Kama alikuwa uwanja wa mapambano na akahamsisha wenzie basi ndo kupigana kwenyewe huko. Hata askari mpishi aendaye kupikia wengine naye anahesabika kapigana
..utakuwa unafanya utani mbaya ikiwa utamlinganisha Kinana na Makanali wapiganaji kama Hassan Boma [ vifaru ] au Tumbi [ mizinga] ktk uwanja wa mapambano.