Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa najiuliza sana mtu anawezaje kuwa na passport mbili? Majina kwenye passport hufanana? Kwa mfano akisafiri trip nyingine akatumia passport nyingine si lazima kwenye ukaguzi wa fingerprint si itaonesha alishawahi pita hapo kabla kwa passport nyingine hivyo kujikuta matatani?Vuvuzela alisema kinana ana passport ya Canada, lakini si ajabu wengi wa 'wakubwa' wanazo passport za nchi nyingine. Sie wanyonge ndio tunahubiriwa 'uzalendro'.
Kinana hana uraia wa chi 2ni uongo na unafiki mtupunilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Ajabunyerere angemwacha jeshini kweli endapo angekua msomalia?
Baba yake msomali mama yake ni mbulu lakini baba yake ni msomali aliyezaliwa tanzaniaukishasema uraia unamanisha nchi Mimi mkuu nimehisi physical appearance yake mzee kinana ndokazi za kimaigresheni unanusa kwamuonekano
Amepigana vita vya uganda kinana..alikuwa Mkufunzi / mwalimu wa SIASA jeshini.
. Huyu sio sawa na Makanali waliokuwa wakiongoza vikosi ktk uwanja vita iwe Uganda, Msumbiji, Shelisheli, etc.
Uongo mtupu, Wazazi wote Ni wasomali.Baba yake msomali mama yake ni mbulu lakini baba yake ni msomali aliyezaliwa tanzania
Huyo vuvuzela Sahv analialia tu
Ova
Kuwa na uraia wa nchi mbili ni uhuni?nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Kumbe wahadzabe ndio watanganyika wenyeweWenyeji asiili wa Tanganyika ni wahadzabe..na hawaangaiki na maujinga yenu..wao wako bize kuwinda wanyama na kula matunda.
#MaendeleoHayanaChama
Wao pia wana asili na Wakhoisan wa kusini mwa Afrika.Kumbe wahadzabe ndio watanganyika wenyewe
Lakini yeye hatakuwa "Mtz wa kawaida" , au nimekuelewa visivyo?..hata akiwa nao Mtz wa kawaida atafanya nini?
ATAFUTE NA WA NCHI YA 4 RUKSAnilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Bryson, Barbora Johansson walikuwa raia wa wapi? Kwa nini Jamal amezikwa Canada?nyerere angemwacha jeshini kweli endapo angekua msomalia?
Vuvuzela alisema kinana ana passport ya Canada, lakini si ajabu wengi wa 'wakubwa' wanazo passport za nchi nyingine. Sie wanyonge ndio tunahubiriwa 'uzalendro'.
[emoji38][emoji38][emoji38]nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini