Je, Kibatala ni kumtetea Mbowe tu, Wanachadema wengine wapambane kivyao?

Je, Kibatala ni kumtetea Mbowe tu, Wanachadema wengine wapambane kivyao?

27 March 2022
Helsinki, Finland

UNAIJUA MIAMBA MITATU HII YA SIASA TANZANIA? JULIUS NYERERE, MAALIM SEIF, FREEMAN MBOWE. UNA MAONI GANI?



Hii ni tafakuri juu ya wanasiasa watatu ambao wameathiri kwa kiasi kikubwa siasa za Tanzania kwa kujenga vyama imara - Mwalimu Julius Nyerere, Maalim Seif Shariff Hamad, na Freeman Mbowe. Nani anasema hayo? Fuatilia uchambuzi huu mfupi.

Source : SK Media Online TV
 
March 26 , 2022

A Smile of the Struggle For Change in East Africa . Robert Kyagulanyi Ssentamu a.k.a Bobi Wine meets Freeman Mbowe in Arusha. What next ?


1648430014538.png
 
14 January 2022
Rukwa, Tanzania

MKUU WA MKOA WA RUKWA AKAIDI AMRI YA WITO WA MAHAKAMA CHADEMA WAMSHIKA KOO MKUU WA MKOA



T-shirt ya katiba mpya yasababisha kesi mahakamani, RC Joseph Mkirikiti mkuu wa mkoa aliyeamrisha mwanachama wa CHADEMA kurundikwa mahabusu ashindwa kuitikia samasi ya mahakama
 
Jibu swali wacha porojo.

Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....

Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?

Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?

Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.
Kila ofisi ya chama ya kanda ina mawakili kadhaa na ndiyo wanadeal na kesi za maeneo husika.

Umemmis Kibatala ehh???
 
ChadeSaccos.
nyie changeni hela tu ruzuku yenyewe ndogo sasa baba mkwe anaisubiri/m kiti malyenge ndo hela yake mnapigwa tu kwa jina la mungu.
Tukimaliza porojo tunaenda kula k-vant na mnatusindikiza na mabendera yenu😁🤣🤣🤣
Nguvu ya umma
Endeleenu kuteseka,tunachanga na tutaendelea kukichangia Chama chetu pendwa!
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
Unataka Kibatala asimamie awakilishe wateja 400 nchi nzima?

Acha chuki zako binafsi Kwa CDM,ungeeleza kwamba Kuna mwanachama kakosa wakili eneo fulani!
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?

Unazungumziaje viongozi wa ccm wanaosema wanawatumikia wananchi, huku wananchi huko vijijini hawana hata maji safi, wakati hao viongozi wa ccm wakiwa na maji safi hadi ya kuflash vinyesi vyooni mwao? Na bado mnataka hao wananchi masikini waendelee kuwaunga mkono ili kuboresha maisha yenu na familia zenu?
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
we unaonaje? umefanana na MWAMBA au
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
WEWE UMEWATETEA wangapi?
 
Unazungumziaje viongozi wa ccm wanaosema wanawatumikia wananchi, huku wananchi huko vijijini hawana hata maji safi, wakati hao viongozi wa ccm wakiwa na maji safi hadi ya kuflash vinyesi vyooni mwao? Na bado mnataka hao wananchi masikini waendelee kuwaunga mkono ili kuboresha maisha yenu na familia zenu?
Kwani mbowe anatumia choo cha maji ya wapi?

Mbona anakomba ruzuku yote bila hata kujenga ofisi ya makao makuu.

Mikutano mnafanyia hoteli za 5star huku ofisi za kata zikiwa zimepigwa kufuli mitaani.
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
Watanzania kwa kuwa tulipewa Uhuru mezani hatuelewi maana ya struggle ...... Hivi unafikiri kule SOWETO walikuwa na Mawakili.

Wewe una lako jambo. Unataka Kamanda afe ili jeshi lisambaratike ....!!
 
Jibu swali wacha porojo.

Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....

Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?

Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?

Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.

..Na CCM kwanini imefuta kesi ya Mbowe badala ya mamia ya kesi za wanachama wa kawaida waliomtangulia Mbowe magereza?
 
Back
Top Bottom