Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Nimekula saaaaana pesa za boyfriends wa mashosti zangu. Nimewachuna haswaaa. Nilifanya sana umalaya enzi nipo chuo IFM na mabosi wa pale town hivyo ninajua ninachokisema.

Sasa nimeolewa, nipo na watoto 2 Iringa. Njoo unywe ulanzi.
nikutumie nauli Mkuu uje uniuzie na mimi
 
Bado nafikiria watavyouana
 
Hii observation yako Mkuu imenikumbusha mbali sana. Kuna siku nilitembelewa na watu fulani wawili na vimagazeti vyao mikononi! Tukaongea mengi hasa siku za mwisho ooh siku za mwisho.
Sasa nikawaambia: "Nipeni clues za kujua hizo siku za mwisho, maana siku za Nuhu the main clue was kujengwa kwa Safina " Wakataja Mambo meeengi, lakini one of them was kutangazwa rasmi "amani na usalama" ulimwenguni pote na Umoja wa Mataifa"
Sasa kama ameanza Bwana mkubwa USA kufanya peace deal na terrorists, then kwa kiasi fulani naanza kuwaamini wale jamaa.
 
Babylon is falling.... Wanajitahidi kujiweka kwenye mstari uleule ila itakua ngumu this time tuendlee kutulia tuangalie movie huku sisi waAfrika tukijikomboa kiroho na kiakili
 
Kuna mamb mengi mno yamejificha hasa zaidi historia ya muAfrika hapo ukiijua historia yetu ya kweli hawakupi shida hawa maana wanajua wapo pabaya kiroho washakufa bado kujidhihirisha kimwili mimi njngeshauri muda huu tuanze kutafuta ukweli juu yetu sabab yajayo ni meng mno
 
Alafu huwa naona Kama mawaziri kazi zao siyo za kujiongeza wanasubiri Raisi aseme kila kitu na Raisi naye anakuwa hana job description na kazi alizoziandaa za kila waziri nini afanye Kama kipaumbele chake na vingine waziri ajiongeze, imagine waziri wa mazingira aambiwe hakuna kuruhusu mkaa kuuzwa Kama walivyofanya mifuko ya plastic mbona viwanda vya majiko ya gesi na umeme vitajaa hapa, mikopo ya juu wakapewa wanafunzi wa ufundi peke yake tayari watu wengi watatoka chuo na ujuzi wa kuanzia, waziri wa viwanda akahakikisha kila mtaa umetengwa eneo la viwanda na idadi yake akapewa na Raisi target akishindwa anapumzishwa hapo hizo kazi zingepatikana nyingi tu.
 
Pesa inaweza kukupa ngono tu kwa mwanamke malaya na sio penzi la dhati. Upo hapo baba?

Penzi la dhati unalosema wewe lilikuwepo hapo zamani enzi za bibi zako, siku hizi bila pochi hakuna penzi ni uongo tu!!!
 
Kwa hiyo unataka bloodshed iendelee ili ulalamike wanaonewa?shangilia kama unataka waislam wenzio wasiteseke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…