Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
"Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari"!Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
sie tulienda jkt tuliweza kulenga 100m na tukapata bull...Kama wewe ni Askari au mwanajeshi utajua no kiasi gani ni ngumu kulenga kichwa
Ikipita risasi ikapiga ubongo, uwezekano wa kufa ni asilimia mia"Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari"!
Hongera mwenzetu ambaye moyo wako umo ndani ya kichwa. Jambo lolote likifanywa na mfuasi wa Chadema huonekana ni kituko japo lipo siku zote na linatumika.
Watu wengi hupigwa risasi kifuani si kichwani kwa sababu ni rahisi kulenga kifua kuli kichwa kutokana na small target surface area.Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Na ikipiga moyo, unautoa unaweka mwingine. Sativa alipigwa risasi kichwani na bado yuko fiti.Ikipita risasi ikapiga ubongo, uwezekano wa kufa ni asilimia mia
Hakika...unaonekana unauzoefu wakuzagamua 🎯Yeah!
Hata mtu akiwa karibu bado kulenga kichwa sio rahisi
Afu anafikiri yale mahelment yanaweza zuia risasiWe jamaa maswali yako na mada zako huwa zinaashiria ghorofani kuna Tatizo
Swali lako zuri kwa technologia ya sshv watu wanakuzoom tu wanakubatua bullets proof zimepitwa na wakatiNi katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Kwa Sativa na Lissu ulikwama wapi?Nenda kwenye mafunzo ya kulenga Shabaha uone ilivyokazi kulenga kichwani.
Pia kichwa kinakuwa na movements za hapa na pale tofauti na kifuani
Kupiga kichwani inahitaji mtu mbobezi wa Shabaha kama Mimi.
Uzi ufungwe sasa.Shabaha ya kichwa ni ngumu kuliko ya kifua
Sativa ilikua ni close range.(Alilazwa chini Kwanza)Kwa Sativa na Lissu ulikwama wapi?
Wanasema kulenga kichwa ngumu sanaNi katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Mkuu,Kwanza Kujilinda ni atua kwa hatua.Headshot huwa ni ngumu sana kumpata mtu.Ofcourse unaweza kuvaa helmet ama kuna tishio la wazi ila kwa sasa avae tu hiyo VEST aizoeeNi katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Info is powerhakuna siri...kila kitu kiko waziiWewe sasa umetoa Siri y kambi😄