Je, kila nafsi itaonja mauti?

Je, kila nafsi itaonja mauti?

Nadhani hiyo ndio itakuwa ushahidi kuonesha Mungu kaumba kila kitu kilicho chema so unaweza kumuita mjinga?

Hakikisha unachokiandika una uhakika nacho, sio kuandika mambo ya dhana.

Unajua ya kuwa unamjadili usiye mjua ?

Allah ameumba wema na ubaya, kisha akampa mwanadamu uhuru wa kuchagua. Ndio maana hata wewe kwa uhuru alio kupatia unamkana.

Kwahiyo ulichokiandika hakiwezi kuwa ushahidi sababu kinapingana na uhalisia.

Hats wewe unavyo mkana leo hii, yeye alijua hilo.
 
Ujinga ni jambo la hiari, ni wewe mwenyewe umeamua kuwa mjinga ndio maana ukawa mjinga.

Allah amekupa uhuru wa kuchagua, ungetaka kuwa na maarifa ungekuwa nayo.
Ilishindikana kuwepo kwa mambo ya hiari ambayo yatakuwa ni mazuri bila ujinga?

Kwanini Allah aliye mwema aweke mabaya kwenye options ya chaguzi za viumbe wake?
 
Kwenye Bible hakuna maneno kama hayo,isipokuwa maneno hayo yanapatikana kwenye Qur'an ni message ya Muhammad na Allah kwa wafuasi wao,humo Allah anasema ya kwamba "kullu nafsin zaikatul maut" tafsiri yake ndio hiyo sasa unayoisema wewe Kama una swali lingine uliza nitakujibu
 
Onyesha uzembe hap uko wapi kwa jambo la kujitakia mwenyewe ?

Nikikuuliza maswali uwe una jibu maswali ninayo kuuliza.
Hawezi kuepuka lawama ya uzembe wakati yeye aliumba kiumbe dhaifu kisichokuwa na 100 accuracy ya kuepuka ujinga.

Angetaka iwe hivyo angeumba kiumbe kisichoweza kukosea au kila kitu kitachofanya basi kiwe ni sahihi.

Lakini hakufanya hivyo, sasa kwanini aepuke lawama ya uzembe?
 
Na ujinga nao upo kwenye ulimwengu upi?

Ni huo huo ulioumbwa na Allah?

Haswaa huo huo ulio umbwa na Allah.

Hakuna chochote ambacho kipo nje ya Milki ya Allah.
 
Hakikisha unachokiandika una uhakika nacho, sio kuandika mambo ya dhana.

Unajua ya kuwa unamjadili usiye mjua ?

Allah ameumba wema na ubaya, kisha akampa mwanadamu uhuru wa kuchagua. Ndio maana hata wewe kwa uhuru alio kupatia unamkana.

Kwahiyo ulichokiandika hakiwezi kuwa ushahidi sababu kinapingana na uhalisia.

Hats wewe unavyo mkana leo hii, yeye alijua hilo.
Uhuru wa kuchagua?

Nikitaka kuchagua kupaa nitaweza?

Nikitaka kuchagua kurudi utotoni nitaweza?

Kama hayo machache tu hayatawezekana utasemaje Nina uhuru wa kuchagua?
 
Ilishindikana kuwepo kwa mambo ya hiari ambayo yatakuwa ni mazuri bila ujinga?

Kwanini Allah aliye mwema aweke mabaya kwenye options ya chaguzi za viumbe wake?

Mazuri ya hiari yako mengi sana kuliko mabaya.

Wewe unapo weka chakula mdomoni ni jambo zuri na unalifanya kwa hiari, kadhalika wewe unapo msaidia mtu ni jambo la hiari ambalo halihitaji elimu.

Kwahiyo hoja yako haina nguvu sababu ni ya UONGO, yaani umemzulia Mungu uongo. Ndio maana nasisitiza ya kuwa humjui Mungu halafu una mkana, huu ni ujinga ulioje, ambao mko nao wakana Mungu.
 
Uhuru wa kuchagua?

Nikitaka kuchagua kupaa nitaweza?

Nikitaka kuchagua kurudi utotoni nitaweza?

Kama hayo machache tu hayatawezekana utasemaje Nina uhuru wa kuchagua?

Kutaka kupaa sio kuchagua kadhalika kutaka kurudi utotoni si kuchagua.

Katika ulimwengu kuna mambo yanawezekana na yasiyo wezekana. Ni sawa wewe utake kumzaa mama yako, hili haliwezekani na kutaka hilo ni ugonjwa wa akili.

Naam, uhuru wa kuchagua upo katika hali wezekano na nguvu lile ambalo liko nje ya uwezo wako likiwekwa kwako ule uhuru unakuwa haupo bali hauna maana.
 
Mazuri ya hiari yako mengi sana kuliko mabaya.

Wewe unapo weka chakula mdomoni ni jambo zuri na unalifanya kwa hiari, kadhalika wewe unapo msaidia mtu ni jambo la hiari ambalo halihitaji elimu.

Kwahiyo hoja yako haina nguvu sababu ni ya UONGO, yaani umemzulia Mungu uongo. Ndio maana nasisitiza ya kuwa humjui Mungu halafu una mkana, huu ni ujinga ulioje, ambao mko nao wakana Mungu.
Hapa hoja si wingi, hoja ni kwamba mabaya yapo au hayapo?

Hata kama mazuri yapo mengi lakini Haina maana mabaya hayapo.

Kama mabaya yapo ndio ueleze kwanini Mungu hakuweka options yenye kuchagua mambo ya hiari yaliyo mwema pekee?
 
Kutaka kupaa sio kuchagua kadhalika kutaka kurudi utotoni si kuchagua.

Katika ulimwengu kuna mambo yanawezekana na yasiyo wezekana. Ni sawa wewe utake kumzaa mama yako, hili haliwezekani na kutaka hilo ni ugonjwa wa akili.

Naam, uhuru wa kuchagua upo katika hali wezekano na nguvu lile ambalo liko nje ya uwezo wako likiwekwa kwako ule uhuru unakuwa haupo bali hauna maana.
Katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu muweza wa yote aliyewapa uhuru wa kuchagua viumbe wake, basi hakutakiwi kuwe na mambo yasiyowezekana.

Kukiwa Kuna mambo baadhi baadhi tu ambayo unaweza kuyafanya, basi hayo huyafanyi kama sehemu ya uhuru wa kuchagua bali ni efforts zako tu.
 
Udhaifu sio chanzo cha ujinga. Sababu unauwezo wa kuondoa ujinga kila kitu umepewa.
Ukiwa na udhaifu unaweza kufanya kila kitu Kwa usahihi Kwa asilimia 100?

Kama hutokuwa na huo uwezo kwanini ufikirie nafasi ya wewe kuepuka ujinga ilihali umeumbwa Kwa asili ya udhaifu?

Na huoni kwamba kufikiria tu kuwa unaweza kuepuka ujinga angalia umdhaifu maana yake unakuwa umem-underestimate Mungu uwezo wake kudhani kwamba udhaifu aliouweka kwako utakuwa na udhaifu wa kuweza kuepukika ili ufanye mambo kiusahihi?
 
"kika nafsi ITAONJA umauti" ipo kwenye quraan mzee.
Msemo wa kwenye quraan, ukitaka uupatie ufumbuzi kwenze biblia utakesha, vivyo hivyo kwa biblia to quraan.. japo vipo vichache utakuta huku na huku.
 
Hapa hoja si wingi, hoja ni kwamba mabaya yapo au hayapo?

Hata kama mazuri yapo mengi lakini Haina maana mabaya hayapo.

Kama mabaya yapo ndio ueleze kwanini Mungu hakuweka options yenye kuchagua mambo ya hiari yaliyo mwema pekee?

Ukiweka hiari pekee, maana ya uhuru inakuwa haipo. Wakati Allah yeye ametuumba sisi wanadamu kwa malengo maalumu. Katika hayo malengo ili yawe kaatika uadilifu lazima uhuru uwepo.
 
Back
Top Bottom