popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
MziziMkavu,
Nadhani haujaelewa msingi wa swali,umefuata maneno tu,
Nadhani haujaelewa msingi wa swali,umefuata maneno tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina tatizo watakuja wataalam hapa wakuambie sio salama ili umlishe ile midawa yao apate kansa au aanze kuvimba tumbo ndo raha yao hiyoMimi nilikuwa na wasiwasi labda inaweza kuwa ni sehemu ya punyeto kumbe haina madhara.
Baada ya kukojoa nje usiichomeke kabla ya kwenda kukojoa mkojo huua mabaki ya mbegu katika njia,Zaidi ya alichosema Alexmahone ukikojoa nje duct ya penis hubaki na mbegu hivyo unaporudia tendo mbegu mabaki huingia moja kwa moja nakutunga mimba. Kukojoa nje haisaidii kabisa . In fact umekuwa ukifanya on safe days.
Mimi naomba nijibu kwa uzoefu, ni kweli kukojoa nje kunapunguza nguvu za kiume kwa sababu, unatoa nje uume wenye nguvu na kwa kasi inayokuwa nayo unalazimika kuukandamiza mapajani au juu ya kinena cha mwanamke.Wakuu shukrani kwa kuchangia japo najua kuna utata bado wa nguvu za kiume unapokojoa nje. Najua wataalam wengine nao watakuja kutujuza vizuri maana wengi twatumia style huenda kwa kutojua chochote.
Nikimwaga nje cha kwanza. hapo jua cha pili ni masafa marefu maana bado natumia unato Wa kKumwaga nje? Sitaki kusikia huo mchezo. Bora nitumie condom.
Hio ni contraceptive method kwa kumbukumbu zangu hafifu katika somo la biology tuliita ni withdrawal method. Nadhani ndio njia sahihi na salama zaidi ya kuepuka matatizo ya mimba zosizotarajiwa.Maisha yangu yooote nimeishi kwa kukwepa kudungisha mimba kwa njia hii,
Nnachofanya nikikojoa nje Naenda maliwato nakojoa mkojo wa kawaida kuflush mabaki ya shahawa na nnajua mkojo huharibu mbegu zinazoweza kuwa kwenye njia,halafu narudi kuendekeza kazi,
Na sijawahi pungukiwa nguvu kabisa,
Sijui labda ni maumbile
kama ndivyo ulivyoumbika hivo hata sekunde 15 ni nyingi mnommmh wewe jasiri sana kijana wengine wakiingia tu ni kumwaga
utadhani ametumwa kuja kumwaga huko hata dakika moja hamalizi ...sijui watu wengine wapoje ningekupata ungenifaa sana
ha ha ha ha ha haKumwaga nje? Sitaki kusikia huo mchezo. Bora nitumie condom.
Mimi naomba nijibu kwa uzoefu, ni kweli kukojoa nje kunapunguza nguvu za kiume kwa sababu, unatoa nje uume wenye nguvu na kwa kasi inayokuwa nayo unalazimika kuukandamiza mapajani au juu ya kinena cha mwanamke. Kitendo hiki kinalazimisha uume kujikunja kwa nguvu na hivyo kuikunja mishipa ya uume ambayo inatakiwa kuwa imenyooka wakati wote Wa tendo. Kujikunja huku kwa kulazimishwa kunaathiri nguvu ya kukunjuka na hivyo taratibu na baada ya muda kusimama kwa uume kunashuka kiwango.