Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Duuuh mm nipo mikoa ya kusini Mvua za huku ni 'unga unga mwana' aisee jua kali joto....dadeki ila maeneo yapo
 
Acha uchagani...hata town hapa washkaji wa kichaga hawaeleweki. Wanapigo zilezile za wazee wao, wanabahat ya kupata kazi kwasababu wengi wamesoma ila hawaelimiki wanaleta maisha ya keshumundu hapa mjini. Mfano kijana kabisa unakuta kakaa kimara analamba mbege....pili, huez kuta mshkaj wa kichaga anaujamaa na mgoni....ni wao kwa wao na wanajazanaga ujinga wa utajiri wa kununua bodaboda na kunuNua viwanja vya mil.2
Wivu utakuua mtoa mada, wachaga watani zangu tunawaona nchi nzima, wanakunywa na wanajenga kwao, wewe endelea na Imani zako potofu
 
Acha uchagani...hata town hapa washkaji wa kichaga hawaeleweki. Wanapigo zilezile za wazee wao, wanabahat ya kupata kazi kwasababu wengi wamesoma ila hawaelimiki wanaleta maisha ya keshumundu hapa mjini. Mfano kijana kabisa unakuta kakaa kimara analamba mbege....pili, huez kuta mshkaj wa kichaga anaujamaa na mgoni....ni wao kwa wao na wanajazanaga ujinga wa utajiri wa kununua bodaboda na kunuNua viwanja vya mil.2
Hakuna kitu kama hicho mkuu mimi nimchaga asilimia 100 marafiki zangu wengi wa kanda ya ziwa na wengi tu nmewapa michongo na wao wakanipa michongo, kuangaliana kikabila ni ushamba uliopitiliza.
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
Ukiwa mtu kutoka nje ya uchagani una weza kufanikiwa kirahisi sna ,kama utaweza kuendana na wachaga kuliko mwenyeji , wachaga wanatabia ya kumkubali mgeni anaewakubali ,mimi nimchaga nakifahamu kiundani ninachokisema.
 
Ukiwa mtu kutoka nje ya uchagani una weza kufanikiwa kirahisi sna ,kama utaweza kuendana na wachaga kuliko mwenyeji , wachaga wanatabia ya kumkubali mgeni anaewakubali ,mimi nimchaga nakifahamu kiundani ninachokisema.
Kufanikiwa kufanyaje?

Maana hakuna Cha maana Cha kufanya, in short.
 
Watumishi wakibongo kwa ujumla ni viazi tu no matter what, yani unakuta jamaa anakitambi mpaka kutembea hawezi ukiuliza ana kazi gani unaambiwa askari maaneeneer yani uwezo wa kufikiria umeondoka kabisa mtu unalipwa lakitano baada ya makato na una wake wanne na una kitumbo, my way , yule aliyesema watanzania wengi ni vichaa hakukosea kabisaaaa, Kimsingi mishe binafsi ndio zinakutoa wala sio location uliyopo, napingana na mtoa uzi kabisaaa huko kilimanjaro wapo weengi wametoboa lakini sio kwa kuajiriwa na mama samia . UTUMISI wa Umma ni utumwa.
 
Mtu akikunyima uhuru wako wa kuishi unako taka freedom of movement ni sawa sawa amekunyima 50%ya opportunity kupata pesa na furaha, napenda sana kujiajiri sio rahisi mtu kunishawishi kuajiliwa na hi mishahara ya 500k to 2m. Siwezi hata unipa bima ya afya mara usafiri nyumba siwezi, my freedom is more precious than money.
Kweli kabisaa
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
Mamlaka husika zimuamishie Mkoani LINDI
 
Back
Top Bottom