Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Beatrice hivi viatu ulivyovaa vinakupwaya...vaa vya kwako.

Btw, Beatrice original alikuwa anapambana sana na katiba mpya , hata wakati wa kuaga ndio ilikuwa agenda yake kuu.
Huu utofauti kati yako na yule wa mwanzo unaacha mashaka makubwa.
 
Miezi kadhaa nyuma alikaririwa Mtumishi wa mungu Apostle au prophet Rolinga akiwaambia wauminj wake waombe juu ya nchi yetu na dhana potofu ya udini, sikupenda kuamini sana kile alichokihubiri clip zipo you tube fuatilia Omega church by Rolinga.

Dhana ambayo inaanza kuibuka ni kwamba dini fulani imeanza kuwekwa pembeni, ina minywaminywa Mbowe ni Kiongozi mkubwa wa upinzani, dhana nyingine ni ya wachaga kuanza kusakamwa hii ikianza toka enzi za mwendazake.

Nadhani kama Taifa wanaohusika na hili wajitahidi mtuhumiwa kama kuna ushahidi apelekwe mahamakamani na hatima yake ijulikane liishe mapema. Kwa maoni yangu hili suala linaibua udini na ukabila na tusijidanganye kwamba hizi hoja haziwezi kuungwa mkono na dini ya mbowe wote kwa ujumla wao ni suala la muda tu. Bahati mbaya sasa hivi dini ya mashariki ya kati ndio imeshika usukani ni vema ikajitenga na hizi dhana.

Napenda nimsikie Nabii Mwingira pia akiongelea haya yanayoendelea kiroho zaidi. Maana yule huwa hapepesi maneno. Apostle Temba alitabiri pia kwamba 2026 Inshaalah tutapata Latiba mpya nani atarahisisha ipatikane haijajulikana bado lakini alisema like it or not 2026 katiba mpya mezani by grace pf god tunatamani tuipate ili kiasi fulani tuweze kuwa na visible accountability and fair rights to all citizens.

Pendekezo langu katiba iseme wazi nani anaweza kuwasha kingora akaskip foleni huku sisi tunasubiri taa ziwake tupite.
 
Wewe ni mtu hatari sana,maana unatafuta kwa jinsi yoyote ile kuligawa taifa ama kidini au kwa ukanda kisa Mbowe!
Ila nikwambie mapema kabisa kwamba sisi watanzania siyo wapumbavu.

Mama yetu ameonesha moyo wa kutaka maridhiano na kusema ukweli amejishusha sana.Badala ya Mbowe kuona jambo hili kama grace tu,yeye aliamua kujikuza na kujaribu kutunisha misuli kwa mtu ambaye hakuwa,na nia ya kugombana.
Sasa sijui mlitaka mama yetu ajikunyate kama mnyonge akifuata amri za Mbowe?
Mimi ni mwananchi wa kawaida wala sina interest yoyote na ccm,wala hata ndugu anayefaidika na ccm,kwa namna yoyote sitarajii hata kupata mia moja kutoka ccm au hata serikalini,ila nilichukizwa sana na tabia ya Mbowe kutaka kuanza siasa za kibabe bila sababu.Mbona kwa mbabe Magu aliufyata?Hii nchi acheni jamani ipumue sio kila siku kukinukisha tu
Naomba nikusaidie kwa ufupi, niliyoandika hapa ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni, hakuna sehemu Kiongozi atasifiwa kwa kukwepa kutenda haki. Naamini unaona mjadala unaoendelea udini,ukabila na ukanda,. Hayajaanza leo haya yameanza wakati wa JK tulipowaita wakina Lwakatare Magaidi, from there atujawahi kutubu Bali tuliendelea kutumia hii mbinu kukandamiza watu. Si dhana nzuri wenzetu Kenya wanajua athari za kuchanganya siasa na mambo ya ugaidi. Unawajengea roho mbaya unaowaongoza hasa pale wanaprove kwenye moyo wao kwamba hii dhana haipo ila inatumika kunyima watu haki
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Acha kuhusisha watu wasiohusika hapa hoja ni Mbowe Freeman ambaye ni Gaidi watu wengine uliowataja hawahusiki

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo Mimi naamini,wewe ujuzi wako kwenye Masuala ya kiusalama unaujuzi gani?Kama Neema alimuwasha Mpenzi wake,Kule Bar Risasi wameuwana nini kinakutia shaka kwa Mbowe wakati nayeye ni Binadam na anahulka Kama Wengine tu.
 
Hapo ndipo wakristo mnapojidhihirisha udini wenu,kwa Nini msiseme Lile la ukweli?
Hua mnawasema waislamu wadini,Sasa mnaandika Nini Sasa,mbona rais kakutana na viongozi wa dini wa kikristo na hajakutana na viongozi wa dini wa kiislamu,waislamu hawalalamiki?
Mi mkristo ila Mbowe ni Gaidi na alicheleweshwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cabinet ya magu ilikua na waislam 3 tu,na waislamu wala awakulalamika,udini wa rais umekuja baada ya nyinyi wenyewe kumchukulia ni dhaifu,ogopa sana kiumbe mwanamke akiwa na nguvu flan then wewe ukamchukulia dhaifu kutokana jinsia yake,tena mkizidi anamtoa sabaya jela na kumpa ukuu wa wilaya ya hai na kukamata yule mdude nyagali,huyu bibi alikua anasettle vizuri tu nyie wenyewe ndie mliesababisha abadilike
Serikali ishughulikie magaidi Tz bila ugaidi inawezekana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Kwani UGAIDI ni nini hasa ? Yaani maana ya Ugaidi.
 
Beatrice Kamugisha umefufuka? Karibu sana.

Huyu bibi kwa hakika ni mdini. Kaachia waislamu wenzake Sasa anakamata wakristo.
Sifa moja kuwa Mkristo ni kutokuwa mkweli. Hili linaonekana sana kiutendaji. Sifa nyingine ni kulalama,kadhalika sifa nyingine ni kuona wao wanaonewa,tena sofa myingine ni wao wawafanyie mabaya wenzao ila wasofanyiwe,hapa natumia msemo wa Kiswahili usemao "Kunya anye kuku akinya bata amehara". Hamkujaaliwa uadilifua WAKRISTO.
 
Wewe ni mtu hatari sana,maana unatafuta kwa jinsi yoyote ile kuligawa taifa ama kidini au kwa ukanda kisa Mbowe!
Ila nikwambie mapema kabisa kwamba sisi watanzania siyo wapumbavu.

Mama yetu ameonesha moyo wa kutaka maridhiano na kusema ukweli amejishusha sana.Badala ya Mbowe kuona jambo hili kama grace tu,yeye aliamua kujikuza na kujaribu kutunisha misuli kwa mtu ambaye hakuwa,na nia ya kugombana.
Sasa sijui mlitaka mama yetu ajikunyate kama mnyonge akifuata amri za Mbowe?
Mimi ni mwananchi wa kawaida wala sina interest yoyote na ccm,wala hata ndugu anayefaidika na ccm,kwa namna yoyote sitarajii hata kupata mia moja kutoka ccm au hata serikalini,ila nilichukizwa sana na tabia ya Mbowe kutaka kuanza siasa za kibabe bila sababu.Mbona kwa mbabe Magu aliufyata?Hii nchi acheni jamani ipumue sio kila siku kukinukisha tu
Vyombo visifumbie macho magaidi Gaidi ni Gaidi tu haijalishi kabila au dini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Miezi kadhaa nyuma alikaririwa Mtumishi wa mungu Apostle au prophet Rolinga akiwaambia wauminj wake waombe juu ya nchi yetu na dhana potofu ya udini, sikupenda kuamini sana kile alichokihubiri clip zipo you tube fuatilia Omega church by Rolinga.

Dhana ambayo inaanza kuibuka ni kwamba dini fulani imeanza kuwekwa pembeni, ina minywaminywa Mbowe ni Kiongozi mkubwa wa upinzani, dhana nyingine ni ya wachaga kuanza kusakamwa hii ikianza toka enzi za mwendazake.

Nadhani kama Taifa wanaohusika na hili wajitahidi mtuhumiwa kama kuna ushahidi apelekwe mahamakamani na hatima yake ijulikane liishe mapema. Kwa maoni yangu hili suala linaibua udini na ukabila na tusijidanganye kwamba hizi hoja haziwezi kuungwa mkono na dini ya mbowe wote kwa ujumla wao ni suala la muda tu. Bahati mbaya sasa hivi dini ya mashariki ya kati ndio imeshika usukani ni vema ikajitenga na hizi dhana.

Napenda nimsikie Nabii Mwingira pia akiongelea haya yanayoendelea kiroho zaidi. Maana yule huwa hapepesi maneno. Apostle Temba alitabiri pia kwamba 2026 Inshaalah tutapata Latiba mpya nani atarahisisha ipatikane haijajulikana bado lakini alisema like it or not 2026 katiba mpya mezani by grace pf god tunatamani tuipate ili kiasi fulani tuweze kuwa na visible accountability and fair rights to all citizens.

Pendekezo langu katiba iseme wazi nani anaweza kuwasha kingora akaskip foleni huku sisi tunasubiri taa ziwake tupite.
Kwahiyo mlitaka avuruge nchi yetu achekewe huyu mtu akae jela angalau miaka kumi kwanza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Tuendako sio salama Kama watawala hawatakuwa making. Kumuita mtu gaidu na si gaidu NI hatari. Kutawala Kwa mbinumbinu nikubaya Sana. Utawala mzuri NI ule mtu anatawala kufuata wananchi kipi wanahutaji na kipi hawahitaji.
 
Mboe mambo mengine hua anajitakiaga mwenyewe...
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Hakuna

Mbowe sio kiongozi wa dini
 
Beatrice Kamugisha umefufuka? Karibu sana.

Huyu bibi kwa hakika ni mdini. Kaachia waislamu wenzake Sasa anakamata wakristo.
Sexless acha utumbo na makange, hao uhamsho walikamata toka kipindi cha JK sasa Jk ni dini gani??? ebu jaribu kushikilia uchi wako wakati unawasilisha jambo. mbowe kukamatwa sio stori tena sababu imezoeleka unataka kunambia alipokamatwa wakati wa JPM mbona hakuleta mada za udini...achana na hayo mambo
 
Back
Top Bottom