johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Kwahiyo waziri kiongozi alikuwa chini ya Waziri mkuu?Lazima Mjue Zanzibar Nafasi Ya Makamu Wa Pili Haikuwepo Hapo Kabla Isipokuwa Iliwekwa Kwenye Masuala Ya Usuruhishi. Yaani Hapo Zamani Alijulikana Kama Waziri Kiongozi.
Ulipotokea Mgogoro Wa Maalim Seif Ndiyo Hiyo Nafasi Ikawekwa Kuondoa Ukakasi Kwenye Utawala
Hadi Hapo Naamini Utakuwa Umeelewa Suala La Ukubwa Wa Nafasi Kiitifaki
Hata Mzanzibari Mama Samia Makamo wa Raisi ni mkubwa kwa Raisi wa ZanzibarZanzibar ni sehemu ya Tanzania/Zanzibar ni subset ya Tanzania
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ni mtoto kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT)
Then usitarajie viongozi wa Muungano wakawa wadogo/chini ya viongozi wa Zanzibar
NdiyoKwahiyo waziri kiongozi alikuwa chini ya Waziri mkuu?
Kuna tofauti kati ya mkuu na mkubwa bwashee!Hahaha Iddi Seif ni mkubwa sana kwa umri hata umbo, na ndio maana stroke ilimuanza yeye, kisha atakayefuata kupigwa stroke ndiye anayemfuatia kwa ukubwa.
Seif Iddi > Majaliwa
Magufuli> Shein.
Kwa mujibu wa katiba ipi?!Ndiyo
Hahaha tofauti ni ipi sasa?! Huku kwetu ukuu ndio ukubwa, huko kwenu mnatofautishaje?!Kuna tofauti kati ya mkuu na mkubwa bwashee!
Vyeo Hivyo Viliwekwa Kutafuta Nafuu Siyo KikatibaKwa mujibu wa katiba ipi?!
Hivyo mnakubaliana na mm Sheni ni Mkubwa kuliko JPM? Coz Shen aliingia mwisho akatoka mwanzo hhhhh mjumbe wa baraza la Mawazir anajeuri eeeeee??Ukitaka swali lako liwe tamu unatakiwa ujue kuwa Rais wa Zanzibar ni mjumbe ktk baraza la waziri la Tanzania,na makamu wake sio mjumbe ila waziri mkuu ni mjumbe,mpaka hapo utakuwa umeelewa kiitifaki kuwa Waziri mkuu ni mkubwa kuliko makamu wa rais wa zanzibar.Wajuzi wanirekebishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi yenyewe takataka tu, ilishakwama. Haijulikani kipi ni kipi, tunaenda wapi, tunaendaje.
Ni Ilimradi Kumekucha Tu
Huyu Shamsi v. Naodha yupo wapi?Ndiyo
Shamsi Vuai Nahodha Ndiyo Alikuwa Wa Mwisho Kutumia Cheo Cha Waziri Kiongozi
Baadaye Ndiyo Kikawekwa Hicho Cha Makamu Wa Kwa Kwanza Wa Rais, Makamu Wa Pili Wa Rais
Iwapo Nimekosea Wengine Watanisahihisha
Ukitaka swali lako liwe tamu unatakiwa ujue kuwa Rais wa Zanzibar ni mjumbe ktk baraza la waziri la Tanzania,na makamu wake sio mjumbe ila waziri mkuu ni mjumbe,mpaka hapo utakuwa umeelewa kiitifaki kuwa Waziri mkuu ni mkubwa kuliko makamu wa rais wa zanzibar.Wajuzi wanirekebishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo Kama Sijakosea Kuna Cheo Alipewa
Kwani France ina pesa yake?Na jeshi na fedha yake?
Iko wapi nafasi ya makamu wa Raisyeah kiitifaki makamu wa pili wa raisi wa zanzibar ni wa 6 kiukubwa.....uwe unatazama hata magari ya escort yale yanayobeba walinzi...raisi wa JMT ni E 1 (escort 1) makamu wa rais JMT ni E 2, raisi wa zanzibar ni E3, waziri Mkuu ni E 4, makamu wa kwanza wa rais zanzibar ni E 5 ambapo saivi hayupo, makamu wa pili wa raisi zanzibar ni E 6........hio nimeku elewesha kwa itifaki ya code za kiulinzi wa viongozi wa kitaifa yule ambae escort yake ni 1 means ndio mkubwa hivohivo no zinavyoshuka ndivo huonesha seniority
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nchi yenyewe takataka tu, ilishakwama. Haijulikani kipi ni kipi, tunaenda wapi, tunaendaje.
Ni Ilimradi Kumekucha Tu
Nalo hili ni jibu kwa swali lililoulizwa?Zanzibar yenyewe hata haizidi mkoa wa pwani kwa ukubwa. Unguja tu hapo ni sawa na jimbo