniwa na vitabu mbali mbali vya maandiko tofauti, mathalani kwenye Biblia kitabu cha Isaya 50:11 kinaeleza kwamba kwa kukimbiza mwenge tutalala kwa huzuni, kulala kwa huzuni ni kutofanikiwa kwenye mambo yako.
View attachment 2163058
Magufuli alitambua kuwa ili rasilimali zetu ziweze kutufaidisha ni lazima mwenge tuuweke kabatini, yale mamia ya bilioni ya kukimbiza mwenge yakafanye shughuli nyingine za maendeleo.
Leo mama kaupiga mwingi kwa mara nyingine, kaamuru lile li mwenge la pale daraja jipya la Tanzanite ling'olewe .
Sasa sijui jamaa wakisha ling'oa watalitupa baharini au watalipeleka kulipima kwenye vyuma chakavu?
Viva mama ❤
Tatizo kubwa Wanasiasa na Walokole wa Taifa hili WANAFIKIRI Matatizo yao yote Yanasababishwa na Mwenge.
Kwani kupanua vidole viwili juu au kuwa na nembo ya vidole viwili juu Kuna faida gani?Mwenge una faida gani ?
Kwani kupanua vidole viwili juu au kuwa na nembo ya vidole viwili juu Kuna faida gani?
Nembo ya Bibi na bean Ina faida gani?
Utakuja kusaidia chaggadema kuingia madarakaniMwenge una faida gani?
Utakuja kusaidia chaggadema kuingia madarakani
Sera zao unaniuliza Mimi?Wao wanautaka? Sera zao zinasemaje kuhusu Mwenge? Wanataka uendelee kuzungushwa kwa pesa za walipa kodi au uwekwe makumbusho?
Kama mwenge unaleta amani ccm upelekeni Ukraine
SAwa mnufaika mnaishi wa mwenge ukuwekao mjiniKama huutaki Mwenge nenda Ukraine haupo huko
SAwa mnufaika mnaishi wa mwenge ukuwekao mjini
Hizo fursa zina wenyewe kama nyie boss,wazee wa per diemPambana upate fursa ya kukimbiza Mwenge kitaifa uingie kwny data base ya 'fursa za Nchi' kama una walau ka Degree ka uongo na kweli
Hizo fursa zina wenyewe kama nyie boss,wazee wa per diem
Mwenge ni alama ya taifa inaweza kuwekwa popote paleGharama mara mbili,, hapo tena kuna mwana anaenda kula pesa za walipa kodi...
Nafikiri mama na wasaidizi wake wawe wanapewa michoro mapema,,ila kama wana recommendation wazitoe mapema kuepuka gharama..
Btw Daraja linaitwa Tanzanite halafu mnaweka nembo ya mwenge H A I P E N D E Z I
Nipe connectionFursa haikutafuti…weee ndio wa kuji position
Mpira wa Kona wee unaenda kusimama katikati ya Uwanja halafu nwisho wa Ligi unasema huna bahati na magoli ya kona!