Madrid boy
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 895
- 615
Acha uswahili wwulitaka tujue uko puetarico
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uswahili wwulitaka tujue uko puetarico
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?
Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.
Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
Hao ndio watu wanashiriki kuchagua viongozi, fumbo dogo tu wameshindwa kuelewa, tuna safari ndefu sana.Kweli bongo vilaza wengi , yani wanashindwa kuielewa nch ya "Puerto Rico" mtoa mada aliyoimaanisha.
Mkuu hata mimi naish Puerto Rico , nilijiuliza swali hili nikakosa jibu, labda ni maagizo ya mwenyew kiongoz wetu Puerto Rico.
Wewe unapenda?Why now?? Ina maana hapendwi na wananchi au?
akina Netanyahu wakilindwa na masilaha waziwazi mnapongeza kuwa ni ulinzi makini, kisa tanzania mnahoji? ushamba unawaponza mlikariri zamani saivi full security makanjanja nyie!!
Thread zinazohusu mambo nyeti ya taifa ndizo zinazosababisha viongozi wa jf kusumbuliwa mara kwa mara, endeleeeni tu!!!
GENTAMYCINE. Mkuu ni hatari tena kubwa sana usalama wa Taifa ndio wanatakiwa kwa wingi maana wao ndio wamepata mafunzo ya kiuweredi kumlinda kiongozi wa inch Rais.
Sijui usalama wa Taifa hawaoni tatizo hususani kipindi hiki kigumu cha walio wengi wameathirika na wapendwa wao ndgg kufukuzwa kazi, ama wao kubomolewa nyumba.
Usalama wa Taifa watatumia uweredi wao kuliona tatizo hili kubwa.
The bold mbaya sana huyu jamaa bora wamrudishe anajua sanaaaThe Bold angekuwa hajapigwa BAN angetufafanulia vizuri kweli..yule jamaa anayajua sana haya mambo ya intelijensia
True...yupo vizuriThe bold mbaya sana huyu jamaa bora wamrudishe anajua sanaaa