Je, kila nafsi itaonja mauti?

Je, kila nafsi itaonja mauti?

hapana upo kwenye biblia soma waraka wa 1 wa yohana sura ya 5 msitari wa 8...inasema kuna watatu washuhudiao mbingu Baba, Mwana na Roho mtakatifu ...


Sasa chagua lipi kati ya yafuatayo ambalo ni neno la Mungu kuhusu 1 Yohana 5:7, NKJV au NAS?

"Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu; na watatu hawa ni umoja." (Biblia ya NKJV)

--AU--

"Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli." (Biblia ya NAS)

Biblia mbili hapo juu (NKJV na NAS) ni mojawapo ya Biblia zinazotumiwa sana miongoni mwa Wakristo.

Unaona mkanganyiko mkubwa miongoni mwa tafsiri zao!.
 
Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.

Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?

Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?
ufunuo ngapi mkuu
mi najua mambo ya parapanda kupigwa ni ipo kwenye Wakorintho
 
Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.

Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?

Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?
Jibu jepesi ni hapana...kwa ushahidi uliosema hapo ni wazi kabisa kuwa si kila nafsi itaonja umauti.

Zipo nafsi ambazo hazikuonja umauti na ni fresh tuu.

Na nadhani umemaanisha umauti wa mwili, right?
 
Mi ninavyo juwa parapanda lita pulizwa Mara mbili

Mara ya kwanza watu wote watakufa Mara ya pili watu wrote watafufuka.
mh inatisha aiseee,saiv ukifkiria kifo kama una dependants unakua unawaza sana..na huko je kuna maisha mengine au ndo biasharw imeishia hapo nothing more
 
Hakuna nafsi ya kuonja mauti wala mboga.

Kwasababu nafsi haipo.

Upo wewe na mimi.

Kifo kipo, ni nature na ndio sifa ya kiumbe hai lazima kipitie njia hiyo.

Japo wanasayansi wanaamini kuwa miaka ya mbeleni huko kunaweza kupatikana ufumbuzi wa kurudisha uhai kwa mtu aliyekufa.

Na ndio maana wanajaribu kuhifadhi miili ya watu isiharibike kwa lengo la kuja kuiwekea uhai huko mbeleni itakapopatikana suluhu.

Unajua wewe ni mjinga sana aisee.

Hujui maana ya NAFSI, halafu unakanusha kuhusu Nafsi. Uchizi sio mpaka uokote makopo.

Mwili wako pamoja na roho ndio NAFSI hiyo.
 
Unajua wewe ni mjinga sana aisee.

Hujui maana ya NAFSI, halafu unakanusha kuhusu Nafsi. Uchizi sio mpaka uokote makopo.

Mwili wako pamoja na roho ndio NAFSI hiyo.
Roho ni nini?

Please don't come with circular reasoning fallacy.
 
Roho ni nini?

Please don't come with circular reasoning fallacy.

Usiulize kwanza kuhusu roho. Umeona kwanza ujinga wako ulipo ?

Shida mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo.

Huu utoto wa ishu za logic usiniletee Mimi sababu unatakiwa kwanza uonyeshe ukweli wake kama marejeo kisha uanze upya kujenga hoja. Mara "Circular reasoning fallacy" yaani unamili kwenye udhaifu ule ule.

Jenga hoja.
 
Usiulize kwanza kuhusu roho. Umeona kwanza ujinga wako ulipo ?

Shida mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo.

Huu utoto wa ishu za logic usiniletee Mimi sababu unatakiwa kwanza uonyeshe ukweli wake kama marejeo kisha uanze upya kujenga hoja. Mara "Circular reasoning fallacy" yaani unamili kwenye udhaifu ule ule.

Jenga hoja.
Let's say unachodai ni cha kweli kuwa mi ni mjinga.

Katika mtazamo wa ulimwengu ulioumbwa na Mungu mkamilifu asiyekosea mwenye ujuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote.

Kauli hiyo inabaki kuwa tusi dhidi ya Mungu huyo kwa imperfections za ulimwengu ambazo zinakosolewa hadi na viumbe vyake.

Kwa hiyo kauli yako ya kudai mimi ni mjinga inaweza kuwa na mashiko ya kunihusisha mimi moja kwa moja ikiwa tu ulimwengu huu ambao wajinga kama mimi tupo haujawa created na being mwenye sifa za utukufu asiyeweza kuwa na kazi yenye kuleta dosari katika uumbaji wake.

Kw hiyo narudi tena.

Ni references ipi ya ulimwengu uliyotumia ku point out ujinga wangu ili na mimi nijihukumu kwa kukiri kweli mimi ni mjinga?
 
Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.

Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?

Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataon

Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.

Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?

Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?
Kila nafsi itaonja mauti. Na bila shaka mtapewa ujira wenu kamili siku ya kiama. Na aliyewekwa mbali na moto na akaingizwa peponi, basi amefuzu (amefaulu kwelikweli) na maisha ya dunia (hii) sii kitu ila ni starehe idanganyayo watu. Quran 3:185
 
Ni references ipi ya ulimwengu uliyotumia ku point out ujinga wangu ili na mimi nijihukumu kwa kukiri kweli mimi ni mjinga?
Naanzia hapa.

Elimu na uhalisia.

Na ni kweli wewe ni mjinga, hili halibadiliki.
 
Let's say unachodai ni cha kweli kuwa mi ni mjinga.

Hili kosa pia unalifanya, sio let's say, yaani ni kweli wewe mjinga.
Katika mtazamo wa ulimwengu ulioumbwa na Mungu mkamilifu asiyekosea mwenye ujuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote.

Kauli hiyo inabaki kuwa tusi dhidi ya Mungu huyo kwa imperfections za ulimwengu ambazo zinakosolewa hadi na viumbe vyake.

Nenda kajifunze kwanza nini maana ya tusi, ndio uandike. Maana kila unavyozidi kuandika unaksoea.

Huwezi kukosoa na hamjawahi kupatia katika hilo.
 
Naanzia hapa.

Elimu na uhalisia.

Na ni kweli wewe ni mjinga, hili halibadiliki.
Elimu na uhalisia viliwekwa na nani?

Elimu na uhalisia vinapatikana katika ulimwengu upi kati ya hiyo miwili niliyoifafanua hapo juu?
 
Hili kosa pia unalifanya, sio let's say, yaani ni kweli wewe mjinga.


Nenda kajifunze kwanza nini maana ya tusi, ndio uandike. Maana kila unavyozidi kuandika unaksoea.

Huwezi kukosoa na hamjawahi kupatia katika hilo.
Kama kweli mi ni mjinga, vipi kwa aliyeumba huu ulimwengu wenye kuruhusu ujinga kuwepo mpaka wewe uone ni jambo baya kiasi cha kukosoa kazi yake.

Huoni kwamba naye anahusika moja kwa moja na huu uzembe?

Kama ujinga sio tusi unaweza kulitumia hilo katika kumuelezea Mungu wako?

Nadhani hiyo ndio itakuwa ushahidi kuonesha Mungu kaumba kila kitu kilicho chema so unaweza kumuita mjinga?
 
Elimu na uhalisia viliwekwa na nani?

Elimu na uhalisia vinapatikana katika ulimwengu upi kati ya hiyo miwili niliyoifafanua hapo juu?

Viwili hivi vimewekwa na Allah muumba wa mbingu na ardhi.
 
Kama kweli mi ni mjinga, vipi kwa aliyeumba huu ulimwengu wenye kuruhusu ujinga kuwepo mpaka wewe uone ni jambo baya kiasi cha kukosoa kazi yake.

Ujinga ni jambo la hiari, ni wewe mwenyewe umeamua kuwa mjinga ndio maana ukawa mjinga.

Allah amekupa uhuru wa kuchagua, ungetaka kuwa na maarifa ungekuwa nayo.
 
Huoni kwamba naye anahusika moja kwa moja na huu uzembe?

Onyesha uzembe hap uko wapi kwa jambo la kujitakia mwenyewe ?

Nikikuuliza maswali uwe una jibu maswali ninayo kuuliza.
 
Back
Top Bottom