mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Na like suala LA ujangili lilifikia wapi?nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
inawezekana walikua wanatoa msaada wakijeshi kwajeshi letuBryson, Barbora Johansson walikuwa raia wa wapi? Kwa nini Jamal amezikwa Canada?
Amepigana vita vya uganda kinana
Lakini yeye hatakuwa "Mtz wa kawaida" , au nimekuelewa visivyo?
Kinana siyo Mtz wa kawaida kwa nafasi alizohudumia hapa nchini, nafasi ambazo zimempa fursa nyingi za kujua mambo mengi mhimu ya nchi hii.
Tatizo ni vijana wa enzi za kulamba asali, uliza ni sababu zipi aliacha kugombea ubunge wa jimbo la Arusha hapo siku za nyuma.nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Naona 'statement' yako hii ni kama 'tongue in chick'!..hoja yangu ni kwamba Mwenyekiti wa Ccm ameshamteua, hivyo hakuna Mtanzania wa kuzuia uteuzi huo.
..wako Watz ambao wametumikia ktk nafasi sawa na Kinana au hata kumzidi, lakini maadam Kinana ameteuliwa na Mwenyekiti wa Ccm, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, hakuna mwenye uwezo wa kubadili uamuzi huo.
Naona 'statement' yako hii ni kama 'tongue in chick'!
Ninakubaliana nawe.
Kwenye nchi zinazoruhusu uraia pacha sio ishu unakuwa na passport mbili majina Yale Yale so unamua we ukienda wapi utumiie ipiHuwa najiuliza sana mtu anawezaje kuwa na passport mbili? Majina kwenye passport hufanana? Kwa mfano akisafiri trip nyingine akatumia passport nyingine si lazima kwenye ukaguzi wa fingerprint si itaonesha alishawahi pita hapo kabla kwa passport nyingine hivyo kujikuta matatani?
Hukumsaidia uliyemjibu, na hata wengine wanaokusoma. Sasa sijui unataka watambae na kugalagala mavumbini kwanza ndipo uwaeleze sababu, sijui!Tatizo ni vijana wa enzi za kulamba asali, uliza ni sababu zipi aliacha kugombea ubunge wa jimbo la Arusha hapo siku za nyuma.
Ukweli ni kwamba, waTanzania ndio wameruhusu iwe hivyo...i am just being honest here.
..hakuna utawala wa SHERIA hapa Tz.
..Mwenyekiti wa Ccm / Rais ndiyo sheria na katiba.
Usishangae kitu, kuna uwezekano kabisa huyu jangili Kınana kuwa na uraia wa nchi mbili. CCM si chama cha kuiongoza Tanzania kuelekea dunia ya pili na sasa tuko chini ya utawala wa huyu Mama anaturudisha kwenye ujinga ule aliokuwa anaukataa Magufuli. Mtaona tu, kila kukicha tunarudi nyuma kimaendeleo na kwa kuwa yuko chini ya Kikwete.....misafari ya kipuuzi ya kwenda kula tende Uarabuni na kutalii Ulaya yataanza, subirini tu muone.nilimsikia vuvuzela Cyprian Musiba enzi za utawala wa kayafa akibwabwaja kuwa bwana Abdulhman Kinana alikuwa na uraia wa nchi mbili na tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na Kinana mwenyewe
Sasa kama mtu ana uraia wa nchi mbili na bado anakabidhiwa nafasi kubwa kabisa kwenye chama dola je polepole akisema chama kimevamiwa na wahuni hatutakiwi kumuamini
Hata sura inajionyesha kwamba mhabeshi / msomaliNyerere angemwacha jeshini kweli endapo angekua msomalia?
Tizama suala la kupigana vita halituhusu yeye alikuwa ameajiriwa kama askari kwa hiyo kupigana vita ni kazi yake na jukumu lake lipo hata kwenye Job description yake tumia ubongo japo kidogoHuyu mzee kapigania nchi Uganda kabla ya kujadili wato ovyo tujiulize je wewe umewahi kutoa maisha yako kwa taifa …
Kinana ni msomali kwa baba na mama na amezaliwa mbuguni madukani mkoani arushaBaba yake msomali mama yake ni mbulu lakini baba yake ni msomali aliyezaliwa tanzania
Hata Nyerere alikuwa ni Raia wa Zimbabwe alipewa uraia hadharani sio Siri Na MugabeVuvuzela alisema kinana ana passport ya Canada, lakini si ajabu wengi wa 'wakubwa' wanazo passport za nchi nyingine. Sie wanyonge ndio tunahubiriwa 'uzalendro'.
Hata Waziri wenu Masauni alijiripua UK anao uraia wa UK Na SomaliaUraia pacha wengi wao wanao wakimwaga list utasema na nyie mlichelewa wapi [emoji23][emoji23]
Ukitembea utapata tu mzee kama unataka hata ya Afghan
Hivi alishamlipa yule mtoto wa Karume hela yake?
[/QUOTE
Kama alikuwa uwanja wa mapambano na akahamsisha wenzie basi ndo kupigana kwenyewe huko. Hata askari mpishi aendaye kupikia wengine naye anahesabika kapigana..hakuwa kwenye vikosi vinavyopigana vita, alikuwa kwenye kikundi cha Makamisaa wa Siasa ambacho kazi yake ilikuwa uhamasishaji kwa masuala ya kuimba n.k.