Hata wakitetewa wote mahakamani bado utaanzisha ya kuanzisha ili mradi usifuate yako.Kwa hiyo kila kesi unataka uwe unaletewa utetezi unaofanyika hapo nyumbani "kwenu"?Wananchi wenye udadisi wa mambo kama haya!
Jibu hoja wacha swali urojo
Kila ofisi ya chama ya kanda ina mawakili kadhaa na ndiyo wanadeal na kesi za maeneo husika.Jibu swali wacha porojo.
Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....
Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?
Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?
Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.
Endeleenu kuteseka,tunachanga na tutaendelea kukichangia Chama chetu pendwa!ChadeSaccos.
nyie changeni hela tu ruzuku yenyewe ndogo sasa baba mkwe anaisubiri/m kiti malyenge ndo hela yake mnapigwa tu kwa jina la mungu.
Tukimaliza porojo tunaenda kula k-vant na mnatusindikiza na mabendera yenu😁🤣🤣🤣
Nguvu ya umma
Unataka Kibatala asimamie awakilishe wateja 400 nchi nzima?Jambo all Member's JamiiForums!
Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.
Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.
Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.
Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.
Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?
Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.
Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.
Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?
Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.
Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"
Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.
Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.
Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
Jambo all Member's JamiiForums!
Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.
Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.
Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.
Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.
Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?
Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.
Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.
Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?
Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.
Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"
Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.
Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.
Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
we unaonaje? umefanana na MWAMBA auJambo all Member's JamiiForums!
Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.
Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.
Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.
Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.
Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?
Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.
Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.
Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?
Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.
Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"
Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.
Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.
Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
WEWE UMEWATETEA wangapi?Jambo all Member's JamiiForums!
Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.
Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.
Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.
Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.
Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?
Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.
Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.
Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?
Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.
Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"
Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.
Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.
Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
join the chain wewe acha majungu yakoSACCOS ina wenyewe, wengine hawapo kwenye ushirika wa wanaSACCOS
Kwani mbowe anatumia choo cha maji ya wapi?Unazungumziaje viongozi wa ccm wanaosema wanawatumikia wananchi, huku wananchi huko vijijini hawana hata maji safi, wakati hao viongozi wa ccm wakiwa na maji safi hadi ya kuflash vinyesi vyooni mwao? Na bado mnataka hao wananchi masikini waendelee kuwaunga mkono ili kuboresha maisha yenu na familia zenu?
CCM wawape kesi ili Kibatala aende kuwatetea?Hao si umewabambikia wewe, hivyo kazi Yako ni hiyo na kazi yao ni kuwatoa sio 🤔
Watanzania kwa kuwa tulipewa Uhuru mezani hatuelewi maana ya struggle ...... Hivi unafikiri kule SOWETO walikuwa na Mawakili.Jambo all Member's JamiiForums!
Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.
Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.
Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.
Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.
Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?
Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.
Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.
Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?
Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party [emoji3060]" zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.
Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"
Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.
Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.
Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
Jibu swali wacha porojo.
Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....
Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?
Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?
Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.