johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakaitwa Buzz na baadae TigoNakumbuka mwanzoni walikuwa wanaitwa Mobitel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakaitwa Buzz na baadae TigoNakumbuka mwanzoni walikuwa wanaitwa Mobitel
Kwa Kesi ys Marekani na UKHawawezi kukwepa kikombe hicho lazima wainywe.
Nadhani hii point yako ifanyiwe laminationWanahofia hio kesi huenda ikachafua jina na brand ya kampuni ( Tigo). Hata wakishindwa kesi tayar watakua wameshajiita Yas haitawaathiri
Ni picha mbaya kwa kampuni ya mawasiliano ikisemekana inatoa taarifa zao kwa watu
Lissu atafutiwe Ulinzi......Magiant ni watu hatariHiyo haiwezi kuwa dawa.
Akili kisoda, hii ni Mara ya 4 wanabadili jina. Wewe unafikiri eti Lissu na Chadema ndo mmesababisha. Ushamba unawasumbua.Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Ni suala la muda tu, ukweli utajulikana.Kwa Kesi ys Marekani na UK
Kule hakuna Mahakama za kupigia simu.
Kweli Mungu hachelewi wala hawahi......Ndio naelewa huu msemo
Jitoe kwenye chunguAkili kisoda, hii ni Mara ya 4 wanabadili jina. Wewe unafikiri eti Lissu na Chadema ndo mmesababisha. Ushamba unawasumbua.
Mobitel-Buzz-Tigo-Yas.
LISSU hàna influence yoyote na hayo mabadiliko.
Eti hiyo mixx by ass ndo mbadala wa tigopesa!Ndio nashangaa hapa naambiwa Yas na Mixx alafu mix by ass, ndio Nini kwanin!?
Mix by ass? Duh! Sasa mbona wanaturudisha nyuma?Ndio nashangaa hapa naambiwa Yas na Mixx alafu mix by ass, ndio Nini kwanin!?
nadhani pamoja na sababu nyingine za kibiashara, tecknologia na kuinunua Zantel, hali hiyo imechochea mabadiliko hayo makubwa zaidi ya kimkakati na kujibrand upya kutoka kwenye uzamani na kuja kwenye upya katika tasnia ya mawasiliano 🐒Nakumbuka mwanzoni walikuwa wanaitwa Mobitel
Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Kama ungekuwa na uwezo wa kuingia kwenye mitandao mbalimbali ungelijua ya kwamba Tigo Tanzania waliishatoa taarifa ya kubadili jina na mmiliki ZAIDI YA MIAKA MITATU iliyopita.Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Kabla mchakato wa mabadiliko haujakamilika wenye kesi nae wawahishe kesi kunako ili hata wakibadili wawajibike kwa madai ama jinai waliyotenda.ILianza Mobitel ikja ikawa Buzz ikaja ikawa TIGO Sasa inaitwa Yas
"YOU MUST TIME, TIME, BEFORE TIME TIMES YOU"Unadhani ni mara ya kwanza wanabadili Jina? 😂😂
Hawajatoa sababu ya mabadiliko hayo we unayo sababu?.Akili kisoda, hii ni Mara ya 4 wanabadili jina. Wewe unafikiri eti Lissu na Chadema ndo mmesababisha. Ushamba unawasumbua.
Mobitel-Buzz-Tigo-Yas.
LISSU hàna influence yoyote na hayo mabadiliko.
Yaani Lissu ni Masikini?Ni umaskini tu 😂😂😂
Usihangaike na MapepoHawajatoa sababu ya mabadiliko hayo we unayo sababu?.