Je, kila nafsi itaonja mauti?

Je, kila nafsi itaonja mauti?

Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.

Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?

Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?

Unajenga msingi wa nyumba wa kawaida, halafu juu yake unataka ujenge ghorofa...

Umelinganisha imani mbili tofauti, zenye mitazamo tofauti juu ya kifo, mauti na uzima ili upate conclusion moja...hutaweza
 
Ulianza vizuri ukaja kuharibu mwishoni

Uhai kiimani ndio nafsi, roho nk........Hivi vitu havipo

Kiumbe kuwa hai ni state ambayo viungo vyote vina coordinate kumuwezesha kiumbe kuishi
Kufa ni pale viungo vinaposimama kufanya kazi kwa pamoja

Sasa unaposema uhai utunzwe utatunzwa wapi?
Utarudi kulekule kwenye nafsi na roho
Mkuu labda wewe ndo haujasoma vzr

Hakuna sehemu Scars amesema uhai utuzwe

Amesema miili ya watu iliyokufa ndo inatuzwa

Ili kama dawa ya kifo ikipatikana basi itumike kwenye ile miili
 
Hebu niulize swali mimi kuhusu mashaka yako kuhusu hizo nafsi tatu za mungu nami nitakujibu hata kwa quran yako mwenyewe


Uyasemayo kuhusu habari za ukatoriki kuingiza ibada za kipagani kwenye ukristo ni ya kweli kwa kweli ibada hii ya kikatoliki haikuwai kufanywa na yoyote kwenye biblia wala manabii wala mitume wala yesu katoriki kulingana na historia wao walikuwa ni utawala ulio kuwako kwa karne nyingi kuanzia ile miaka ya 300 mpaka mwaka 1798 na iliitwa kama dola ya rumi nayo ilikuwa inaabudu miungu yao wenyewe tofauti na yesu kristo ila baadae ilibadirisha na kujiingiza kwenye ukristo hata hivi leo. Unaweza kupitia historia ya dola hilo kubwa lililo tawala mabara matatu kwa karne nyingi kwenye vyanzo vya kihistoria vinavyo aminika au unaweza kusearch hata Google au Wikipedia ukapata kufahamu kama unataka kuijua kweli



Lakini vipi kuhusu uislam? Kwa hakika uislam ulisikika kwa mara ya kwanza kwa Muhammad katika kipindi cha dola la rumi baadhi ya hadithi za mtume wa kiislam au hata quran yenyewe zinathibotisha kuwa kipindi cha Muhammad kulikuwa tayari kuna ukristo duniani lakini badala yake Muhammad alikuja na quran ambayo kwa hakika asilimia 80 inazungumzia zile hadithi ambazo zilikuwa zipo kwenye ukristo tayari kabla yake ambazo zipo kwenye biblia

Quran hiyo pia ilikuwa inamtaja yesu mara nyingi kuliko allah yani imejaa majina ya yesu kuliko allah unaweza kupitia mwenyewe ukahesabu


Kulingana na hadithi pamoja na mafungu kadhaa ya quran yanaitaja biblia lakini wala biblia haitambui quran lakini pia kuna fungu linasema quran na uislam ulikuja ili ushindane na ukristo ambao ulikuwepo kabla yake

Mwisho ibada za manabii wa kale kabla ya kuja kwa quran na Mohammed zinatofautiana hazifanani waislam wa sasa wanafanya ibada tofauti na ya manabik wa kwenye quran ikiwemo kuhiji, kufunga, swala tano n. K kitu ambacho hakuna aliyekuwa akikifanya kabla ya Muhammad yani akuna nabii au mtume aliye fanya hivyo.



Lakini pia, kulingana na quran mungu wa waislam ameruhusu kuuwa, kusema uongo ili kuutetea uislam, kupigana n.k


Sipo hapa kwaajili ya kubishana lakini mwenye akili na ufahamu ajitafakari kwa faida yake mwenyewe kila mtu ananafasi ya kuchugua afuate njia hipi ila nashauri tuchunguze ukweli kisha kila mmoja afuate atakacho kipenda sipo hapa kubishana ndugu zangu tujitafakari tutafute ukweli pamoja kwani sisi ni binadamu sawa
Umeandika

Marko 13 :32 walakini habari za siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata malaika walio mbinguni, wala mwana ila baba.
Hapa yesu amehitimisha kwamba hakuna ajuaye siku wala saa ya kuja kwake ila baba pekee, sasa alipokuwa amesema "hakika kizazi hiki hakita pita hata yote yatimie katika marko 13 :30" alikuwa anamaanisha nini?


Majibu

Aliposema aya hiyo alikuwa akiyaelezea yatakayotokea kabla kizazi hicho kutoweka , hamna chengine yaani yatatokea haya kabla wao kufariki

Marko

23 Basi jilindeni; Nimewaambia yote kabla ya wakati wake (ona pia Luka 2:52: MUNGU alimsamehe Yesu).

24 Lakini katika siku hizo baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake;

25 nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na viumbe vya mbinguni vitatikisika. [4]

26 “Wakati huo watu watamwona Mwana wa Adamu akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.

27 Naye atawatuma malaika zake na kuwakusanya wateule wake kutoka pepo nne, kutoka mwisho wa dunia hadi mwisho wa mbingu.

28“Sasa jifunzeni jambo hili kutokana na mtini: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.

29 Vivyo hivyo, mwonapo mambo hayo yakitukia, tambueni kwamba yu karibu, mlangoni.

30 Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakika hakitapita mpaka mambo hayo yote yatimie.


Vyenginevyo labda iwe hiyo aya ya 30 ni ya uongo au ilichakachuliwa
 
Hebu niulize swali mimi kuhusu mashaka yako kuhusu hizo nafsi tatu za mungu nami nitakujibu hata kwa quran yako mwenyewe


Uyasemayo kuhusu habari za ukatoriki kuingiza ibada za kipagani kwenye ukristo ni ya kweli kwa kweli ibada hii ya kikatoliki haikuwai kufanywa na yoyote kwenye biblia wala manabii wala mitume wala yesu katoriki kulingana na historia wao walikuwa ni utawala ulio kuwako kwa karne nyingi kuanzia ile miaka ya 300 mpaka mwaka 1798 na iliitwa kama dola ya rumi nayo ilikuwa inaabudu miungu yao wenyewe tofauti na yesu kristo ila baadae ilibadirisha na kujiingiza kwenye ukristo hata hivi leo. Unaweza kupitia historia ya dola hilo kubwa lililo tawala mabara matatu kwa karne nyingi kwenye vyanzo vya kihistoria vinavyo aminika au unaweza kusearch hata Google au Wikipedia ukapata kufahamu kama unataka kuijua kweli



Lakini vipi kuhusu uislam? Kwa hakika uislam ulisikika kwa mara ya kwanza kwa Muhammad katika kipindi cha dola la rumi baadhi ya hadithi za mtume wa kiislam au hata quran yenyewe zinathibotisha kuwa kipindi cha Muhammad kulikuwa tayari kuna ukristo duniani lakini badala yake Muhammad alikuja na quran ambayo kwa hakika asilimia 80 inazungumzia zile hadithi ambazo zilikuwa zipo kwenye ukristo tayari kabla yake ambazo zipo kwenye biblia

Quran hiyo pia ilikuwa inamtaja yesu mara nyingi kuliko allah yani imejaa majina ya yesu kuliko allah unaweza kupitia mwenyewe ukahesabu


Kulingana na hadithi pamoja na mafungu kadhaa ya quran yanaitaja biblia lakini wala biblia haitambui quran lakini pia kuna fungu linasema quran na uislam ulikuja ili ushindane na ukristo ambao ulikuwepo kabla yake

Mwisho ibada za manabii wa kale kabla ya kuja kwa quran na Mohammed zinatofautiana hazifanani waislam wa sasa wanafanya ibada tofauti na ya manabik wa kwenye quran ikiwemo kuhiji, kufunga, swala tano n. K kitu ambacho hakuna aliyekuwa akikifanya kabla ya Muhammad yani akuna nabii au mtume aliye fanya hivyo.



Lakini pia, kulingana na quran mungu wa waislam ameruhusu kuuwa, kusema uongo ili kuutetea uislam, kupigana n.k


Sipo hapa kwaajili ya kubishana lakini mwenye akili na ufahamu ajitafakari kwa faida yake mwenyewe kila mtu ananafasi ya kuchugua afuate njia hipi ila nashauri tuchunguze ukweli kisha kila mmoja afuate atakacho kipenda sipo hapa kubishana ndugu zangu tujitafakari tutafute ukweli pamoja kwani sisi ni binadamu sawa


Umeandika mambo mengi hata inakuwa kazi kujibu yote kwa wakati mmoja lakini nitachukuwa kidogo kidogo


Umeandika

Lakini vipi kuhusu uislam? Kwa hakika uislam ulisikika kwa mara ya kwanza kwa Muhammad katika kipindi cha dola la rumi baadhi ya hadithi za mtume wa kiislam au hata quran yenyewe zinathibotisha kuwa kipindi cha Muhammad kulikuwa tayari kuna ukristo duniani lakini badala yake Muhammad alikuja na quran ambayo kwa hakika asilimia 80 inazungumzia zile hadithi ambazo zilikuwa zipo kwenye ukristo tayari kabla yake ambazo zipo kwenye biblia


Inaelekea hata hujui uislamu ni kitu gani ??

Jee inawezekana , Adam, Enoch , Noah, Moses , jesus na wengineo wakawa na dini zao tofauti kila mmoja ??

Jibu ni hapana , kwa sababu wote wametoka kwa Mungu mmoja , lazima watakuwa na dini moja .


Jee ni dini gani hiyo ,

Jibu ni kujisalimisha, kunyenyekea na kutii amri ya Mungu.

Uislamu ni kujisalimisha , kunyenyekea na kutii amri ya Mungu .

Kwa hivyo dini yao ni Uislamu.

Musa hakuleta dini ya uyahudi wala Yesu hakuanzisha ukristo
 
Umeandika mambo mengi hata inakuwa kazi kujibu yote kwa wakati mmoja lakini nitachukuwa kidogo kidogo


Umeandika

Lakini vipi kuhusu uislam? Kwa hakika uislam ulisikika kwa mara ya kwanza kwa Muhammad katika kipindi cha dola la rumi baadhi ya hadithi za mtume wa kiislam au hata quran yenyewe zinathibotisha kuwa kipindi cha Muhammad kulikuwa tayari kuna ukristo duniani lakini badala yake Muhammad alikuja na quran ambayo kwa hakika asilimia 80 inazungumzia zile hadithi ambazo zilikuwa zipo kwenye ukristo tayari kabla yake ambazo zipo kwenye biblia


Inaelekea hata hujui uislamu ni kitu gani ??

Jee inawezekana , Adam, Enoch , Noah, Moses , jesus na wengineo wakawa na dini zao tofauti kila mmoja ??

Jibu ni hapana , kwa sababu wote wametoka kwa Mungu mmoja , lazima watakuwa na dini moja .


Jee ni dini gani hiyo ,

Jibu ni kujisalimisha, kunyenyekea na kutii amri ya Mungu.

Uislamu ni kujisalimisha , kunyenyekea na kutii amri ya Mungu .

Kwa hivyo dini yao ni Uislamu.

Musa hakuleta dini ya uyahudi wala Yesu hakuanzisha ukristo
Basi Kama kweli hao mitume na manabii wa kale walikuwa ni waislam basi na hiwe dini ya kiislam kama dini ya kweli na takatifu

Lakini kama itakuwa ni kweli kwamba hawakuwa waislam labda walikuwa wapagani basi dini ya kipagani na ndiyo iwe dini ya kweli ya mwenyezi mungu



Na kama kweli manabii hao walikuwa labda ni wakristo basi ikawe ukristo ndiyo dini ya kweli


Basi Na ikawe hivyo basi enenda zako hewe mwanadamu ukafuate utakacho kipenda nafsi yako
 
Umeandika

Marko 13 :32 walakini habari za siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata malaika walio mbinguni, wala mwana ila baba.
Hapa yesu amehitimisha kwamba hakuna ajuaye siku wala saa ya kuja kwake ila baba pekee, sasa alipokuwa amesema "hakika kizazi hiki hakita pita hata yote yatimie katika marko 13 :30" alikuwa anamaanisha nini?


Majibu

Aliposema aya hiyo alikuwa akiyaelezea yatakayotokea kabla kizazi hicho kutoweka , hamna chengine yaani yatatokea haya kabla wao kufariki

Marko

23 Basi jilindeni; Nimewaambia yote kabla ya wakati wake (ona pia Luka 2:52: MUNGU alimsamehe Yesu).

24 Lakini katika siku hizo baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake;

25 nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na viumbe vya mbinguni vitatikisika. [4]

26 “Wakati huo watu watamwona Mwana wa Adamu akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.

27 Naye atawatuma malaika zake na kuwakusanya wateule wake kutoka pepo nne, kutoka mwisho wa dunia hadi mwisho wa mbingu.

28“Sasa jifunzeni jambo hili kutokana na mtini: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.

29 Vivyo hivyo, mwonapo mambo hayo yakitukia, tambueni kwamba yu karibu, mlangoni.

30 Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakika hakitapita mpaka mambo hayo yote yatimie.


Vyenginevyo labda iwe hiyo aya ya 30 ni ya uongo au ilichakachuliwa
Na kama hiyo haya itakuwa imechakachuliwa basi na ikawe hivyo kama ulivyo sema

Na kama haya hiyo haitakuwa imechakachuliwa kwamba ni ya kweli basi na ikawe hivyo


Lakini endenda zako ewe binadamu upendwaye sana na mwenyezi mungu ukafuate kile upendacho nafsi yako
 
Thibitisha
Watu waliotajwa kwenye Biblia hawakutumia Biblia.

Ni sawa wewe uandike kitabu cha Historia ya jamii yako kisha useme ni kitabu cha Mungu.

Kisha kizazi kinachofuata ukiaminishe kwamba, Kitabu cha Historia ya jamii yako ndicho kitabu cha Mungu wa watu wote.

Ilhali wewe mtunzi hukutumia kitabu hicho kama kitabu cha Mungu wako.

Bali umeandika kuaminisha wengine kupitia kitabu chako.

Ndivyo ilivyo Biblia ina elezea historia za jamii ya waisraeli huko halafu una aminishwa ati wewe mwafrika mtanzania wa mtwara huko ni mwisrael kiroho...😄😄
 
Basi Kama kweli hao mitume na manabii wa kale walikuwa ni waislam basi na hiwe dini ya kiislam kama dini ya kweli na takatifu

Lakini kama itakuwa ni kweli kwamba hawakuwa waislam labda walikuwa wapagani basi dini ya kipagani na ndiyo iwe dini ya kweli ya mwenyezi mungu



Na kama kweli manabii hao walikuwa labda ni wakristo basi ikawe ukristo ndiyo dini ya kweli


Basi Na ikawe hivyo basi enenda zako hewe mwanadamu ukafuate utakacho kipenda nafsi yako

Baadhi ya Wakristo wengine wanapinga taratibu za dini ya Kiislam. Wanakuwa na shauku ya kupinga waia hawajui
mafundisho ya dini ya Kiislam wala hawajapata nafasi ya kusoma Biblia.


Kama ndugu Wakristo mngesoma tu Biblia mngekuta mafundisho mengi ya kiislamu yanapatikana humo.

Kwa kufupisha somo ninaandika hapa mambo ambayo yanaonekana mageni kwa Wakristo ilhali yamo katika
Biblia.

Udhu

Bwana akanena na Musa na kumwambia fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba ili kuogea, nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu nawe utalitia maji. Na Haruni na mwanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania, watajiosha majini ili wasife au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike kumteketezea Bwana sadaka ya moto basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife na neno hili litakua amri kwao milele kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyote. (Kutoka 30:17-21).

Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi ya kutawadha. Kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu. (Yohana 2:6).

Kuvua viatu wakati wa ibada

Huyo Amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshua, vua viatu vyako miguuni mwako kwa kuwa mahali hapo
usimamapo ni patakatifu, Yoshua akafanya hivyo. (Yoshua 5:15).

Naye akasema usikaribie hapa, vua viatu vyako miguuni mwako maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu. (Kutoka 3:5).

Ibada na Sajda

Naye Ezra Kuhani akasimama juu ya mimbari ya mti waliyokuwa wameifanya kwa kusudi hilo na karibu naye
akasimama Matithia ....... Ezra akakifungua kitabu machoni pa watu wote (maana alikuwa juu ya wote) na hapo alipokijua, watu wote walisimama Ezra akamhimidia Bwana, Mungu Mkuu. Nao wote wakaitika Amina, Amina, pamoja na kuinua mikono yao kisha wakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwana vifudifudi. (Nehemia 8:4-12; Mwanzo 17:3).

Akaendelea mbele kidogo akaanguka kifulifuli akaomba ... (Mathayo 26;39).

Msujudie Mungu. (Ufunuo 22:9).

Musa akafanya haraka akainamisha kichwa chake hata nchi, akasujudu. (Kutoka 34:8; 1 Wakorintho 14:25).

Nyimbo Hazitakiwi

Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu. (Amosi 5:23).

Ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti ya vinanda na kujifanyizia vinanda vya namna nyingi kama vile Daudi. (Amosi 6:5).

Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asema Bwana Mungu. Mizoga itakuwa mingi kila mahali wataitupa wakinyamaza kimya. (Amosi 8:3).

Masanamu hayatakiwi

Usiwe na miungu mingine ila mimi. Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, (Kumb. 5:7-9).
 
Na kama hiyo haya itakuwa imechakachuliwa basi na ikawe hivyo kama ulivyo sema

Na kama haya hiyo haitakuwa imechakachuliwa kwamba ni ya kweli basi na ikawe hivyo


Lakini endenda zako ewe binadamu upendwaye sana na mwenyezi mungu ukafuate kile upendacho nafsi yako

MTUME KWA WAISRAILI​

Ametumwa awendee nani?

Hebu tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.
 
Basi Kama kweli hao mitume na manabii wa kale walikuwa ni waislam basi na hiwe dini ya kiislam kama dini ya kweli na takatifu

Lakini kama itakuwa ni kweli kwamba hawakuwa waislam labda walikuwa wapagani basi dini ya kipagani na ndiyo iwe dini ya kweli ya mwenyezi mungu



Na kama kweli manabii hao walikuwa labda ni wakristo basi ikawe ukristo ndiyo dini ya kweli


Basi Na ikawe hivyo basi enenda zako hewe mwanadamu ukafuate utakacho kipenda nafsi yako

Yesu alionya, lakini Paulo hakusikia:

"Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na wakawararua."

Yaliyosemwa yamekuwa. Kwa kitendo cha Paulo kuwaingiza mapagani wa Kizungu katika dini ya Yesu sharia ya Mwenyezi Mungu ikaambiwa ni laana, ikatolewa ruhusa kula nyamafu, nguruwe na damu, na kila kiuzwacho sokoni bila ya kutia wasiwasi wo wote katika dhamiri.

Tohara aliyoamrishwa Ibrahimu na Mwenyezi Mungu na Manabii wote wakaifuata mpaka mwenyewe Yesu na wanafunzi wake, Paulo aliipuuza kuwaridhi makafiri.

Imani za kipagani za mungu mwana na utatu zilizoenea katika mila za Mithra, Osiris, Attis n.k. zikaingizwa katika dini ya Kikristo.

Katika ufalme wa mbinguni Yesu ana yakini kuwa hatokuwa nao ila wana wa Israili tu.

Injili ya Mathayo inasema:

Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Mathayo 19.28

Hata katika maombi yake inaonyesha kuwa Yesu alikuwa anajua mipaka yake na uwezo wake. Madai ya kuwa yeye ni mwombezi, mbali kuwa ni mwokozi, wa ulimwengu mzima ni kumsingizia jambo ambalo mwenyewe hakulidhania.

Kumpa mtu cheo asichokuwa nacho ni kumtukana, ni kumvika kilemba cha ukoka, kama Mayahudi walivyotaka kumkejeli kwa kumvika taji la miba.
 
Na kama hiyo haya itakuwa imechakachuliwa basi na ikawe hivyo kama ulivyo sema

Na kama haya hiyo haitakuwa imechakachuliwa kwamba ni ya kweli basi na ikawe hivyo


Lakini endenda zako ewe binadamu upendwaye sana na mwenyezi mungu ukafuate kile upendacho nafsi yako

Katika Injili ya Yohana ananukuliwa Yesu kusema:

Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa.

Yohana 17.9

Tukiyachungua vilivyo maneno ya Yesu kama yalivyosimuliwa na Mathayo na Marko ya kuwa yeye alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israili, na maamrisho yake yalio wazi kuwapa "mitume" wake wasende kwenye mataifa mengine isipokuwa Mayahudi tu, na kuwa yeye na wanafunzi wake kumi na mbili watakaa katika viti vyao vya utukufu wakizihukumu kabila kumi na mbili za Israili katika ulimwengu mpya wa mbinguni, hatuwezi ila kuhukumu kuwa hao watu anaowaombea Yesu ni hao hao waliokwisha tajwa kabla, yaani wana wa Israili, sio ulimwengu, sio mimi na wewe.

Mimi na wewe si Wana wa Israili.

Mimi na wewe ni mataifa mengine.

Mimi na wewe na ulimwengu, usiokuwa wa Kiyahudi, Yesu kesha sema hatuombei, ikiwa tutakubali maneno yaliyoandikwa katika Injili zote.
 
Basi Kama kweli hao mitume na manabii wa kale walikuwa ni waislam basi na hiwe dini ya kiislam kama dini ya kweli na takatifu

Lakini kama itakuwa ni kweli kwamba hawakuwa waislam labda walikuwa wapagani basi dini ya kipagani na ndiyo iwe dini ya kweli ya mwenyezi mungu



Na kama kweli manabii hao walikuwa labda ni wakristo basi ikawe ukristo ndiyo dini ya kweli


Basi Na ikawe hivyo basi enenda zako hewe mwanadamu ukafuate utakacho kipenda nafsi yako


Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?

Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.

La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu.

Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
 
Basi Kama kweli hao mitume na manabii wa kale walikuwa ni waislam basi na hiwe dini ya kiislam kama dini ya kweli na takatifu

Lakini kama itakuwa ni kweli kwamba hawakuwa waislam labda walikuwa wapagani basi dini ya kipagani na ndiyo iwe dini ya kweli ya mwenyezi mungu



Na kama kweli manabii hao walikuwa labda ni wakristo basi ikawe ukristo ndiyo dini ya kweli


Basi Na ikawe hivyo basi enenda zako hewe mwanadamu ukafuate utakacho kipenda nafsi yako


Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na The British and Foreign Bible Society 1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asili.

Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.

Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.

Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.

Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asili yo yote ya kweli.
 
Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na The British and Foreign Bible Society 1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asili.

Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.

Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.

Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.

Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asili yo yote ya kweli.
Sawa ndugu yangu,
 
Back
Top Bottom