Je, Kinana bado ana uraia wa nchi mbili?

Je, Kinana bado ana uraia wa nchi mbili?

Vuvuzela alisema kinana ana passport ya Canada, lakini si ajabu wengi wa 'wakubwa' wanazo passport za nchi nyingine. Sie wanyonge ndio tunahubiriwa 'uzalendro'.
Huwa najiuliza sana mtu anawezaje kuwa na passport mbili? Majina kwenye passport hufanana? Kwa mfano akisafiri trip nyingine akatumia passport nyingine si lazima kwenye ukaguzi wa fingerprint si itaonesha alishawahi pita hapo kabla kwa passport nyingine hivyo kujikuta matatani?
 
nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe

Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Kinana hana uraia wa chi 2ni uongo na unafiki mtupu
 
Wenyeji asiili wa Tanganyika ni wahadzabe..na hawaangaiki na maujinga yenu..wao wako bize kuwinda wanyama na kula matunda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyo vuvuzela Sahv analialia tu

Ova
cryinglaughsmiley.gif

Yule Mshashi mpuuzi sana atakufa njaa safari hii.
Alishajifanya kuwa ni Vuvuzela la Dikteta. Mungu alipoing'oa roho ya Dikteta sasa hana mfadhili mwingine wa kumuweka mujini
 
nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe

Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Kuwa na uraia wa nchi mbili ni uhuni?
Sema unamchongea Musiba (lialia)
 
Wenyeji asiili wa Tanganyika ni wahadzabe..na hawaangaiki na maujinga yenu..wao wako bize kuwinda wanyama na kula matunda.

#MaendeleoHayanaChama
Kumbe wahadzabe ndio watanganyika wenyewe
 
Uraia nchi mbili sio issue uwe siri au wazi awe Magufuli ,Kinana au yeyote issue ni anaisaidiaje Tanzania kutoka Kimaendeleo? Na kutokomeza mijizi na mifisadi ndani ya CCM na Serikali?
 
nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe

Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
ATAFUTE NA WA NCHI YA 4 RUKSA
 
Vuvuzela alisema kinana ana passport ya Canada, lakini si ajabu wengi wa 'wakubwa' wanazo passport za nchi nyingine. Sie wanyonge ndio tunahubiriwa 'uzalendro'.

Mbavu Sina😂😂😂😂😂😂😂
 
sasas hivi kimetendeka kitu kiitwacho politicaly humpty dumpty!Sisi kama raia inabidi kusubili miezi mitatu tuone hatima yake.
 
nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe

Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom