kenge 10
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,450
- 2,383
Sasa huyo anaelalamika si mbantu, kutumia tamaduni yako kuhukumu wengine ni boya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo anaelalamika si mbantu, kutumia tamaduni yako kuhukumu wengine ni boya.
Wana uzungu gani hao walikuwa mashoga tuMambo ya Mahaba
Kawaida Kwa Wazungu mkuu
Kobe hakuwa na tabia nzuri, alikuwa na tabia mbaya sana, mzinzi wa kutupwa, alishawahi kushtakiwa kwa kubaka, hata mkewe alitaka kumuacha kwa umalaya wake.
Inawezekana kweli hilo jambo?Desturi mkuu. Ukikutana na demu wa kijapan anaweza funguka sana kwako hadi ukadhani kakupenda, kibongobongo utataka kumtokea. Kumbe yeye wala hana hisia zako za kibongo.
Kama huujui uislam kaa kimya .mla nguruwe mmojaKibongobongo sio sahihi nahasa kwasisi waislamu feki ndio kabisaa,ila mm naona ishara ya upendo tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasikia kuwa marehemu kaacha mjane na watoto kadhaa. Hata picha ya mkewe akiwa kwenye majonzi sijaiona mitandaoni, jambo ambalo si kawaida kwa watu maarufu kama kobe.Kwa sababu hao ndio wamepata ajali na kufariki. Mama na watoto wengine bado wapo hai. Wanazungumziwa zaidi marehem.
Sijasikia kuwa marehemu kaacha mjane na watoto kadhaa. Hata picha ya mkewe akiwa kwenye majonzi sijaiona mitandaoni, jambo ambalo si kawaida kwa watu maarufu kama kobe.
Kwani Kobe mzungu? Pia walioibua mjadala sio wazungu?Mambo ya Mahaba
Kawaida Kwa Wazungu mkuu
AnywayMkuu kuna mahali nimezungumzia "usahihi"?
mtoto mwisho kumkiss hivyo ni miaka 4, lakin akishafikisha miaka 10 tayar ameshavunja ungo, hiyo ni tabia chafu, unamfundisha uhuni
Hahaha yupo sahihi mno Sema ma Mila na destuli ya Africa yaliyo tufanya tukawa wajinga weusi mpaka ubongo hayakuruhusu iyo kitu imagine Leo hii huwez Ata kumkiss mke wako mbele za watu Sasa je uyo mtoto unaanzaje? [emoji848][emoji848]