Mtukudzi
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 103
- 408
Nawauliza wazee wangu mliokuwa na ufahamu wakati nchi inaingia kwenye vita vya Kagera. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuingiza nchi kwenye vita ya Uganda ambayo tangu wakati huo mpaka sasa madhara yake bado yapo dhahiri?
Je, hatukuwa na diplomacy iliyokuwa matured kuepusha hasara ile?
Je hatukuwa na jeshi imara la kuwafurusha wavamizi wa mipaka yetu kimya kimya bila kutangaza vita?
Nisaidieni wazee wangu
Je, hatukuwa na diplomacy iliyokuwa matured kuepusha hasara ile?
Je hatukuwa na jeshi imara la kuwafurusha wavamizi wa mipaka yetu kimya kimya bila kutangaza vita?
Nisaidieni wazee wangu