Kwani umeambiwa ni raia wa Somalia?nyerere angemwacha jeshini kweli endapo angekua msomalia?
ukishasema uraia unamanisha nchi Mimi mkuu nimehisi physical appearance yake mzee Kinana ndio kazi za kimaigresheni unanusa kwa muonekanoKwani umeambiwa ni raia wa Somalia?
Ila Mungu hakosi cha kufanya na atafanya...hata akiwa nao Mtz wa kawaida atafanya nini?
Ila Mungu hakosi cha kufanya na atafanya.
Watu wote waliozaliwa Tanganyika kabla ya Uhuru ni watanganyika na baadae watanzania.
Huyu alikuwa Karnali wa jeshi letu. Amejitoa kwa nchi kuliko hata wewe Mndengereko uliyekuwa unawinda ndege wenzako wakiwa vitani.
Hivi alishamlipa yule mtoto wa Karume hela yake?Huyo vuvuzela Sahv analialia tu
Ova
Kama alivyofanya kwa kayafa.Ila Mungu hakosi cha kufanya na atafanya.
nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa raia mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Huyu mzee kapigania nchi Uganda kabla ya kujadili wato ovyo tujiulize je wewe umewahi kutoa maisha yako kwa taifa …
Al Shabab wamehamia CCMnilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa raia mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini