Siokweli sisi tumekua hatuwakisi wakiwa wachanga mpaka mnawapa na maulimi yenuhayo....lakini wakishaza kujitambua mnalala mbele unavorudi mnauliza kwamama zao ,ameshalala mana kamshikaki haka kanatutosha wawili tuMambo ya Mahaba
Kawaida Kwa Wazungu mkuu
Muda wote anazungumziwa yeye na mwanae, sijasikia habari za mke wake(mama mtoto), mama wa mwanaye yupo wapi? nijuzeni mnaojua
Mjadala huo umezuka wapi, USA au kwa mfuga mbwa?
Muda wote anazungumziwa yeye na mwanae, sijasikia habari za mke wake(mama mtoto), mama wa mwanaye yupo wapi? nijuzeni mnaojua