Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kaacha mke mmoja na watoto watatu wakike,mke ni mlatino au kwa sie tunasema mzungu,mara chache mno wajane wa huko kujiselfie misibani labda tutamuona siku ya mazishi.
Sijasikia kuwa marehemu kaacha mjane na watoto kadhaa. Hata picha ya mkewe akiwa kwenye majonzi sijaiona mitandaoni, jambo ambalo si kawaida kwa watu maarufu kama kobe.