Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu muweza wa yote aliyewapa uhuru wa kuchagua viumbe wake, basi hakutakiwi kuwe na mambo yasiyowezekana.
Kukiwa Kuna mambo baadhi baadhi tu ambayo unaweza kuyafanya, basi hayo huyafanyi kama sehemu ya uhuru wa kuchagua bali ni efforts zako tu.
Ukiwa na udhaifu unaweza kufanya kila kitu Kwa usahihi Kwa asilimia 100?
Kama hutokuwa na huo uwezo kwanini ufikirie nafasi ya wewe kuepuka ujinga ilihali umeumbwa Kwa asili ya udhaifu?
Na huoni kwamba kufikiria tu kuwa unaweza kuepuka ujinga angalia umdhaifu maana yake unakuwa umem-underestimate Mungu uwezo wake kudhani kwamba udhaifu aliouweka kwako utakuwa na udhaifu wa kuweza kuepukika ili ufanye mambo kiusahihi?
Hii elimu ya kufundisha watu ku free will kwa Allah ni uislam wako unataka kuanzisha au ?Hivyo vyote ametaka viwepo kwa uwezo wake na ndio maana vipo. Kwahiyo vinazidi kuonyesha ukamilifu wa Allah aliye juu.
Vp hao watu,bado wapo mpaka sasa?Mathayo 16:28
[28]Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.
Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.
Hapo sikupaelewaVp hao watu,bado wapo mpaka sasa?
😂😂😂Hapo sikupaelewa
Uongo wa allah na shoga wake mudi