Je, kinywaji aina ya ‘mnazi’ ni halali kwa Waislamu?

Je, kinywaji aina ya ‘mnazi’ ni halali kwa Waislamu?

Asalam alaykum, , uislam unasema usiharamishe kitu kwa sababu hukipendi na usihalalishe kitu kwa sababu unakipenda, pombe haramu, hata kama anakunywa shekhe bado ni haramu. Na yeyote anaehusika kuiyandaa pombe anapata dhambi, yule mwenye minazi ambae kwa hiyali yake ameruhusu itengezwe pombe anapata dhambi, yule anaepanda juu ya mnazi kuchukua pombe anapata dhambi yule anaepeleka pombe sokoni anapata dhambi na mnywaji pia anapata dhambi sasa hao waislam wa huko pwani wasiihalalishe pombe kwa sababu wao wameipenda, hio sio ktk uislam. Uislam umekata pombe , uislam umekata nguruwe.
 
Asalam alaykum, , uislam unasema usiharamishe kitu kwa sababu hukipendi na usihalalishe kitu kwa sababu unakipenda, pombe haramu, hata kama anakunywa shekhe bado ni haramu. Na yeyote anaehusika kuiyandaa pombe anapata dhambi, yule mwenye minazi ambae kwa hiyali yake ameruhusu itengezwe pombe anapata dhambi, yule anaepanda juu ya mnazi kuchukua pombe anapata dhambi yule anaepeleka pombe sokoni anapata dhambi na mnywaji pia anapata dhambi sasa hao waislam wa huko pwani wasiihalalishe pombe kwa sababu wao wameipenda, hio sio ktk uislam. Uislam umekata pombe , uislam umekata nguruwe.
Ila misikiti ikijengwa kwa pesa ya pombe ruksa.
 
Ila misikiti ikijengwa kwa pesa ya pombe ruksa.
Sio ruska hata kwa pesa ya kamali pia sio ruska sema viongozi wa dini wengi huangalia matumbo yao, kuna sehemu ukienda ukasema nilibeti nimeshinda sasa nimekuja kutoa sadaka ya ujenzi wa msikiti wanakutimua, lkn kwingine wanapokea lkn wanajua sio sawa kufanya hivyo.
 
Asalam alaykum, , uislam unasema usiharamishe kitu kwa sababu hukipendi na usihalalishe kitu kwa sababu unakipenda, pombe haramu, hata kama anakunywa shekhe bado ni haramu. Na yeyote anaehusika kuiyandaa pombe anapata dhambi, yule mwenye minazi ambae kwa hiyali yake ameruhusu itengezwe pombe anapata dhambi, yule anaepanda juu ya mnazi kuchukua pombe anapata dhambi yule anaepeleka pombe sokoni anapata dhambi na mnywaji pia anapata dhambi sasa hao waislam wa huko pwani wasiihalalishe pombe kwa sababu wao wameipenda, hio sio ktk uislam. Uislam umekata pombe , uislam umekata nguruwe.
Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri
 
Hapo kwenye mito ya ulevi kwa wanywao...ina maana ni kwa wale ambao duniani walikuwa wanakunywa. Au nimeelewa vibaya?
Dhahiri!
Kwa waliokuwa wanakunywa! huko sio tena ya kupigiwa ni mito [emoji122][emoji122]
 
Kwani huo mnazi umekuta ukinywewa na waislamu tu au waislamu wamesema hiyo pombe ni kwaajili yao tu? au bia zinanywewa na wakristo tu, ninachofahamu ni kwamba muislamu swafi hatumii kilevi kamwe, ukiona anatumia basi ni kama ukimkuta Padre au Rev amebana kwenye kona yenye mashaka
 
Moja kwa moja kwenye hoja. Kinywaji hiki cha 'mnazi' ni maarufu sana na kinatumiwa kwa wingi katika ukanda wa pwani wa nchi yetu ambao kwa kiasi kikubwa una idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiisilamu.

Kwa kuwa kinywaji hiki kina 'ulevi' ndani yake, yaani kwa kunyoosha maelezo ni pombe, na kwa kuwa pombe ni 'haramu' kwa imani ya kiisilamu, Je, wakazi waisilamu wa maeneo ya Pwani, wanafanikiwaje kujiepusha kutayarisha na kutumia kinywaji hiki?

Au kwa lugha nyepesi, waisilamu wa huko pwani ni kweli hawajihusishi na pombe hiyo?

cc: black sniper, imhotep, nasrimgambo, Kimpyempye, zebri, Mwislam by choice, ummumuhammad, Mesut90, Impimpi, Kikwajuni One, FaizaFoxy

View attachment 2141831
Coconut juisi ni halali ndiyo maana inapatikana pwani, hata komba wanalijua hilo.
 
Ukitoka kugemwa unakua Kama juice tu ya miwa ata ukinywa ulewi ila ukilala ndo unakua pombe ata boha ndo hivyo hivyo mlevi wa mnazi akienda chooni kukojoa choo huwa kina nuka Sana mkojo wake unanuka Sana na uharoo
 
Dini hizi we achana nazo , Mfano kuna Msanii anaitwa Zuchu alishawahi kusema kwenye interview kuwa yeye hawezi kukubali kudhaminiwa na kampuni zinazotengeneza Vilevi Sasa ajabu nyimbo zake nyingi za huyo Msanii ni maudhui ya Kingono ngono tena ya Wazi wazi...!
Nafikiri najisi kwao ni ukristu, pombe na nguruwe, mengine si najisi, hasa ngono.
 
Dini hizi we achana nazo , Mfano kuna Msanii anaitwa Zuchu alishawahi kusema kwenye interview kuwa yeye hawezi kukubali kudhaminiwa na kampuni zinazotengeneza Vilevi Sasa ajabu nyimbo zake nyingi za huyo Msanii ni maudhui ya Kingono ngono tena ya Wazi wazi...!
Huyo ni Zuchu siyo mafundisho ya dini yanavyosema , angekuwa amesema aya inayosapoti hayo aliyosema hapo dini ingetiwa makosani .
 
Nafikiri najisi kwao ni ukristu, pombe na nguruwe, mengine si najisi, hasa ngono.
Weka ushahidi wa hayo unayo dai kupitia Qur'an na Sunnah sio unaongea kama Mwehu wakati Jf ina slogan kwamba ni 'Home of great thinker" wewe inafanya hapa kama kijiwe cha bangi au umbea.
 
Sio ruska hata kwa pesa ya kamali pia sio ruska sema viongozi wa dini wengi huangalia matumbo yao, kuna sehemu ukienda ukasema nilibeti nimeshinda sasa nimekuja kutoa sadaka ya ujenzi wa msikiti wanakutimua, lkn kwingine wanapokea lkn wanajua sio sawa kufanya hivyo.
Kwa hiyo shidano kujua chanzo cha pesa?!?

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye mito ya ulevi kwa wanywao...ina maana ni kwa wale ambao duniani walikuwa wanakunywa. Au nimeelewa vibaya?
Naomba mjibuko haraka ndugu yangu.....nijiachie mazima kuanzia duniani🤣🤣
 
Naomba mjibuko haraka ndugu yangu.....nijiachie mazima kuanzia duniani🤣🤣
Na mimi bado nasubiri jibu la mwisho. Lkn si wanasema maandiko hayadanganyi?😃😃
 
Na mimi bado nasubiri jibu la mwisho. Lkn si wanasema maandiko hayadanganyi?😃😃
Ofcourse.....lkn wewe nipe tu assurance kabisa kutoka horse mouth. Kwamba Mufti au Shekhe.......kasema
 
Back
Top Bottom