Akienda Huko ataondoka na PSU yake tu, Huko syria watalazimika Kumlinda Kiongozi yoyote wa rank ya juuMensah JF haiwezi poteza sifa kwa utashi wa mtu mmoja anayejiona yeye ni bora kuliko Jukwaa..
Mada: Ulinzi kuwa mkubwa ndani ya mipaka ya utawala wako ni uoga na kutojiamini.. Najiuliza akienda pale Syria huenda jeshi zima likahamia pale.
Secret Service walilishangaa Kweli walipo mleta Obama, Iweje Jengo refu vile liwe karibu na state houseMimi huwa najiuliza tu lile jengo refu pale karibia na taasisi ya kansa kama haliteweza kutumika kama observation post.
lile ni la kubomoa tu at any cost.Secret Service walilishangaa Kweli walipo mleta Obama, Iweje Jengo refu vile liwe karibu na state house
Amefanya nini huyo THE BOLD?The Bold angekuwa hajapigwa BAN angetufafanulia vizuri kweli..yule jamaa anayajua sana haya mambo ya intelijensia
mkuu soma post za huko juu...utaelewa zaidi ila kwa kifupi alipewa BAN kisa kupost link ya web yake..hivyo tuAmefanya nini huyo THE BOLD?
Ahahaaaaah...Ukianzisha uzi binafsi kuhusu :Thebold na [HASHTAG]#Nifah[/HASHTAG] mods na timu ya JF wanaumeza ukiwa bado wa moto. Na hutakaa oune hata kwenye server yao.
Binafsi, Nilitaka kutoa comment kwenye uzi wa nifah, wakaoupoteza na hadi sasa uzi wangu kuhusu hiyo issues ya ban Niliandika walipoonatu majina ya watu waliotukuka yaani, [HASHTAG]#Poise[/HASHTAG], [HASHTAG]#Thebold[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Nifah[/HASHTAG] basi wakautupilia mbali huo uzi .
Binafsi kwa kuandika hivi tu naweza nipewe hata ban ya wiki 2 .
Any way, miafrika Ndivyo ilivyo mingi ina roho za giza na figisufigisu a.k.a roho za korosho
Sheria haijawahi kumuacha MTU salama..!The Bold alipata majanga juzi aisee, ilihusika na kupost jina la website yake na kuiweka link ndio maana akala ban aseeh..so sad
hapo mkuu umenena coment nying za mananga wanajiona wanajua akati kazi ni zawatu wenyew wanatambua wakifanyachoooMahali Rais anapokuwa Usalama umeimarishwa...usione wale tuu waliobeba silaha...bali wapo waliovaa kiraia na hawajulikani.
Pia kwa nyie ambao si watu wa usalama ni vigumu sana kuyafahamu haya hivyo waachieni wenyewe...Ya kaisare muachie kaisare ...wewe fanya la taaluma yako...
aseehSheria haijawahi kumuacha MTU salama..!
lile ni la kubomoa tu at any cost.
Mkuu samahani mimi mshamba hivi ni PPU au PSU? Au kuna mabadiliko tayari? Hivi mrithi wa Ben Mashiba ni nani? Halafu hao Emergency responce ndio kazi yao ni ku counter assault? Kuna story za vijiweni jamaa wanamzigo kurushiana hadi masaa 3, au sasa hivi mzigo umeongezwa? Samahani kuuliza si ujingaKiulinzi na kiusalama siyo 'afya' sana kwa Walinzi wa Rais kutembea na silaha zinazoashiria utayari wa mapambano ('non-concealed') kwa wakati wote. Hii inamaanisha kuwa urari wa usalama('Threat Level') uko juu kupelekea kuongeza ulinzi. Hii pia inaweza kuwa mbinu ya kisaikolojia ya kuwanyongonyeza adui.
Kwa huko Puerto Rico askari uliowaona wanatoka Kikosi cha Ulinzi wa Rais (Presidential Protection Unit -Emergency Response). Hawa PPU-ERT ni wajuzi wa mashambulio ya haraka katika halaiki. Mwanzoni hili lilikuwa jukumu la FFU-ERT lakini kwa sasa wanaanza kupokwa polepole.
Dhumuni la Walinzi wa Rais ni Ulinzi ingawa wanaweza kushambulia ikibidi na Rais huko Puerto Rico ana walinzi wengi hadi kufikia Platuni nzima watu 15+ kwenye 'detail' yake kutokana na urari wa usalama.
Mkuu Ndege za jeshi zilikuwa zinarandaranda siku ileKanuni za ulinzi na usalama wa mkuu wa nchi ziko hivi: Kuna security alarm levels, na kila level ina kiwango chake cha ulinzi. Kwa kuangalia walinzi na nyenzo zao utajua nchi uko security alarl level gani. Pia utajua mkuu wa nchi yuko tayari kuchukua risk ya maisha yake kwa kiasi gani.
Hivyo, swali sio ama "ni afya au sio afya", bali ni justifiable kwa wakati huu, mahali hapa na kwa kiongozi huyu kupewa ulinzi wa kiwango hiki?
Tulioko hapa TZ ni muhimu uslama uongezwe kwa Rais. Tena siku ile, kama ningekuwa boss wa TISS, hata chopper ingebaki inafanya hovering muda wate mkulu akiwa anga zile....
Hope this helps...
.Mkuu Ndege za jeshi zilikuwa zinarandaranda siku ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini kimetokea..maana THE BOLD ni mtu makini kweli..lkn waropokaji naona "tupo" tu hatujui hata ban zinafananje[emoji23][emoji23]
Mimi nimemuelewa kwanini kataja huko, ana akili sanaUsingetaja uliko unadhani usingejibiwa? Au ungejibiwa usingeyaelewa hayo majibu?
Wewe lazima ni MHAYA