Je, kulikuwa na ulazima wa nchi kuingia vitani na Idd Amin?

Je, kulikuwa na ulazima wa nchi kuingia vitani na Idd Amin?

Ilikuwa sio lzm kuingiza nchi kwa interest ya Nyerere na Obote
Papy Ndombe, Idd Amin alikuwa ni Dikteta na Nunda kweli kweli wa hatari sana! Alikuwa haishi visa kila siku! Japokuwa vita hiyo ilitugharimu sana in terms of Human and Financial Resources, ilikuwa ni lazima apigwe na aondolewe madarakani kwa usalama wa nchi yetu!
 
Kuna tofauti ktk siasa na hali halisi wewe unaongelea siasa mm naongelea hali halisi ' kumbuka ktk siasa kuna propaganda na usiri lkn hali halisi hakuna vitu hivyo. Ninachoongea ktk uhalisia huo ambao hauna propaganda kama ktk siasa kama unazoongelea wewe ni kuwa nimeshuhudia waasi wa uganda ktk ardhi ya tz na zaidi wakifadhiliwa na kupewa mafunzo ktk ardhi ya tz ili waishambulie na kuing'oa serikali ya uganda wakishirikana na majeshi ya tz. kuhusu uchaguzi sote tunaelewa kuwa baada serikali za mpito mwisho wa siku aliingia obote swahiba wake nyerere 'sasa ndugu yangu unataka kutuaminisha kuwa obote hajawekwa na nyerere? Hizo blahblah za kisiasa utawadanganya wengi lkn si watu wenye uelewa mpana haitotokea kwa serikali yeyote ikakiri hadharani kuwa imemuweka rais wa nchi fulani madarakani hata siku moja
Kinachoonekana hapa ni vile wewe unataka/amini/penda iwe dhidi ya uhalisia wa jambo lenyewe. Kusema kuwa TZ ilimuingiza madarakani Obote wakati kila mtu alishuhudia mchakato mzima wa uchaguzi hadi Obote kurudi tena madarakani kwa ridhaa ya wananchi wa uganda wenyewe sidhani kama kauli zako zina mashiko. Labda kama unazungumzia kile unacho kiamini wewe binafsi
 
Back
Top Bottom