Je kuna bifu kati ya Shigongo na Diamond?

Acha uju'ha we bwege.. Kuna mahali niliposema nani ni mjanja kuliko mwenzake?! But all in all, huyo Shigongo ana ujanja gani?! Kwavile huko kwenu mnamuona mjanja unadhani ndo kila mahali anaweza kuwa na status ya kuwa mjanja?
Eric shigongo katoka sengelema kaja dar leo ana mkwanja wa maana acha kumlinganisha na hao akina babu tale wakata viuno wanaotegemea kula kupitia kwa diomond na dancee wake akina mose iyobo
 
Mwambie yule shigongo ni mafia Sana sema ndiyo hivyo huwez kumuelewa vizur . yule ngosha hana utani
Hawa jamaa wanazan shigongo ni wa kimchezo mchezo ni mafia kinoma na anamkwanja wa hatar
 
Eric shigongo katoka sengelema kaja dar leo ana mkwanja wa maana acha kumlinganisha na hao akina babu tale wakata viuno wanaotegemea kula kupitia kwa diomond na dancee wake akina mose iyobo
We jamaa nawe sijui vipi cjui!! Wapi nimemlinganisha Shigongo na yeyote yule kwenye posts zangu?! We jamaa wa wapi wewe?!

Hoja hapa ni kwamba Babu Tale alimpa makavu Shigongo kwamba aache kuandika hovyo watu kwa nia ya kuwafanyia damage!!! Baada ya kupewa makavu, kumbe inawezekana according to mleta mada, kumbe Shigongo kasusa kuandika habari za Diamond mtu ambae kwa sasa sidhani kama anategemea magazeti ya udaku!!!

Kama Shigongo na mihela that's none of our concern... kama pesa ni zake na ndugu zake!!!
 
Jamaa unaonekana unamkubali sama diamond hadi unaandika gazeti lote hili... anyway Mimi siyo hater huo ulikuwa ni mtazamo wangu tu kutokana na research na observation zangu
 
yah its true katika utafutaji ni mfano Wa kuigwa binafsi hata Mimi pia kuna nyimbo zake nazikubali ila haka katabia ka dharau, kejeli na show off vinanitoaga kwenye mood kabisa... sijui ni ulimbukeni au hasira za kusota sana kwenye life
 
ASEH, KWANZA NAOMBA NISEME KUWA MIMI SIYO TEAM DIAMOND NA WALA SIYO TEAM ALIKIBA. MIMI MWANAMUZIKI AKITOA WIMBO MZURI TU NASIKILIZA NYIMBO ZAKE. SICHAGUI, SIBAGUI

KUHUSU SHIGONGO VS DIAMOND BILA SHAKA NI CHUKI BINAFSI.

HATA HUKU KITAA UKIFANIKIWA WATU LAZIMA WAKUPIGE MAJUNGU, ndo wabongo walivyo.
 
Jamaa unaonekana unamkubali sama diamond hadi unaandika gazeti lote hili... anyway Mimi siyo hater huo ulikuwa ni mtazamo wangu tu kutokana na research na observation zangu
Unaona sasa?! Wakati jana nakuambia si nilikuwambia kwa maneno machache tu na mwisho nikafunga mjadala! Pamoja na yote hayo bado ukaendeleza kwa sababu kiu yako ilikuwa ni tofauti na uhalisia!!!

Sasa nakupa stori mzima kuanzia mwanzo hadi mwisho with evidence ili tufunge mjadala, oh, unaandika gazeti!

Labda usichofahamu ni kwamba, staili ya uandishi wangu ndo ipo hivyo bila kujali habari inamuhusu nani au inahusu nini!!! In most cases, maandiko yangu lazima yawe na evidence kwa sababu huwa sipendi blah blah! Kabla sijaingia hii thread leo hii, nilikuwa kwenye hii thread!!! Kote huko nimepachika ma-evidence!!!

Jana sikuona sababu ya kuweka ma-evidence cuz' niliona issue yenyewe ni ndogo tu!! Lakini kwavile uliendelea kung'ang'a nia kitu ambacho hakipo hapakuwa na namna zaidi ya kukupa hizo evidence!!
 
Kwahiyo huyo babu yako tale ndo meneja wa shingongo wa kumzuia na kumupangia cha kuandika au ana hisa kwenye biashara za shigongo

Huyo tale wako ananjaa kinoma mkuu wewe endelea kuleta chuki kwa watu matajir kama eric
 
Kwahiyo huyo babu yako tale ndo meneja wa shingongo wa kumzuia na kumupangia cha kuandika au ana hisa kwenye biashara za shigongo

Huyo tale wako ananjaa kinoma mkuu wewe endelea kuleta chuki kwa watu matajir kama eric
We jamaa vipi?! Shigongo amejifanya mshauri wa WCB! Wenye WCB yao hawataki mambo yake ya kimbwiga ya kujifanya mshauri wa WCB!!! Sasa how come unalazimisha watu watake ushauri wake?

Mwambie Shigongo aache mambo ya kidemu!! Kama unajua Tale hawezi kumpangia cha kuandika; mbona amesusa basi?!

On top of that, nimeshakuambia... kama Shigongo ni bilionea ni huko huko kwenu Sengerema and that's none of our concern!!
 
Magazeti ya udaku mara nyingi yanaandika rumours tu with catching front page habari au picha ili wauze gazeti kirahisi. Labda hawamuandiki sana kwa sasa kwa sababu hauzi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…