sam green
Senior Member
- Feb 21, 2020
- 184
- 274
Punyeto kvp mkuu maana punyeto ni kwa mkono sasa mm maweka kweny K moja kwa moja wakat wa kupiz ndio natoa nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punyeto kvp mkuu maana punyeto ni kwa mkono sasa mm maweka kweny K moja kwa moja wakat wa kupiz ndio natoa nje.
🙏 🙏 🙏 ❣️Nafany hvyo kuepsha mimba zisizotalajiwa
Sina hakika kama yaweza kuwa hivyo!Ukizoea hivyo itakuchua muda sana kukojoa kwa ndani
HapanaUnamwaga nje kwani wewe ni pornstar?
unajua ukishakuwa member wa chaputa ni vigumu kumwaga,unaezapiga hata saa zima wazungu hawatoki hadi utumie mkonoMwagia ndani wewe
Sawa wengi wa watu ,hutoa jibu kama lako.Nafany hvyo kuepsha mimba zisizotalajiwa
Njia ya kalenda hajui k2miaSawa wengi wa watu ,hutoa jibu kama lako.
Ngono unayomwaga nje, haimridhishi mwanamke wako, kwan anakua kichwan muda wote anawaza wakat wa wee kutoa mashine...
Mfundishe ili ajue kutumia, ni njia salama zaidiNjia ya kalenda hajui k2mia
Kwani hamna soksi za mguu mmoja huko kwenu?Nafany hvyo kuepsha mimba zisizotalajiwa
WanaJF poleni na majukumu,
Naomba kuuliza kama kunaweza kukawa na matatizo yoyote pale unapokutana na mwenza wako kimwili kisha ule wakati wa kufika kileleni unatoa na kumwaga shahawa kwa nje..
Zinazuia utamu mkuu nik2mia huwa sipati radhaKwani hamna soksi za mguu mmoja huko kwenu?
Tusaidie hapo uliposema kuna madhara kwa mwenyezi munguKama nimekuelewa bado umri ni mdogo. Kwa uliotaka kuuliza ki afya hayna madhara yoyote ilihali ujafafanua vizuri una mwaga kutoka wapi. Kwa mwenyezimgu madhara bado ni makubwa.
Pengine ungejiuliza. Kwa tathmini rahisi.Je ingekua mfano "wazazi wako au wazazi wa rafiki yako"wanafanya hilo unaotaka kufanya. Kuvaa mipira au kutoa manii nje. Je ww binafsi ungezaliwa?Tusaidie hapo uliposema kuna madhara kwa mwenyezi mungu
Aisee!unajua ukishakuwa member wa chaputa ni vigumu kumwaga,unaezapiga hata saa zima wazungu hawatoki hadi utumie mkono
😂🤣😂😂🤣🤣Mmenikumbusha wakati wa ujana wangu nilikuwa na demu kila tukienda cheza mechi anataka nikojoe nje ili aone manii zinavyoruka, basi nikipiga nikifika point namwambia nakojoa mwenzangu ndiyo ananipiga pini na miguu kabisa sitoki wala nini na yeye hapo hapo anaunga, akimaliza anaanza kunilaumu kwa nini sijatoa akaona hahahaha ilikuwa kama kitendawili vile
Kuna ute ute huwa unatoka katika uume bila mwanaume kujua, ute huo unabeba mbegu za kiume na unaweza kusababisha mimba kwa mwanamke.
Kwahiyo endapo utafanya nae akiwa katika siku zake za hatari kuweza kupata mimba unaweza kumsababisha ujauzito licha ya kwamba unamwaga nje kwakuwa wewe utatambua pale tu unapopata hisia kuwa waarabu wanashuka kumbe kuna wasafisha njia walishatangulia pasi na kukujuza.
Ila kumbuka pia wapo wanawake wanapokaribia kufika orgasm huwa wanatabia ya kukung'ang'ania,sasa waweza kujikuta mnafika sawa kileleni naye akakushika ipasavyo na ni Siku njema kwake ukakuta kitu imo ndani. Be prepared,