Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
"Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari"!Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Hongera mwenzetu ambaye moyo wako umo ndani ya kichwa. Jambo lolote likifanywa na mfuasi wa Chadema huonekana ni kituko japo lipo siku zote na linatumika.