Je kauli za Lissu kushambulia wenzake zinatokana na kuchanganyikiwa na madeni? Wenje adai alimkopesha fedha Lissu wakati anaumwa

Je kauli za Lissu kushambulia wenzake zinatokana na kuchanganyikiwa na madeni? Wenje adai alimkopesha fedha Lissu wakati anaumwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni mbinu ya kuzuia asidaiwe? Katika mahojiano yake na chombo cha habari, Wenje amesema kwamba alitoa fedha zake nyingi kumkopesha Lissu wakati anajiuguza, na kwamba hajalipwa mpaka leo.

Najiuliza, Lissu amechagua kundi la watu wanaomdai, awachafue ili kuwapunguza kasi? Kwa nini asilipe madeni tu ili maisha yaendelee?
 
Sasa unamkopesha mgonjwa utegemee malipo kweli? Aseme alijitolea.
Lissu kurudi hapo kupigizana na siasa maji taka hizi ni kwamba kule alikokimbilia kaona kugumu tu.
Na hapo anapigania mgao, maslahi yake.
Hana habari yoyote na chama hicho zidi ya kupigania tumbo tu.
Akipewa chake akiridhika huyo anayeya tena.
 
Sasa unamkopesha mgonjwa utegemee malipo kweli? Aseme alijitolea.
Lissu kurudi hapo kupigizana na siasa maji taka hizi ni kwamba kule alikokimbilia kaona kugumu tu.
Na hapo anapigania mgao, maslahi yake.
Hana habari yoyote na chama hicho zidi ya kupigania tumbo tu.
Akipewa chake akiridhika huyo anayeya tena.
Lissu aliahidi atalipa atakapolipwa hela zake za matibabu
 
Ni mbinu ya kuzuia asidaiwe? Katika mahojiano yake na chombo cha habari, Wenje amesema kwamba alitoa fedha zake nyingi kumkopesha Lissu wakati anajiuguza, na kwamba hajalipwa mpaka leo.

Najiuliza, Lissu amechagua kundi la watu wanaomdai, awachafue ili kuwapunguza kasi? Kwa nini asilipe madeni tu ili maisha yaendelee?
Endelea kujiuliza chiembe
 
Tamaa ya pesa kwa wenje imepelekea wenje aingie mkenge kwa Abdul, huo ndo ukweli
 
Mbona umeandika vitu ambavyo havina mantiki yani mtu awapopoe wanao mdai ili kuwapunguza kasi ya kumdai hiyo inakuja kweli 🤔 na una uhakika gani kwamba anadaiwa na hao watu🤔
 
Lissu aliahidi atalipa atakapolipwa hela zake za matibabu
Na kalipwa hajarudisha,kuna haja kumwamini mtu huyo kumpa uongozi?
Ndio maana wachaga hawataki ashike uongozi?
Bora abaki huyo Mbowe ingawa nae ni yaleyale.
Kiujumla hamna kiongozi hapo
Waendelee kukimbizwa na Mbowe.
 
Back
Top Bottom