Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

MoseKing

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
4,928
Reaction score
8,976
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
=======
Wafanyabiashara waliofanikiwa wapo ila mostly kwa njia kubwa NNE.

  • Kuingiza bidhaa za magendo kutoka Kenya ( hasa sukari na Mafuta ya kula)
  • Mirungi ( Hizi biashara 2, mgeni huwezi kujihusisha nazo, utauzwa asubuhi tu)
  • Biashara halali zenye mitaji mikubwa na zilizoanza kitambo.
  • Uchume kutoka mikoa mingine halafu uje kujenga huku.
Hiyo ndio Hali halisi.
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

Share
Kwa wastaafu huko kimbia😅binafsi nimezaliwa na kusoma hapo hadi form 4 ila sijawahi fanya kazi KLM,nianzia kuajiriwa Arusha then nikaingia Dizimu,huko naendaga desemba kula Xmas.
 
Uko sahihi kabisa.

Huku Kama unakuja mara moja moja sawa, ila kuishi ni tabu sana
Kama ni hapo town utazoea tu baada ya muda,nilijaribu kujitolea halmashauri ya hapo enzi nimemaliza chuo,lol nilikipata Cha moto,ofisi imejaa wazee afu wote wachaga lol Wana ukabila usipime,bahati nzuri nikapata mdau akanikonekti nikaenda Arachuga nikapata ajira asap Tena kwenye kampuni binafsi, Moshi kugumu Sana ila wagumu wanadumu.
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

Share
Mtu akikunyima uhuru wako wa kuishi unako taka freedom of movement ni sawa sawa amekunyima 50%ya opportunity kupata pesa na furaha, napenda sana kujiajiri sio rahisi mtu kunishawishi kuajiliwa na hi mishahara ya 500k to 2m. Siwezi hata unipa bima ya afya mara usafiri nyumba siwezi, my freedom is more precious than money.
 
Kama ni hapo town utazoea tu baada ya muda,nilijaribu kujitolea halmashauri ya hapo enzi nimemaliza chuo,lol nilikipata Cha moto,ofisi imejaa wazee afu wote wachaga lol Wana ukabila usipime,bahati nzuri nikapata mdau akanikonekti nikaenda Arachuga nikapata ajira asap Tena kwenye kampuni binafsi, Moshi kugumu Sana ila wagumu wanadumu.
Imagine, Moshi manispaa ila ni pagumu.

Sasa mimi Niko wilayani.
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

Share
Tofauti kivipi sema tujue
 
Mtu akikunyima uhuru wako wa kuishi unako taka freedom of movement ni sawa sawa amekunyima 50%ya opportunity kupata pesa na furaha, napenda sana kujiajiri sio rahisi mtu kunishawishi kuajiliwa na hi mishahara ya 500k to 2m. Siwezi hata unipa bima ya afya mara usafiri nyumba siwezi, my freedom is more precious than money.
Mkuu, hata uiijiajiri nchi hii huna huo Uhuru 💯.

Tunaishi nchi hii na tunaijua vizuri na biashara tushafanya sana.

Kwa taarifa yako, Mimi ni mkaguzi kwahiyo hizo biashara kila siku nakagua ndio kazi yangu. Biashara zetu nyingi ni HAND to MOUTH.
 
Mkuu, hata unijiajiri nchi hii huna huo Uhuru 💯.

Tunaishi nchi hii na tunaijua vizuri na biashara tushafanya sana.

Kwa taarifa yako, Mimi ni mkaguzi kwahiyo hizo biashara kila siku nakagua ndio kazi yangu. Biashara zetu nyingi ni HAND to MOUTH.
Hand to mouth ipo hata kwenye ajira , lakini at least ukijajiri unapata uhuru!!
 
Tofauti kivipi sema tujue
  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
 
  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
Duuh umetoa points Kali sana na inaonekana uko smart kwenye potential na opportunity analysis big up
 
Kama ni hapo town utazoea tu baada ya muda,nilijaribu kujitolea halmashauri ya hapo enzi nimemaliza chuo,lol nilikipata Cha moto,ofisi imejaa wazee afu wote wachaga lol Wana ukabila usipime,bahati nzuri nikapata mdau akanikonekti nikaenda Arachuga nikapata ajira asap Tena kwenye kampuni binafsi, Moshi kugumu Sana ila wagumu wanadumu.
Acha uchagani...hata town hapa washkaji wa kichaga hawaeleweki. Wanapigo zilezile za wazee wao, wanabahat ya kupata kazi kwasababu wengi wamesoma ila hawaelimiki wanaleta maisha ya keshumundu hapa mjini. Mfano kijana kabisa unakuta kakaa kimara analamba mbege....pili, huez kuta mshkaj wa kichaga anaujamaa na mgoni....ni wao kwa wao na wanajazanaga ujinga wa utajiri wa kununua bodaboda na kunuNua viwanja vya mil.2
 
Hata ajira kuabudu watu ni maamuzi ya mtu. Muhimu ni kutekeleza matakwa ya mkataba.
Mkuu unaweza kumkataa boss? , Sawa kuna mikataba , hakuna siku unaenda tofauti na huo mkataba kwa bahati mbaya ? Halafu unategemea huruma ya mtu?
Kwenye kujiajiri hakuna mambo hayo.
 
Mkuu unaweza kumkataa boss? , Sawa kuna mikataba , hakuna siku unaenda tofauti na huo mkataba kwa bahati mbaya ? Halafu unategemea huruma ya mtu?
Kwenye kujiajiri hakuna mambo hayo.
Kwenye kazi Kuna MIKATABA, SHERIA ZA AJIRA na KANUNI.

Pia Kuna JOB DESCRIPTIONS za kazi na MAJUKUMU yako kiutumishi.

Kama unatekeleza wajibu wako HAKUNA sababu ya KUABUDU watu.

Mimi nimewahi kufanya kazi sekta binafsi, nilikuwa nazinguana na hao unaowaita boss (Mara nyingi ni managers na wasimamizi tu) maana wenye makampuni hawanaga shida. Nikaacha kisheria nikahamia kwingine.


Watu wengi wanaoabudu watu Mara nyingi uwezo wao kikazi ni mdogo sana, hivyo wanategemea zaidi KUBEBWA.
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

Share
Kuna wilaya inaitwa Kilimanjaro?

Kama wewe ni mtumishi basi Taifa Lina hasara kubwa
 
Kwenye kazi Kuna MIKATABA, SHERIA ZA AJIRA na KANUNI.

Pia Kuna JOB DESCRIPTIONS za kazi na MAJUKUMU yako kiutumishi.

Kama unatekeleza wajibu wako HAKUNA sababu ya KUABUDU watu.

Mimi nimewahi kufanya kazi sekta binafsi, nilikuwa nazinguana na hao unaowaita boss (Mara nyingi ni managers na wasimamizi tu) maana wenye makampuni hawanaga shida. Nikaacha kisheria nikahamia kwingine.


Watu wengi wanaoabudu watu Mara nyingi uwezo wao kikazi ni mdogo sana, hivyo wanategemea zaidi KUBEBWA.
Level ya kazi unazozungumIa ni level ya juu sana , na sio average ya kazi zinazopatikana.
Nilitamani usikie stori za walimu wanavyonyanyasika na maafisa elimu wa wilaya , utadhani miungu watu
Halafu job description nalo ni neno pana, linaweza kutumika kukubana pia wewe muajiriwa ukqjikuta unaanza kuabudu watu
 
Back
Top Bottom