Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lala dada angu bado mapema snKumbe mbowe kesi yake ilikuwa sahihi.
Na ndio maana mkamuweka Kibatalla kumtetea?
Afadhali mnajikuta mnausema ukweli taratiibu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lala dada angu bado mapema snKumbe mbowe kesi yake ilikuwa sahihi.
Na ndio maana mkamuweka Kibatalla kumtetea?
Afadhali mnajikuta mnausema ukweli taratiibu!
Halafu Mangi kaona shelf Dukani ziko empty.Chadema inawenyewe mtu kama Mbowe anapiga pesa vibaya huku akishirikiana na wanufaika wachache kama Kibatala.Kuna wanachama wengi wamebambikiwa kesi na wengine hawana hata wa kuwatetea.Mwenyekiti katoka eti wanamchangia simu na laptop haaa baada ya siku kadhaa anaibukia kwao kanisani anatoa millioni mia.Wajinga ndiyo waliwao.Kiongozi wa kweli ni Lissu tuuu hata kpindi yupo alikuwa anatoa msaada wa kisheria kwa wanachama wengi wa kawaida.
Kaa tulia dada anguKashfa ni sera yenu ila haifuti ukweli zaidi ya kuwaleta hadharani zaidi.