Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Maslahi yanayohatarisha usalama wa taifa lao wenyewe?
Ndio demokrasia. Wengi wape.

Mara kibao Democrats wamepambana sana kufanya Gun control imeshindikana.

Republican hawaamini kama bunduki ndio zinaua watu, wao wanaamini watu ndio wanaua watu.

Na siasa za US zilivyo, huwa ni ngumu sana ku-take control of Senate, House of representatives na presidency kwa pamoja.
 
Penzi la dhati bado lipo sana tu. Mimi nilifanya umalaya na wanaume wengi enzi za ujana ila nikaona nitulie na sasa ni mume na familia yangu ya watoto 2.

Je umalaya uliofanya enzi ya ujana wako ndio umechangia wewe kupata penzi la dhati? Je ulipokuwa kijana kitu gani kilikufanya uwe malaya?
 
Kwa hapa Tanzania watu walikuwa wanataka uhuru kama huu uliopitiliza hususan wakati wa uongozi wa Rais JPM
Yawezekana waliona kuna watu walikuwa na uhuru wa aina hiyo hapa hapa nchini. Muhimu kusiwe na matabaka.

Tanzania silaha haziruhusiwi kumilikiwa kiholela lakini kuna watu wanamiliki na wanazitumia tena with full impunity.

U.S kila pesa ya kununua, ananunua tu.
 
Kwa hapa Tanzania watu walikuwa wanataka uhuru kama huu uliopitiliza hususan wakati wa uongozi wa Rais JPM
Samia aliposema yeye ni kiongozi anayewajali sana wanyonge na watu wa chini wapinzani walidhani anatania?
 
Hujui anafanya peace deal ndio Taliban iwache kuua watu wenye asili yao huko kwao? Mmarekani anatoka so hataki kuacha alikotoka, watu wanalizwa kama kitambo!
 
Nimekula saaaaana pesa za boyfriends wa mashosti zangu. Nimewachuna haswaaa. Nilifanya sana umalaya enzi nipo chuo IFM na mabosi wa pale town hivyo ninajua ninachokisema.

Sasa nimeolewa, nipo na watoto 2 Iringa. Njoo unywe ulanzi.
Aha kumbe ulishakuwaga "mlezi wa wanna"!! aaha basi Tena.
 
Kwenye mada yangu kuu, kuna kipande nimeandika kwamba "HATA MIMI BADO NINAPENDA SANA PESA"

Soma tena kisha utaelewa mzee baba.
Mkuu pesa ndo Kila kitu ..Kama wewe umesema kuwa umeishi kwenye umasikini inakuwaje usiamini Kama pesa ndo Kila kitu? Aise Kama huamini pesa ndo Kila kitu basi bado uko mbali na mafanikio.
 
Mkuu pesa ndo Kila kitu ..Kama wewe umesema kuwa umeishi kwenye umasikini inakuwaje usiamini Kama pesa ndo Kila kitu? Aise Kama huamini pesa ndo Kila kitu basi bado uko mbali na mafanikio.
Ukisema pesa ndio kila kitu unakuwa na maana gani mkuu? Marekani na pesa zake anaomba suluhu kwa wanamgambo.
 
Back
Top Bottom