Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Corona hainaga kureeeembaaaHivi ulipona kwenye dhoruba ya kipigo cha wananchi ulipokwapua mkoba wa yule dada pale kituoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corona hainaga kureeeembaaaHivi ulipona kwenye dhoruba ya kipigo cha wananchi ulipokwapua mkoba wa yule dada pale kituoni!
Unachekesha Ashura.......Panadol utameza wewe kijakazi wake
Kwani na huyo "bwana mukubwa" amegusa virusi vya corona?Aote jua huku kaelekeza kipara upande lipigapo jua atapata afua!😝😝😝😝😝😝Corona hainaga kureeeembaaa
Napenyezewa eti unatumia michoro ya gazeti la sani kupitia ndumilakuwili jinsi ya kukwapua!Corona hainaga kureeeembaaa
Hata hiyo kazi unayoifanya hapo lumumba inakutoa tuUnachekesha Ashura.......
mm sijawahi kuungia baraza la Mawaziri
Mkwapuaji tayari yupo jehanamuNapenyezewa eti unatumia michoro ya gazeti la sani kupitia ndumilakuwili jinsi ya kukwapua!
Wajumbe, swali liko very straight, linajitegemea wala halihitaji kurembwa.
Recently kumekua na juhudi kubwa sana za kutaka kuuaminisha umma kuwa Magufuli alikua sahihi sana na hivyo kwa yale ambayo aliyafanya akiwa hai hayapaswi kupingwa, kuachwa, kurekebishwa, kuboreshwa kwakua kwa kufanya hivyo "tutakua" tunafuta kile kinachoitwa "Legacy ya Magufuli".
Yaani Magufuli alikua sahihi, kwa mfano, kujenga ukuta mererani ambao bado haujasaidia kutoroshwa madini, refer statements za week kadhaa, kuchoma vifaranga kutoka Kenya, kuzuia mabinti waliopata mimba kurejea shuleni, kukataza vyama vya siasa kufanya siasa, kuboresha ujenzi wa bwawa la Umeme, kuvaa barakoa na kuchanjwa etc.
Eti kwa kuyapinga, kuyaboresha hayo na mengine ni " kumkana" Magufuli! Tusiwe wajinga kiasi hiki ndugu zangu, Magufuli alipendwa kwakua aliudanganya umma kuwa Umaskini wetu kuna watu wanachangia tuwe hivi tulivyo! Akikwepa wajibu was serikali yake kabisa.
Wacha niishie hapa kwanza
Ficha upumbavu wakoHivi Nyerere hana legacy? Mwinyi je? Mkapa nae? Jk je? Acheni masihara. Legacy pekee ya Magufuli ni WATU WASIOJULIKANA, Azory Gwanda na Ben Saanane, Bashite na kugeuka kituko dunia nzima kwa kuaminisha watu kuwa Korona imeisha.
Nawezaje kukataa ushauri wa kiistaarabu namna hii? Asante sana, nimelichukua jambo hili kwa uzito unaostahili na Leo ni Siku ya Bwana, barikiwaMkuu Bwana PGO,
Vumilia nikushirikishe jambo hivi:-
Unapotoa mada usiwe judgmental yaani usilete mada ambayo tayari umeishakuwa hakimu kwa kuwa unaileta tayari umeishaihukumu, nakunukuu bila ku-edit isimu "Magufuli alipendwa kwakua aliudanganya umma...." pia usiwe mwepesi wa kutangulia kuchafua mada yako mwenyewe kwa maneno ya kejeli, nakunukuu "Tusiwe wajinga kiasi hiki ndugu zangu" aidha epuka kuwa inciteful (usijihalifu mwenyewe kwa uchochezi) acha watu wajihalifu au waihalifu mada alafu wewe uchukuwe nafasi ya Mwalimu uwasahihishe/uwasaidie kwa kuwatengenezea uvumilivu wa hoja mbadala kupitia responses zako kwenye uzi.
Wachangiaji wa mada wanapenda kupewa room ili wao ndiyo watoe mawazo na suluhisho, hivyo unapotaka mada ipate uzi mrefu iweke bila kutangulia kuhukumu wala kukejeli maana GTs walio wengi sana wanajaribu kukwepa sana mada zenye sura na mwelekeo huo. Wewe jiwekee maneno ya akiba ambayo utayatumia kusahihisha mwelekeo wa mjadala pale wachangiaji watakapotaka kupotosha mantiki na muktadha. Mwishoni kule utatumia akiba yako ya dondoo/maneno ya hekima na busara kuhitimisha kwa ama kukubaliana au kupingana na audience yako. Kwa staili hii mkuu utatukosha nyoyo kwelikweli.
Ila mada iko very sensitive, up-to-date, contextual, educative only structure yake ndiyo imeteleza. Kama nimeenda kinyume na matarajio yako basi tuchukuliane mizigo tusonge mbele pamoja mkuu.
Mpwa, acha mahaba, soma ueleweMbona mnatumia nguvu nyingi kumshambulia JPM. Yaani uzembe wenu mnamhusishaje JPM.
Pambaneni na hali zenu. Maana kwa dalili hizi mnazoonyesha hata SSH akitoka story zitakuwa ziezile dhidi yake!
Mkuu una haki ya kumponda hayati Magufuli,kwa miaka nenda rudi tumeshuhudia hakuna mtawala wala kiongozi ameshawahi kupendwa na watu wote kuna watu watamuona shujaa wao,huyo huyo kuna watakaomuona gaidi au jambazi,mtu ka Xi Jiping rais wa china pamoja na kufanya yote china lakini kuna watu wengi tu wanamchukulia kama mkandamizaji wa demokrasia,Vladimir Putin pamoja na effort zake zote nae hajawahi kosa tuhuma nyingi tu za ukandamizaji wa demokrasia na mauaji ya ajabu kwa wahasimu wake.Che guevera wakati katika dunia anaonekana kama symbol ya mapinduzi ya ukandamizaji kwa wamarekani wanamuona kama alikuwa gaidi.Hyo inakwenda mpaka kwa akina Indira Gandhi,Mwal Nyerere (kumbuka kuna watu hawakumkubali na walijaribu kumpindua sio mara moja).Kwa ufupi hakuna kiongozi aliyekuwa mzuri kwa watu wote lazima kuna kundi liliumia katika utawala wake.Saddam Hussein alifanya mengi Iraq lakini uadui wake na wakurd ulipelekea anguko lake so kila mtu atamuenzi kivyake.Yesu mwenyewe hakukubaliwa na wote na ndo maana hata baada ya kifo chake kuna watu palepale hawakukubali kama alifufuka bali wanafunzi wake walimuiba.Mtume mwenyewe hakukubaliwa na kila mtu ndo maana alipigana vita nyingi kuueneza uislam.Namalizia kwa kusema usiwabeze wanaoyashuhudia na kuyasifia mazuri ya Magufuli sababu wao sio vipofu au vichaa wameona kwa macho na akili zao,hvyohvyo hatutawabeza wanaokashfu Magufuli sababu nao wana machungu yao.Wajumbe, swali liko very straight, linajitegemea wala halihitaji kurembwa.
Recently kumekua na juhudi kubwa sana za kutaka kuuaminisha umma kuwa Magufuli alikua sahihi sana na hivyo kwa yale ambayo aliyafanya akiwa hai hayapaswi kupingwa, kuachwa, kurekebishwa, kuboreshwa kwakua kwa kufanya hivyo "tutakua" tunafuta kile kinachoitwa "Legacy ya Magufuli".
Yaani Magufuli alikua sahihi, kwa mfano, kujenga ukuta mererani ambao bado haujasaidia kutoroshwa madini, refer statements za week kadhaa, kuchoma vifaranga kutoka Kenya, kuzuia mabinti waliopata mimba kurejea shuleni, kukataza vyama vya siasa kufanya siasa, kuboresha ujenzi wa bwawa la Umeme, kuvaa barakoa na kuchanjwa etc.
Eti kwa kuyapinga, kuyaboresha hayo na mengine ni " kumkana" Magufuli! Tusiwe wajinga kiasi hiki ndugu zangu, Magufuli alipendwa kwakua aliudanganya umma kuwa Umaskini wetu kuna watu wanachangia tuwe hivi tulivyo! Akikwepa wajibu was serikali yake kabisa.
Wacha niishie hapa kwanza
Asante Sana Kaka MkubwaHivi Nyerere hana legacy? Mwinyi je? Mkapa nae? Jk je? Acheni masihara. Legacy pekee ya Magufuli ni WATU WASIOJULIKANA, Azory Gwanda na Ben Saanane, Bashite na kugeuka kituko dunia nzima kwa kuaminisha watu kuwa Korona imeisha.
Mpwa, nimeshafanya editing, karibu kwa mjadala huruMkuu Bwana PGO,
Vumilia nikushirikishe jambo hivi:-
Unapotoa mada usiwe judgmental yaani usilete mada ambayo tayari umeishakuwa hakimu kwa kuwa unaileta tayari umeishaihukumu, nakunukuu bila ku-edit isimu "Magufuli alipendwa kwakua aliudanganya umma...." pia usiwe mwepesi wa kutangulia kuchafua mada yako mwenyewe kwa maneno ya kejeli, nakunukuu "Tusiwe wajinga kiasi hiki ndugu zangu" aidha epuka kuwa inciteful (usijihalifu mwenyewe kwa uchochezi) acha watu wajihalifu au waihalifu mada alafu wewe uchukuwe nafasi ya Mwalimu uwasahihishe/uwasaidie kwa kuwatengenezea uvumilivu wa hoja mbadala kupitia responses zako kwenye uzi.
Wachangiaji wa mada wanapenda kupewa room ili wao ndiyo watoe mawazo na suluhisho, hivyo unapotaka mada ipate uzi mrefu iweke bila kutangulia kuhukumu wala kukejeli maana GTs walio wengi sana wanajaribu kukwepa sana mada zenye sura na mwelekeo huo. Wewe jiwekee maneno ya akiba ambayo utayatumia kusahihisha mwelekeo wa mjadala pale wachangiaji watakapotaka kupotosha mantiki na muktadha. Mwishoni kule utatumia akiba yako ya dondoo/maneno ya hekima na busara kuhitimisha kwa ama kukubaliana au kupingana na audience yako. Kwa staili hii mkuu utatukosha nyoyo kwelikweli.
Ila mada iko very sensitive, up-to-date, contextual, educative only structure yake ndiyo imeteleza. Kama nimeenda kinyume na matarajio yako basi tuchukuliane mizigo tusonge mbele pamoja mkuu.
Duniani kote ni ngumu kufuta legacy za mtangulizi wako kwa 100% hata kama alikuwa wa chama cha upinzani. Bado Mhe. SSH anaendeleza kazi kwenye maeneo yafuatayo ambayo yalianzishwa na Magufuli:-Inafaa tusikie kwa sasa tunapiga hatua zipi kimaendeleo na kutatua kero za Wananchi.
Legacy ya Magufuli haifutiki,sasa mjikite kutengeneza yenu.
Au kumsema hayati vibaya ndio legacy?
Ukweli ni kwamba kuna mambo yalifanyika kwa kutumia mbinu za kibabe na kila unapowauliza watu kuhusu awamu ile unazidi kuwa pandisha hasira zao. Wema hujisemea wenyewe hauhitaji nguvu nyingi kuelezea.Wajumbe, swali liko very straight, linajitegemea wala halihitaji kurembwa.
Recently kumekua na juhudi kubwa sana za kutaka kuuaminisha umma kuwa Magufuli alikua sahihi sana na hivyo kwa yale ambayo aliyafanya akiwa hai hayapaswi kupingwa, kuachwa, kurekebishwa, kuboreshwa kwakua kwa kufanya hivyo "tutakua" tunafuta kile kinachoitwa "Legacy ya Magufuli".
Yaani Magufuli alikua sahihi, kwa mfano, kujenga ukuta mererani ambao bado haujasaidia kutoroshwa madini, refer statements za week kadhaa, kuchoma vifaranga kutoka Kenya, kuzuia mabinti waliopata mimba kurejea shuleni, kukataza vyama vya siasa kufanya siasa, kuboresha ujenzi wa bwawa la Umeme, kuvaa barakoa na kuchanjwa etc.
Wacha niishie hapa kwanza
Mkuu,Nawezaje kukataa ushauri wa kiistaarabu namna hii? Asante sana, nimelichukua jambo hili kwa uzito unaostahili na Leo ni Siku ya Bwana, barikiwa
Si bora yeye hotelini (a.k.a Ikulu ndogo). Think of mere RC kuapishwa Ikulu na Rais kuapishwa stadium, Ikulu na stadium wapi ni wakfu zaidi? Kibaki aliapishwa usiku wa manane (bendera nchi nzima zikiwa zimeshushwa) Ikulu bila mgeni wa kimataifa hata mmoja!Yule jamaa alikua anatupeleka wapi sijui,yaani Mwigulu aliapishiwa pale hotelini kwa mkuu,JS hotel.